Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen....Artist Of The Year! Itakuwa ya mwisho kutolewa nadhani..
Mungu atafanya muujiza.. Amen
Hata mie huwa naumia sana aiseee
huwezi imba mziki mzuri vile then ukakosa tuzo
Subr atapanda soon [HASHTAG]#poor[/HASHTAG]Sasa mwenye swagger uko wapi?? Poor u
Iko poa nenda youtube mbna inaonyesha vizuri tyuMbona livestream sion tena jaman
Ilikata ila imerud tenaMbona livestream sion tena jaman
hiyo hayupo wizkid kweli kama yupo tumeikosa tena ...tunabd watanzania tuzae sanaa nigeria wapo watu milion 900+ sisi tupo mil 45+ tutawashinda kweliArtist Of The Year! Itakuwa ya mwisho kutolewa nadhani..
Mungu atafanya muujiza.. Amen
Najuta bora ningelala...haaaaaa usinichekeshe ....
Naijua iyo ngoma kwenye playlist yangu ipo ni kali sanaYes ila alishirikishwa na DJ maphorisa sijui
Yani hizi timu ni jipu moja lakipumbavuTulistahili kupata best looser
Sababu ya utimu
Naomba tu mwakani izi timu zife tena ikiwezekana wafanye ngoma ya pamoja ndio tutazika rasmi utimu...
Nipe link mkuu hii ya jf haioneshIlikata ila imerud tena
Halafu hakuomba kura eeh bado mtv ema nov 6Wizkid alikua na ukame sana wa tuzo ila akavumilia hatimaye kashinda ana deserve kwa kweli
Hahahaha! Mkuu hii sio Kili Awards..Hivi kuna category ya Best male East Africa?
kama huko walikua walikua wanashangilia Diamond kakosa kapata Wizkid....Tulistahili kupata best looser
Sababu ya utimu
Naomba tu mwakani izi timu zife tena ikiwezekana wafanye ngoma ya pamoja ndio tutazika rasmi utimu...