kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,995
- 2,572
saa ngapiDstv channel 322 au 130 chagua wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saa ngapiDstv channel 322 au 130 chagua wewe
Eti mkuu,una unafahamu washindi wanakula $ ngapi ....... na je thamani ya tuzo zinalingana kwa wote au baadhi ya kategori zina thamani kubwa zaidi ya zingine .......??Mkuu soma hapo juu kwenye thread mbona nimeandika muda
Tuzo zaEti mkuu,una unafahamu washindi wanakula $ ngapi ....... na je thamani ya tuzo zinalingana kwa wote au baadhi ya kategori zina thamani kubwa zaidi ya zingine .......??
Senkyu vere machi fo yua answa, vipi na hiyo wanakula dola ngapi....??Tuzo za
best female
Best male
Song of the year
Artist of year
Ndio zenye thamani kubwa kuliko zote
Swali la msingi aiseeTanzania kwanza
Ila huyu alikiba akitajwa hiyo tuzo itaenda Kenya au Tanzania!!?
Hapo mtihani
mbona watanzania tuna maneno sana?Ukiacha akili mkuu ni kitu gani kingine umekosa?
Vipi mbona kiba hujamtaja au yeye hayupo ???Tusiwe na matumaini kwa ray mond kenzo na dimond hawawezi kupata tuzo
Labda v money
Kwan startimes wana mtv base naomsisahau kwenye startimes MTV BASE nao wataonyesha tuzo hizo live
Tuzo inayotolewa ni moja tu labda sauti sol waamue kumpa ela kidogo so tuzo inaenda kenya ile sio km kili awardsnaye anapata moja kwakuwa ameshiri kwenye collabo
Labda kuwepo katika lile kundi la kila watu wanne ndo kilichobakia tu.Ukiacha akili mkuu ni kitu gani kingine umekosa?
yap hadi betKwan startimes wana mtv base nao
Mods wa humu wamefuta uzi wangu ulikua unaendana na huu wakauweka wa kwake...sijui wana undugu ama nilitegemea uzi ungeunganishwa na mwingine unaofanana na huu lakini umefutwa kabisa. Nimeishia kucheka tu. Labda ndo mtoa habari wao waliomchagua kwa leo kwa kutupa updates.Mbna wewe hujaenda kuchukua tuzo ya umbea...
Best mbea of the year........ Bravo one
Zuku nayo inapatikana chnl no ngapimsisahau kwenye startimes MTV BASE nao wataonyesha tuzo hizo live
Kiba kwani anawania tuzo au kaalikwa kutumbuiza tu?Vipi mbona kiba hujamtaja au yeye hayupo ???
Mimi pia nitafanya hivyo Ali Kiba akichukua MTVEMA..!Leo Simba akibeba tuzo hata moja, nitatembea utupu pale posta siku nzima juakali kweupe. [HASHTAG]#period[/HASHTAG]