Kwani tuzo zinatolewa ukiwa na swagga eeh??Shida swagg hana
Hahaaa I know what you meanHivi kuna category ya Best male East Africa?
DJ Maphorisabest collabo imeenda kwa nani wakuu
Wizkid kwa kwel ndo his night today ...ile ngoma ya one dance imemnyanyua sana tena humo yuko drizzy?! Hamna namna tumpigie kofi tuni usiku wake leo
Pole aiseDoooctooor....!!
Jamani niitieni dokta nahisi kufakufa...
Jamani nafwaaa...
Nitaiweka wapi sura yanguu...
Homa imakata ghafla mbnaWeweeee chiiibuu chiibuuuuu
Angethubutu kutomshirikisha wizkid sauti sol wangechukuaSoweto baby ili deserve hii best collabo my sweto baby
Atapewa Black Coffee au Diamond! Wiz hawezi kupewa..hiyo hayupo wizkid kweli kama yupo tumeikosa tena ...tunabd watanzania tuzae sanaa nigeria wapo watu milion 900+ sisi tupo mil 45+ tutawashinda kweli
kanyakua ipi na wewe maana wengine tuko vitandani tunafatilia thread tuDiamooond amenyakuaa
Watu woyoooooo
Nadhani licha ya kura huwa kuna vigezo vya kupigiwa kura na nchi nyingi zaidi ndo zina determine mshindi ka ilivo BBAhiyo hayupo wizkid kweli kama yupo tumeikosa tena ...tunabd watanzania tuzae sanaa nigeria wapo watu milion 900+ sisi tupo mil 45+ tutawashinda kweli