Satuuuu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,849
- 1,993
Hawaelewi maana ya Hell[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]Wamesalute au weponda ""hell perfomance" wake ya ass up nigga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaelewi maana ya Hell[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]Wamesalute au weponda ""hell perfomance" wake ya ass up nigga
Oyoooo bado ile ya Nov 6Wapi Wiz kid wote tuseme oyooooooo
Kumbe tuko wengikanyakua ipi na wewe maana wengine tuko vitandani tunafatilia thread tu
Kaka yani angepata jamaa wangemtukana sana Ali hawa....Yani kusingekalika.....Wacha nisubiri hizi timu zife ndo ntaweza kuziconsider kama tuzo zinakuja tz....otherwise, wakose tuHahahah.... Ila kusema ukweli Dai kazid yan angepata tungekomaaaaaa
Soma vzr walichoandika acha kujiaibisha watu wasijedhan hujui kingelezaWamesalute au weponda ""hell perfomance" wake ya ass up nigga
hamna cha maana ulichokiandikaNdio nimerusha na sitoacha kumshabikia Diamond. Ila ukweli lazima uwe ukweli. Wizkid nae anapiga kazi sana kwa muda pia na tuzo habebadi kihivyoooooi...Davido hayupo nae kabeba...nasikiliza pia miziki ya nchini kwao...kama hupendi songa mbele.
Naona bado unanitafuta utachoka tu na mimi.
Siishi maisha feki kama wewe kwa kufonoa na nyuma mengine.
Kashinda nimefurahi ulitaka nilie...
Nyie ndio eale mnahangaika huku kule mkiona mnashindwa badala ya kupiga buti na kuendelea kupaaa, mnaishia pyuuuuuuu
Angalia show ya kufa mtu ili tumshauri yule aliyetetemeka techniques[emoji1]Ntakua na raha gan tena kumuangalia Future japo he is my fav artist
Malaria haikubalikiii[emoji444] yeah [emoji23] [emoji23]Ngoja nishushe neti tulale
Kuna Technomiles huko nae ss ana 120 speedDiamond keshamaliza mziki wake aisee mwakani hatowika tena wizkid atakuwa male act tena mwakani na pia ndiyo artist of the year
Apige kazi haswa, mambo ya vijembe kwenye instagram aache..amwambie na zari wake kabisa na hao dada zake, yani kazi kazi..awe anapost kazi zaidi na sio vijembe sjui bulshits bulshits za namna gani aachane nazo..kweli mkuu diamond hawezi kushinda hizi tuzo maana hapa bongo ana kura chache sana nadhani ni wakati wa kujifunza kuweka muziki wake mbali na mapenzi
Kwa hzo team kufa itachukua mda coz baadhi ya wasanii wenyewe ndo wanaziFund kwenye sherehe zao wanaenda na wengine wanatoa had ela wanawapa hao viongoz wa mateam wawatukane wasanii wengine... Hii ndo Tz bhnaKaka yani angepata jamaa wangemtukana sana Ali hawa....Yani kusingekalika.....Wacha nisubiri hizi timu zife ndo ntaweza kuziconsider kama tuzo zinakuja tz....otherwise, wakose tu