Aeusa ni idara ya maji ya Mkoa gani?Mbona Shangwe za aeausa zisioni?? Eti?? Kwani hizo sio tuzo??? Hahaaaaah Daudi Mchambuzi
Ahaaaa,Aeusa ni idara ya maji ya Mkoa gani?
Mkuu HOPECOMFORT, ndio matokeo ya kupima ubora wa artist kwa kuangalia eti followers kwenye instagram na kuamini eti Yemi Alade ana 2m na wewe una 4m lakini tukasahau kuwa followers wako wengi ni Division Five na zaidi wanatokea Dar es salaam unakoishi lakini wa Yemi ni 'graduates' na wanatokea mabara yote saba!Mwenye masikio na asikie....ushabiki wa kishamba uachwe...
Mwaka gani alichukua tatu kwa mpigo?Mi nashangaa watu wanavyomkandia Dai yani washasahau kama tuzo hizo hizo alishawahi kuchukua tuzo tatu kwa mpigo,na mwaka huu amekuwa nominated yeye binafsi tofauti na Kiba bila collabo Jina lake lisingekuwepo huyo Kiba na ukongwe wake wote hajawahi kupata hizo tuzo.
Kwa hiyo wewe ni Le Mutuz?Usisahau binamu, sie wengine tupo kibiashara humu!!!
Yeye si MKUBWA!!Ila jaman saut soul walimuheshimu sana kiba ! Interview ya kwanza friday night live iliyowakutanisha kiba na saut soul kama mliiona basi mtakua mashahidi ! Vijana wa saut soul walijishusha sana wakaimba nyimbo nyingi za kiba ila kiba akajifanya hajui nyimbo ya vijana iliyokua imevuma sana! Sasa leo hii vijana wana tuzo mkononi uku king akiwa holaa! Jaman kutangulia sio kufika! King apunguze zarau
[emoji120] [emoji120]Pole sana mkuu ila soma walichoandika BET africa
View attachment 422620
Mbona mimi na Raha! Nani amekupa kibali cha kuwasemea watanzania? Next time usiwasemee maana hakuna aliyekuteua.Leo Tanzania Imepoa, kilamtu hana raha
Idara ya maji Arusha ndo Aeusa.[emoji3] [emoji3] [emoji3]Aeusa ni idara ya maji ya Mkoa gani?
Tena diamond huwa anajitahidi sana kuimba na kucheza wengine huwa hawawezi kbsaa anabaki kwenye kimoja..big up sana diamondKuimba huku una dance si mchezo kwa kweli yataka mazoezi
Muelewa atajifunza kitu... M timu timu ataona ni figisu. Bado tuna safari ndefu japo tunajiona tumesha fikaMkuu HOPECOMFORT, ndio matokeo ya kupima ubora wa artist kwa kuangalia eti followers kwenye instagram na kuamini eti Yemi Alade ana 2m na wewe una 4m lakini tukasahau kuwa followers wako wengi ni Division Five na zaidi wanatokea Dar es salaam unakoishi lakini wa Yemi ni 'graduates' na wanatokea mabara yote saba!
Why Team Mond? Tangu zamani nimeshakuambia na wala sijawahi kuficha kwamba mimi ni shabiki wa Diamond kwa sababu ni shabiki wa mafanikio relying on facts and figure and I don't give a shit on emotions! Kwa tukio la jana, what I wanted ni kuona tuzo ngapi and not otherwise... statistic and figures manake hata leo hii ukianzishwa mjadala Afrika nani ali-perform vizuri; kila mmoja atakuwa na jibu lake based on emotions lakini ikiulizwa nani kachukua Best Artist wooooooote, jibu ni moja tu!team mondi
Yes sir!Kwa hiyo wewe ni Le Mutuz?