MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Hivi Nape Nnauye hayupo huko?
Maana nilisikia alitakiwa kuwasindikiza wasanii wa Tanzania kwenda South kuwania hizo tuzo.
Kwa ile style ya yake ya "Goli la mkono" tuzo zote wasanii wa kibongo tunazozishindania huko tuna uhakika wa kuzichukua.
Labda Nape lugha ngongana
 
Tandantandaaaa....
ngangangaaa
picha linaanza ....
ngoja niagize Popcorn kwa kahawa...
Leo haina kulala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…