MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

hawawezi juzi sallam anasema tuonane mtv[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alijua atashinda....

bora tu walivyoshindwa wote..

allykiba nae Mombasa alikataa kuwa wa kwanza jukwaani eti yy ni mkubwa kuliko wizkidayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....
na tushindwe tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aise kaz kweli kweli.
 
Mimi ni KE, tuzo tumekosa,hapa tunadiscuss yaliyojiri, unaona??? Tukizungumzia live performance,, hatunong'onezi, alikiba aliuaaaa,,. Ile kuimba live vizuri ina credit yake,
Sorry sohwa, I hope you don't much about broda thing! Back to the discussion; sasa credit inaingia wapi? Suala la kuimba Live sio jipya lakini watu wanaangalia umepata nini! Diamond kwa mfano; mwaka jana alichukua Best Performing Act... kama kawaida ya Wabongo; wakaanza kuponda kwamba tuzo ya kukata viuno! Watu tukasema hamfahamu maana ya ile tuzo... muziki ni burudani na moja ya burudani za muziki ni performance! Moja ya credit kubwa ambazo hata Michael Jackson alikuwa nazo ni performance! Tukasema hapa mwaka jana; hii tuzo Diamond itampa tours nyingi sana za ku-perform! Hata wewe ni shahidi kuhusu tours nyingi alizopata mwaka huu! Lakini Kiba ku-perform live sio issue na hata wewe unajua huo ubora unaosema unamlinganisha na Diamond and nothing else! Lakini endapo angechukua tuzo; ingekuwa ni habari nyingine!
 
Wala hakuna cha kusingizia kukosa tuzo kwa Diamond, na hakuna nchi Africa watu wanapiga kura kama Tanzania, basi tu wizkid alikuwa na mwaka mzuri sana kuanzia kwenye nchi yake, Africa pamoja na dunia nzima so sio kwamba kashinda kisa amepata kura nyingi kuliko Diamond hapana sio kweli

wizkid hajawahi kuomba kura sasa hizo kura nyingi kuliko Diamond zinatoka wapi, mbali na vigezo alivyonavyo ila watoa tuzo nao safari hii wameamua kumuweka karibu kwani jamaa waga hanaga maelewano mazuri na watoa tuzo kibao kutokana na dharau zake na maneno yake, ila ingeshtua dunia kuona safari hii wizkid anakosa tuzo eti kisa tu waga hajikombi kwa watoa tuzo kuachilia mbali alivyo ng'ara huu mwaka

All in all tunastahili pongezi pia kwa kutoa nominations nyingi, hiyo ni hatua kubwa sana tofauti na zamani, hamuwezi kushinda kabisa kama hamna nominated artist, next year nahisi mambo yatakuwa poa sana i guess
 
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamuziki ali said kiba kasababisha bahat mbaya kwa watanzania wenzake waliokua wakishiriki tuzo hizo hapo jana.

Ali kiba hakuwai kushiriki katika tuzo hizo hata mara moja na uwepo wake kwa mara ya kwanza umezuia bahat za wenzake kupata kura..


Unajua ali kiba ana imani za ajabu yaan imani sio na hisia mbaya mtu wa hivyo akiwa katika kund na mkiwa mnagombea kitu bas hamtofanikiwa alisema mzee john mwita ambae ni mtaalamu wa mambo ya imani....


Kwa mara ya kwanza tz imekosa tuzo licha ya nyomi la wasanii
 
Hafu timu yake ikifocus kumtukana Kiba, Mara wema timu zari wakawa wanahangaika na mama diamond na ESMA kumshambulia wakasahau kupiga kura
Maendeleo ya watu na Nchi hayatakuja kama tutakuwa na mawazo kama haya. Yaan tunafarijika kwenye anguko la wasanii wenzetu. Dah!
 
Azam marudio yatakuwa saa ngapi wadau?! Anaefahamu anijuze tafadhali
 
Waliosema asilimia kubwa ya wabongo hutumia 1% ya akili zao hakukosea
 
hawawezi juzi sallam anasema tuonane mtv[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alijua atashinda....

bora tu walivyoshindwa wote..

allykiba nae Mombasa alikataa kuwa wa kwanza jukwaani eti yy ni mkubwa kuliko wizkidayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....
na tushindwe tu!
Tutapata akili sasa. Subiri uone.
Kuna ma-team zaid ya mangap sjui, fikiria tuchukulie mfano wa ali kiba na diamond, wangekua wamepatana, means fan base ya ali kiba wangewapigia kura wote ali na naseeb,, pia fan base ya diamond, zari, esma, bi sandra, latifa, hamisa, wema na bila kumsahau IVAN nae pia ana fan base yake,na wengine wangempigia kura yeye diamond na ali na wengine watanzania waliokua katika categories tungepata kitu.

Ila japo hatukatai wizkid amekua na mwaka mzuri na single aliyoimba na drake ukichanganya na fan base yake ambayo imeongezeka hadi marekani kupitia "one dance" song...ila naamin kwa muunganiko huo hapo juu hio nguvu ingekusanywa na wakaonesha hadharani kua hatuna u-team mavi basi am sure tungeondoka na hata moja, sasa inatokea mtanzania sababu anamchukia ali kiba au diamond bas anawapigia kura wanaijeria, jambo la kushangaza sana.

Na "mke" mtu badala aongoze kumsapot "hubby wakee yeye yuko bize na vijembe instagram. Sasa nimeamin kabisa kua kuna watu wanakula kupitia mabeef haya ya hizi pande mbili na beef imesogea zaid hadi kwa mzee Mzima Ivan. What do you expect?!

Juzi davido anahojiwa anaulizwa kuhusu mahusiano sjui kua na mwanamke, anawajibu anawaambia hana muda huo kwa sasa, yuko busy building his empire and music.
 
Back
Top Bottom