Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

Acha UJINGA, nimelitumikia Jeshi la Polisi Tanzania kwa miaka 9 na kwa level zote Junior Officer na Senior Officer(Inspector), hivyo nina uhakika wa Asilimia 100 kwa ninachokisema

Yaaan senior officer ndio Inspector? Naanza kupata waswas kama unalijua jeshi weye
 
Kesi hizi huwa mwanzo zinajulikana,Ila mwisho huwa haujulikani.Hakuna updates.
 
Taarifa ina maelezo marefu sana sana, nimeshindwa kuendelea, ahsanteni mlioniwakilisha kuisoma

Duh, askari hao, aibu sana, hawakutegemewa siku moja kupigwa pingu.....haki itendeke
 
You must be joking. Mwanzo umeeleza kwa usahihi sana kuhusu hayo magenge. Sasa kabla hujatoa mapendekezo jiulize ni “mazingira” gani yanayofanya polisi, TISS, na vyombo vingine vya dola kuwa kama magenge ya kimafia?
Wanakuwa Kama Magenge ya kimafia pale Watu hao wanapokiuka Sheria, Miiko na Maadili ya kazi yao na kufanya Uhalifu. Pale wanapovunja Haki za binadamu (Serious or Grave human rights violation).
Bila shaka usingetoa hayo mapendekezo kama ulivyoyatoa. Kwanza, jiulize, unawafahamuje hao unaotaka wachukue hatua? Kwamba hawaoni huo uozo? Kwamba nao unawakera sana kama wewe na wananchi wengine wanavyokereka? Kwamba they are not part of the problem IF NOT the problem itself?
Ni KWELI kabisa kwamba wao pia ni sehemu ya tatizo/janga hili.
 
Wanakuwa Kama Magenge ya kimafia pale Watu hao wanapokiuka Sheria, Miiko na Maadili ya kazi yao na kufanya Uhalifu. Pale wanapovunja Haki za binadamu (Serious or Grave human rights violation).

Ni KWELI kabisa kwamba wao pia ni sehemu ya tatizo/janga hili.
Unamshauri rais? Una maana unaamini kuwa yeye yuko “gizani” kuhusu matendo ya kigaidi yanayofanywa na hayo magenge ya kimafia yaliyo chini ya uongozi wake?
 
Hivi Kesi hii iliishia wapi? Hukumu tayari ilishatolewa au bado?
Tumeshahama kwenye hili tukio na media zinajua wananchi tunataka habari za motomoto sio muendelezo wa habari zilizopita "kiporo". Matukio mapya yanafunika yale ya zamani siku zinasonga.
Hapo tusubiri "connection" ambayo itatusahaulisha matukio ya sasa.
 
Majura Magafu licha ya utaalamu wake lakini kama Ushahidi umenyooka huwa anagonga mwamba,nadhani alikuwepo kwenye kuwatetea wale waliomuua Bilionea Msuya na wote walihukumiwa KUNYONGWA japo kwenye Rufaa akachomoka mmoja huku Master mwenyewe aliyefadhili Pesa ili mpango ukamilike akibaki ndani mpaka leo kusubiria Hukumu licha ya utajili wake wote. Kwa hiyo kwa kifupi Kesi hii ni ngumu kwa ndugu yangu Gilbert Kalanje. Inafanana na ile Kesi ya Zombe lakini hii ni ngumu maana Mtekelezaji wa Mauaji ndie mshtakiwa wa kwanza(Gilbert Kalanje). Ile Kesi ya Zombe Mtekelezaji wa Mauaji ya wale Wafanyabiashara na Dreva Tax (Koplo Saad)hakuwahi kukamatwa mpaka leo ndio maana Jaji aliwaachia huru kina Zombe na akawaambia Upande wa Mashtaka wamlete Muuaji Mahakamani yaani Koplo Saad
Na hii kesi ya kalanje hukumu imekuwaje?
 
Back
Top Bottom