MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Ila kwa upande fulani kipindi hiki hizi tuzo Wizkid alikua anastahili tuache utani"
800million streaming worldwide on Spotify / number 1 track on Billboard charts damn this kid deserve bana.
[HASHTAG]#Starboy[/HASHTAG]
 
Miaka mitano ya nyuma tz hatukuwahi kuwa nominated kwa wingi namna hii,
But now, besides tuzo zilizokwisha letwa tz, kuna nominations za kutosha, yaani idadi ya wasanii wanaotambulika kimataifa inaongezeka ....
vijana wetu wanatajwa sana aisee, hii ni hatua kubwa sana (hii inamaanisha we can do it), jitahidini guys, next few years we are going to be the giant of the continent,
Hongera sana vijana wa bongo fleva,
Awaiting for bongo movie and football things.
Good bless my country Tanzania.
 
Ila kwa upande fulani kipindi hiki hizi tuzo Wizkid alikua anastahili tuache utani"
800million streaming worldwide on Spotify / number 1 track on Billboard charts damn this kid deserve bana.
[HASHTAG]#Starboy[/HASHTAG]
Ilo halina ubishi me nilishangaa bet walipo mpa kahawa nyeuc hata ile mtv ema wampe tu jamaa yupo kwny ubora wke
 
Kila siku anatukana fans? Eeh leo katukana nini? Embu tujuze. Na jana na juzi pia embu tuambie mitusi aliyotukana?
 
mama yake hana shida yoyote ila yule mwanamke na account zake feki za kumtukana wema na hamisa zitamkost maisha.siku akikaa pembeni mond atakaa zake salama kama zamani

Nani na account feki? Zitaje tuzijue basi.

Kama unamuongelea Zarinah, sidhani. Because amekutana na mengi kupita haya madogo ya watu ambao hata hashindani nao katika kusaka pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…