MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Ila tusife moyo kumbuka leo tumefika level zakushindana na SA n Nigeria kimziki ni hatua kubwa..tunajulikana Africa nadhani sisi ni nchi ya 3 kuingiza nomination nying mtv so ni hatua. Angalia pia africa kuna nchi ngapi na zikowapi
 
Sema tu roho inakuuma Kiba kafanya bonge ya show wakati diamond katetemeka jukwaani nyimbo moja anahema kama anakimbizwa.
 
Pamoja na kuja na mameneja wawili hadi kwenye rehearsal tuzo zimeota mbawa, mmeishia kutetemeka jukwaani.
Kwaiyo una bishana na bet huyu kiba wenu kaimba sekunde ngap mbona hajaimba nyimbo zke
 

Attachments

  • 1477203830373.jpg
    24.8 KB · Views: 27
Wizkid ana base kubwa nigeria wako wengi na watumiaji wa mtandao n wengi ! ila waandaji watakua wanaangalia vigezo vingi zaid ya kura! Ingekua n popular votes tu nigerians wange funika kila mwaka! ATA KISWAHILI BADO SANA UKO AFRIKA MAGHARB NA SOUTH! NDO MAANA SALOME HAIJAIMBWA JANA NA MOND COZ IKO NA KISWAHILI MINGI@ AKAIMBA KIDOGO AMBAYO AMEMIX NA LANGUAGE
 

Nimegundua una personal issues na Zari. Zile zinaitwa kutamania, or kuwish kuwa kama etc.
Nani wewe kila ukimwandika ni chuki? Zari ni celeb miaka mingi na she knows jinsi ya kuishi na fans.

Uache kumuandika vibaya, hajawahi kufanya lolote baya.


Nimegundua pia unamchafua kama vile aachike, ooh poor you. One thing utaumia ulipo hapo, yeye na Diamond wanabebana.
 
pamoja na mambo mengine,ila wadau kiukweli hasa lugha ya kiingereza ni muhimu sana katika uimbaji hasa kama msanii ana lengo la kutoboa kimataifa...hii inajidhihirisha wazi kwa wasanii wa Nigeria na S.Afrika,hawa wenzetu wanafanikiwa sana anga la kimataifa kutokana na utumiaji.mkubwa wa lugha ya kiingereza katika miziki yao,hata kama mtu ataimba na lugha yake ya asili basi kwa kiasi kikubwa atamix na english ambacho hiki ndo kinamfanya to some extent aeleweke kwa watu wengine duniani wasioelewa lugha yake ya asili...Uimbaji wa lugha ya kiswahili kitupu mwanzo mwisho hasa kama hakuna vimaneno vya upekee kama vile "ngololo,ngololo"," sankoro,sankororo" ni ngumu sn kuteka hadhira huko ulimwenguni...cha kufanya wasanii wetu for the purpose of kujitangaza zaidi duniani, then they have to code switching ktk ngoma zao.

Lugha ndo inaubeba mziki wa wenzetu to the large extent.Hichi ndo nilichokuja kukigundua..
 
Mi nashangaa watu wanavyomkandia Dai yani washasahau kama tuzo hizo hizo alishawahi kuchukua tuzo tatu kwa mpigo,na mwaka huu amekuwa nominated yeye binafsi tofauti na Kiba bila collabo Jina lake lisingekuwepo huyo Kiba na ukongwe wake wote hajawahi kupata hizo tuzo.
 
Mwenye masikio na asikie....ushabiki wa kishamba uachwe...
 
Tatizo hasa ni wasanii hao kuishabikia CCM kwenye kampeni mwaka jana. Watanzania wengi tuliapa kutowapigia kura tena kwenye hiyo tuzo hao wasanii wa Kibongo. Na huu ndio mwanzo tu, wataelewa tu. Hatutakagi ujinga sisi.
Hakuna cha Kiba, Diamond, Raymond, Vanessa wala Yamoto, wote ni CCM hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…