MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Diamond katoa nyimbo ngapi bora mwaka huu, na wizkid katoa nyimbo ngapi bora mwaka huu?
Ifike mahali wasanii wa bongo wasitoe nyimbo kama mashindano, we want some quality songs na zinazodumu kwa muda mrefu.
Wizkid hatoi nyimbo ovyo ovyo ila akitoa anatoa jiwe la maana, namkubali sana tekno maana anatoa nyimbo mfululizo lakini mawe. Ila hawa ndugu zetu bongo, wanatoa nyimbo ovyo ili kuziangusha nyimbo za wasanii wengine na huo ndio ujinga wao.
Cha msingi waanze kutoa album maana msanii bila album soko lakimataifa hutofanikiwa.
Ukiwa na album hata ukiwa na tour unakua na nyimbo nyingi na mpya za kuimba mf show za wizkid na psquare yan wanacollection yakutosh ya nyimbo
Wizkid deserved hizo tuzo zote... Mondi kaza buti rekebisha makosa then hopefully next time tutapata.
1477207595998.jpg
 
So mwaka huu hamna.....Picha za kulala na Tuzo....Hamna kwenda Airport..... Kuna Scorpion tu...na Mwalimu Msigwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Navy Kenzo-Awards Winning~0
Diamond Platnumz -Awards Winning~0
Yamoto Band-Awards Winning~0
Ali Kiba -Awards Winning~0
Vanessa Mdee-Awards Winning~0

Kwani Mbwana Samatta hakuepo kwenye Nomination...??

Kuna TUZO 2 ZA DIAMOND ZINAKUJA KWAHIYO KAMA NI SWALA LA KULALA NA TUZO LIPO PALEPALE,NA KAMA KUPOKELEWA KUPO PALEPALE ATAKAPOFIKA HARMONIZE AIRPORT,WAPE POLE AMBAO TUZO ZA KIMATAIFA KWAO NI NDOTO.
 
Sema tu roho inakuuma Kiba kafanya bonge ya show wakati diamond katetemeka jukwaani nyimbo moja anahema kama anakimbizwa.
Kiroja hiki... yaani iniume kwa sababu Kiba kafanya bonge la show kwa mujibu wa mashabiki wa Kiba? Mi ni mtu wa statistic and figures broda!!! Sema mashabiki wa Kiba mnajifariji kwa kigezo cha show kwavile King ametoka mikono mitupu na kuendeleza rekodi yake ya kuishia KTMA!!! AFRIMM mlijiliwaza kwamba "amehujumiwa" leo mnajiliwaza kwenye "show kali" vyote hivyo havipo documented popote pale!
 
Ila jaman saut soul walimuheshimu sana kiba ! Interview ya kwanza friday night live iliyowakutanisha kiba na saut soul kama mliiona basi mtakua mashahidi ! Vijana wa saut soul walijishusha sana wakaimba nyimbo nyingi za kiba ila kiba akajifanya hajui nyimbo ya vijana iliyokua imevuma sana! Sasa leo hii vijana wana tuzo mkononi uku king akiwa holaa! Jaman kutangulia sio kufika! King apunguze zarau
Hahahahaha jana alikalia kiti cha ufalme afu male of the year akapita kwa madoido kwenda kuchukua tuzo yake yaan pale nilicheka nikasema duh kweli bhang sio mchicha
 
Kiroja hiki... yaani iniume kwa sababu Kiba kafanya bonge la show kwa mujibu wa mashabiki wa Kiba? Mi ni mtu wa statistic and figures broda!!! Sema mashabiki wa Kiba mnajifariji kwa kigezo cha show kwavile King ametoka mikono mitupu na kuendeleza rekodi yake ya kuishia KTMA!!! AFRIMM mlijiliwaza kwamba "amehujumiwa" leo mnajiliwaza kwenye "show kali" vyote hivyo havipo documented popote pale!
Mkuu madale mmenuna
 
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamuziki ali said kiba kasababisha bahat mbaya kwa watanzania wenzake waliokua wakishiriki tuzo hizo hapo jana.

Ali kiba hakuwai kushiriki katika tuzo hizo hata mara moja na uwepo wake kwa mara ya kwanza umezuia bahat za wenzake kupata kura..


Unajua ali kiba ana imani za ajabu yaan imani sio na hisia mbaya mtu wa hivyo akiwa katika kund na mkiwa mnagombea kitu bas hamtofanikiwa alisema mzee john mwita ambae ni mtaalamu wa mambo ya imani....


Kwa mara ya kwanza tz imekosa tuzo licha ya nyomi la wasanii
Vipee bado unauza nyapu online ?
 
ANAYESEMA YALIYOPITA SI NDWELE HUYO NI FALA,KAMA NI HIVO REAL MADRID HISINGEHESABIKA KAMA NI TIMU ILIYOCHUKUA MARA NYINGI ZAIDI CLUB BINGWA ULAYA.HII HAPA NI HISHORIA YA DIAMOND KUCHUKUA TUZO NA MAKABATI YAMEJAA,POLE YAO AMBAO HAWAJAWAHI KUCHUKUA TUZO NA WAPO TOKEA 2003 KTK MUZIKI.
Diamond-awards.jpg

diamond-platnumz-awards-710x388.jpg

upload_2016-10-23_10-41-10.jpeg

NA HII NDIO TUZO YA MTV ALIYOCHUKUA DIAMOND MWAKA ULIOPITA KUKIWA NA KAMPENI MAALUM YA TIMU KIBA,JOKETI NA WEMA ILIYOKUWA INASEMA KURA KWA WIZKID NA AKACHUKUA MBELE YAKE.
DIAMOND%2BPLATNUMZ.jpg
 
Kwahiyo pole zoooooooooooote ziende kwa waliopo kwenye muziki zaidi ya miaka 13 na HAWAJAWAHI KUCHUKUA TUZO,ILA MADOGO WA JUZI WANAWAPIGA BAO. HARMONIZE HII INAKUWA TUZO YAKE YA PILI.
Homonise.jpg
 
Wabongo bwana mngekuwa mnangaliaga KORA awards miaka ya nyuma (show ya werrason, felix wazekwa au academic, extra musica hawa wote hawakuwa na time ya kuimba miuno tu kwenda mbele) ungeelewa kwa nn diamond kwa nn kafanya vile na ndio maana BET Africa wamesalute to him
Kora awards nmeangalia sana mkuu,hii yako chai
 
Back
Top Bottom