Huyu Tajiri Mussa Hamisi Hamisi atakuw amtu mzito na mtu wa chama.
Sio rahisi kesi yake kusimama hivi. Kama tulivyozoea.
Vinginevyo tunawapongeza Jeshi la Polisi na Serikaki kusimamia haki.
Acha UJINGA, nimelitumikia Jeshi la Polisi Tanzania kwa miaka 9 na kwa level zote Junior Officer na Senior Officer(Inspector), hivyo nina uhakika wa Asilimia 100 kwa ninachokisema
[emoji1787][emoji1787]Yaaan senior officer ndio Inspector? Naanza kupata waswas kama unalijua jeshi weye
Wewe ndio hujui....utachekwaYaaan senior officer ndio Inspector? Naanza kupata waswas kama unalijua jeshi weye
Upepo umetulia ndiyo maana wamepiga kimya sasa!!Kesi hizi huwa mwanzo zinajulikana,Ila mwisho huwa haujulikani.Hakuna updates.
Sasa hapo haki haziwezi kukiukwa?Upepo umetulia ndiyo maana wamepiga kimya sasa!!
Tatizo hizi kesi za jinai zinachukua muda mrefu sana,labda apatikane mtu mzito wa ku push ndiyo zinakwenda faster!!Sasa hapo haki haziwezi kukiukwa?
Polisi ni janga kwenye nchi hiiRest in peace Hamisi
Inasikitisha SanaMajambazi yenye magwanda na nembo za Doraa
Wanakuwa Kama Magenge ya kimafia pale Watu hao wanapokiuka Sheria, Miiko na Maadili ya kazi yao na kufanya Uhalifu. Pale wanapovunja Haki za binadamu (Serious or Grave human rights violation).You must be joking. Mwanzo umeeleza kwa usahihi sana kuhusu hayo magenge. Sasa kabla hujatoa mapendekezo jiulize ni “mazingira” gani yanayofanya polisi, TISS, na vyombo vingine vya dola kuwa kama magenge ya kimafia?
Ni KWELI kabisa kwamba wao pia ni sehemu ya tatizo/janga hili.Bila shaka usingetoa hayo mapendekezo kama ulivyoyatoa. Kwanza, jiulize, unawafahamuje hao unaotaka wachukue hatua? Kwamba hawaoni huo uozo? Kwamba nao unawakera sana kama wewe na wananchi wengine wanavyokereka? Kwamba they are not part of the problem IF NOT the problem itself?
Unamshauri rais? Una maana unaamini kuwa yeye yuko “gizani” kuhusu matendo ya kigaidi yanayofanywa na hayo magenge ya kimafia yaliyo chini ya uongozi wake?Wanakuwa Kama Magenge ya kimafia pale Watu hao wanapokiuka Sheria, Miiko na Maadili ya kazi yao na kufanya Uhalifu. Pale wanapovunja Haki za binadamu (Serious or Grave human rights violation).
Ni KWELI kabisa kwamba wao pia ni sehemu ya tatizo/janga hili.
Tumeshahama kwenye hili tukio na media zinajua wananchi tunataka habari za motomoto sio muendelezo wa habari zilizopita "kiporo". Matukio mapya yanafunika yale ya zamani siku zinasonga.Hivi Kesi hii iliishia wapi? Hukumu tayari ilishatolewa au bado?
Na hii kesi ya kalanje hukumu imekuwaje?Majura Magafu licha ya utaalamu wake lakini kama Ushahidi umenyooka huwa anagonga mwamba,nadhani alikuwepo kwenye kuwatetea wale waliomuua Bilionea Msuya na wote walihukumiwa KUNYONGWA japo kwenye Rufaa akachomoka mmoja huku Master mwenyewe aliyefadhili Pesa ili mpango ukamilike akibaki ndani mpaka leo kusubiria Hukumu licha ya utajili wake wote. Kwa hiyo kwa kifupi Kesi hii ni ngumu kwa ndugu yangu Gilbert Kalanje. Inafanana na ile Kesi ya Zombe lakini hii ni ngumu maana Mtekelezaji wa Mauaji ndie mshtakiwa wa kwanza(Gilbert Kalanje). Ile Kesi ya Zombe Mtekelezaji wa Mauaji ya wale Wafanyabiashara na Dreva Tax (Koplo Saad)hakuwahi kukamatwa mpaka leo ndio maana Jaji aliwaachia huru kina Zombe na akawaambia Upande wa Mashtaka wamlete Muuaji Mahakamani yaani Koplo Saad