MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Mmesahau km mondi alishinda mwaka jana. Mwaka huu kisa kashindwa, ushindi wa mwaka jana unasahaulika na misababu kibao.
 
Apige kazi haswa, mambo ya vijembe kwenye instagram aache..amwambie na zari wake kabisa na hao dada zake, yani kazi kazi..awe anapost kazi zaidi na sio vijembe sjui bulshits bulshits za namna gani aachane nazo..
yule davido amezaa na mdada flani hivi ila huwezi mkuta kampost akitukana mitandaoni hata kina p square wameishi na wale wake zao long sana ila hawakuwa wanaonekana saana kujibizana na mafans wa waume zao mitandaoni.ila utashangaa huyu zari kila siku vijembe mateam ya ajabu hadi anamuharibia mwenzie.yaani diamond angetulia yeye kama yeye angefika mbali zaidi. zari kila siku anatukana watu unadhani watapiga tena kura kwa diamond? si unajua wanawake tulivo mkuu?
 
yule davido amezaa na mdada flani hivi ila huwezi mkuta kampost akitukana mitandaoni hata kina p square wameishi na wale wake zao long sana ila hawakuwa wanaonekana saana kujibizana na mafans wa waume zao mitandaoni.ila utashangaa huyu zari kila siku vijembe mateam ya ajabu hadi anamuharibia mwenzie.yaani diamond angetulia yeye kama yeye angefika mbali zaidi. zari kila siku anatukana watu unadhani watapiga tena kura kwa diamond? si unajua wanawake tulivo mkuu?
Sidhan km hyo ni sababu. Kny ushindan kuna kupata n kukosa n wiz angeshindwa mfano kungekua n sababu gani?
 
Diamond ajifunze kitu kimoja tu, kuwa familia isiingilie maisha ya anayofanya.

Alichofanya mama yake na dada yake juu ya Zari kilimpotezea mashabiki wa kufa nae wengi tu. I mean wale wa kusema pia lazima wamapigie kula.

It's about time mama yakr akar pembeni, yaani hata kwa social media atoke.

Ila naona wamekaa kimya sijakutana na drama, bali wamechangia kumpotezea mashabiki.

Please nielewe nasema hivi si tu sababu ya kukosa tuzo but kwa mbeleni pia.
mama yake hana shida yoyote ila yule mwanamke na account zake feki za kumtukana wema na hamisa zitamkost maisha.siku akikaa pembeni mond atakaa zake salama kama zamani
 
yule davido amezaa na mdada flani hivi ila huwezi mkuta kampost akitukana mitandaoni hata kina p square wameishi na wale wake zao long sana ila hawakuwa wanaonekana saana kujibizana na mafans wa waume zao mitandaoni.ila utashangaa huyu zari kila siku vijembe mateam ya ajabu hadi anamuharibia mwenzie.yaani diamond angetulia yeye kama yeye angefika mbali zaidi. zari kila siku anatukana watu unadhani watapiga tena kura kwa diamond? si unajua wanawake tulivo mkuu?
Ndo kama nilivosema hapo kwamba amchane live huyo zari wake kwamba bwana eeh saivi kazi tu mambo ya ujinga sitaki, huezi off you go...
 
yule davido amezaa na mdada flani hivi ila huwezi mkuta kampost akitukana mitandaoni hata kina p square wameishi na wale wake zao long sana ila hawakuwa wanaonekana saana kujibizana na mafans wa waume zao mitandaoni.ila utashangaa huyu zari kila siku vijembe mateam ya ajabu hadi anamuharibia mwenzie.yaani diamond angetulia yeye kama yeye angefika mbali zaidi. zari kila siku anatukana watu unadhani watapiga tena kura kwa diamond? si unajua wanawake tulivo mkuu?
As kama mnamtukana yy atulie2
 
Leo ndo siku ya utoaji wa tuzo za MTV Mama mwaka 2016 , tuzo hizo zitatolewa nchini Afrika Kusini
Wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwania tuzo hizo.

Tanzania tuna wasanii wetu wakituwakilisha ambao ni...

Raymond - Best breakthrough act

Vanessa Mdeee - Best female artist

Ali Kiba anashare na Sauti sol - Best collabo na song of the year

Navy Kenzo - Best group

Diamond Platnumz - Best male na Artist of year

Ali Kiba na Diamond ni miongoni mwa watumbuizaji kwenye tuzo hizo.

Wale wenye ving'amuzi Dstv kama kawaida, Azam tv nao watakuwa live kupitia azam 1 channel namba 101.

Pia tutaleta updates hapa hapa kila kinachoendelea , zitaanza kutolewa kuanzia majira ya saa 4 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki.

Tuzo za mwaka huu zimetengenezwa na Gold ya kuvutia
View attachment 422249
Updates zimeota mbawa....
 
Back
Top Bottom