Zombe alichomoka kwa umahiri wa Wakili tu, kwa sababu watuhumiwa wenzake wote walimtaja kuwa ndiye aliyetoa maelekezo kwa njia ya simu ya kawaida.Zombe alichomoka
Zombe alikuwa mshz tu
Ova
hivi ajafa....?Zombe alichomoka kwa umahiri wa Wakili tu, kwa sababu watuhumiwa wenzake wote walimtaja kuwa ndiye aliyetoa maelekezo kwa njia ya simu ya kawaida.
Kwamba kila lililofanywa kwa hao marehemu ilikuwa ni maagizo yake, na aliyekuwa akipewa maagizo hayo ni Bageni, ambaye kwa sasa anasubiri kunyongwa.
Lakini, Vodacom waligoma kupeleka ushahidi wa maongezi ya simu ya Zombe na Bageni, walisema ilipita miezi 6 walishaharibu kulingana na utaratibu wa mitambo yao.
Zombe aliponea hapo, na kwa sasa anakula matunda yake ya ustaafu.
Ova
Point yangu ni kwamba kwenye kesi za askari wa Jeshi la Polisi kuua raia, tusitarajie sana hukumu ya kuadhibu askari.Mpaka sasa hivi Bwana Mdakuzi bado sijajua point yako ni ipi,hiyo Kesi ya Zombe hao wote kina Saad,Lema,Koplo Bakari nk nilifanya nao kazi Oysterbay kabla hata Bageni hajaja kuwa OC CID,kipindi OC CID ni Mkumbo ambaye sasa hivi ni Kamishna wa Intellijensia,kwa hiyo ninaifahamu A to Z. Hukumu ya Kesi Kuu Jaji aliuambia upande wa Mashtaka wamlete muuaji ambaye ni Koplo Saad Ally kwani ndie ambaye Silaha yake ilitumika siku ya tukio full stop. Bageni amekuja kuhukumiwa baada ya Jamhuri kukata Rufaa. Hukumu ya Kesi zote mbili ipo kwenye tovuti tanzilii pitia kwa Kumbukumbu
Ofcourse dada ndiye aliuza picha nzima.Nasikia kuna dada wa benk ndiye aliyechoresha
Haka ka bwana mdogo ka kihaya kamekuwa maarufu sana ametokea kwenye ofisi ya Masumbuko Lamwai17m kwa intro tu ya kuweka mambo sawa phase one
Wazo lako ni jema.Extremely dangerous event.
Frankly speaking from the bottom of my heart, Jeshi la Polisi Tz na TISS ni Makundi ya Kigaidi hapa nchini . Habari hii inatisha sana kupita kiasi, na hiyo ndio namna yao ya utendaji kazi. Completely taasisi hizi zimepoteza kabisa uhalali wa kuwa Majeshi ya Serikali ya nchi, ni makundi ya kigaidi.
Kwa hali hii namshauri Rais wa nchi hii akae na wataalamu huru wa masuala ya Sheria/Katiba pamoja na wataalamu huru wa masuala ya Ulinzi na Usalama ili wamshauri namna nzuri zaidi ya kulivunja Jeshi la Polisi na TISS, kuwapokonya silaha zote walizokabidhiwa pamoja na Kutangaza Hali ya Hatari kwa muda Fulani huku ukiandaliwa utaratibu mwingine mpya ulio mzuri zaidi na bora wa kuunda upya taasisi hizi.
Likely !! But Let's Wait and See!!Swali jepesi litakalozua maswali mengi "je wewe ni mtaalamu wa dawa za usingizi? I no...! Una uhakika gani kama dawa uliyomdunga ni ya usingizi na sio sumu?
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kijana,mimi ni namba E ya mwisho hivyo hata Depo yetu tulimalizia namba E kisha wengi walipata namba F,niliacha Kazi nikiwa na nyota moja (Assistant Inspector),kuhusu Kalanje alikuwaje tukiwa kazini jibu ni kwamba alikuwa Askari wa kawaida,sasa huko kwenye kupanda Vyeo na kuwa na maamuzi ndio wengi huwa wanabadilika hivyo sijui maana mimi nilipoacha kazi nilikuja zangu Nje ya Nchi kufanya kazi hivyo sijui na yeye alivyoanza kupanda Vyeo alikuwaje.sidhani kama atakujibu sijawahi kuona askari akimponda mwenzie awa watu wamenyweshwa sumu mbaya sana. all in all wapo waadurifu akiweno baba yangu.
ambae zaidi ya kumiliki baiskeri na pikipiki ya jeshi hana cha maana. kijumba chake kina karibia kudondoka muda wowote,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24]
ukilinganisha na watoto wa juzi namba J...wana magari na nyumba za ufahari.
nahisi kengemajikwetu ulikuwa namba E au F. vile vile wewe jamaa una kauadirifu sana ndio maana uliweza kuachana na jeshi la majambazi.
Dhambi ya uuaji ni mbaya sana kumbuka ile adhabu kwenye biblia Mungu alimpa Kaini baada ya kumuua ndugu yake Abel.Katika ilo kundi Kuna Askari mmoja Sasa hivi familia yake wanateseka Sana, yeye ndio alikuwa tegemezi kwao.[emoji17]
Tulio pitia Cuba tumeelewaKamanda mstaafu umeongea kwa code number nimekuelewa vizuri sana...
Babu yangu pia Ali laani hii kazi kwenye ukoo mzima tuliwai kua na askari police mmoja ila mwisho wake ulikua mbaya Babu yetu marehemu alipenda kuita kazi ya kolokoloni....................Mkuu babu yangu pia aliwaambia watoto wake hivyohivyo pia kiufupi agizo kutoka juu hatutakiwi kua mapongo
Ni mbaya Sana, kila mchuma janga ulia na wakwao.Dhambi ya uuaji ni mbaya sana kumbuka ile adhabu kwenye biblia Mungu alimpa Kaini baada ya kumuua ndugu yake Abel.
Cjajua babu zetu walitendewa nin na mapongo ila ila tu itoshe kusema wale jamaa ni zaid ya wanyama ungia mikononi mwao na usiwe na watu wakukupigania nimewah kushuhudia kwa macho yangu nikiwa kwa mahabusu zao ni vile tu nilikua na backup ya wanene nyuma yangu ila wahuni wanyonge chamoto wanakionaBabu yangu pia Ali laani hii kazi kwenye ukoo mzima tuliwai kua na askari police mmoja ila mwisho wake ulikua mbaya Babu yetu marehemu alipenda kuita kazi ya kolokoloni....................
Niseme wazi police wengi ni watu wa dhulma sana sanaa nimekaa na brother angu nimeshuhudia mengi sanaa na akafukuzwa kazi na kuishia maisha ya kutangatanga.......
Hiki kisa kina sikitisha na kuhuzunisha sanaa uroho, wa pesa na Mali Hawa ndio walinzi wetu wa amani....
Hawa jamaa hawafai na ndio maana wengi wao wanaishi maisha mabayaHao ndio askari wetu, uhalisia wao.
Mie hata ndugu au jamaa yangu akiwa askari najiweka nae mbali, moyo unaweza ukamuamini lakin akili inaniambia ndio wale wale.
Huwa wanaogopa kuuwawa na wenzao pindi watakapo sema ukweli, kama huyo afande aliyekutwa kajinyonga Mahabusu ya police, ameponzwa kwa kusema ukweli wa tukio zima!!Kama unakaa kimya pindi uonevu unafanyika basi na wewe ni muovu tu.
Kijana,mimi ni namba E ya mwisho hivyo hata Depo yetu tulimalizia namba E kisha wengi walipata namba F,niliacha Kazi nikiwa na nyota moja (Assistant Inspector),kuhusu Kalanje alikuwaje tukiwa kazini jibu ni kwamba alikuwa Askari wa kawaida,sasa huko kwenye kupanda Vyeo na kuwa na maamuzi ndio wengi huwa wanabadilika hivyo sijui maana mimi nilipoacha kazi nilikuja zangu Nje ya Nchi kufanya kazi hivyo sijui na yeye alivyoanza kupanda Vyeo alikuwaje.
Hata huyo ACP Mgonja aliyetoa Ushahidi nae ni Depomate wetu. Yote kwa yote hii ni AJALI KAZINI kama zilivyo ajali nyingine tu
Kijana,mimi ni namba E ya mwisho hivyo hata Depo yetu tulimalizia namba E kisha wengi walipata namba F,niliacha Kazi nikiwa na nyota moja (Assistant Inspector),kuhusu Kalanje alikuwaje tukiwa kazini jibu ni kwamba alikuwa Askari wa kawaida,sasa huko kwenye kupanda Vyeo na kuwa na maamuzi ndio wengi huwa wanabadilika hivyo sijui maana mimi nilipoacha kazi nilikuja zangu Nje ya Nchi kufanya kazi hivyo sijui na yeye alivyoanza kupanda Vyeo alikuwaje.
Hata huyo ACP Mgonja aliyetoa Ushahidi nae ni Depomate wetu. Yote kwa yote hii ni AJALI KAZINI kama zilivyo ajali nyingine tu