Mussa Hamisi hakuwa tajiri hata kidogo. Ni kizazi masikini na alikua anachimba madini shimo likatema akadhulumiwa na hao polisi wakaona itakuwa msalama wakaamua wamzime kama taa.Hutu Tajiri Mussa Hamisi Hamisi atakuw amtu mzito na mtu wa chama.
Sio rahisi kesi yake kusimama hivi. Kama tulivyozoea.
Vinginevyo tunawapongeza Jeshi la Polisi na Serikaki kusimamia haki.
KALANJE huyu sio aliyemtolea Nape Bastola kipindi kile kuwa muelewa Ndugu,acha kufuata uzushi ulioletwa na Magazeti,yule aliyemtolea Nape Bastola hakuwa Kalanje huyu Mshtakiwa kwenye Kesi hiiSema Kalanje mapepe mengiiii.
Toka enzi za kumzingua Nape kishamba mpaka Kitenge akaingilia.
Hapana,sie aliyemtolea Nape BastolaNa mie nilitaka kusema mbna km ndo yeye huyu.
Kijana alipata mamilion aisee akajua ndo ametoka kimaishaa kumbe ndo mwisho wa Uhai wakeee...maisha sometimes hayapo fair kabisaa ila polisi wana tamaa mamaee yanii sio watu kabisaaa mimi bi mkubwa alikataa katu katu dogo kuwa polisi.Mussa Hamisi hakuwa tajiri hata kidogo. Ni kizazi masikini na alikua anachimba madini shimo likatema akadhulumiwa na hao polisi wakaona itakuwa msalama wakaamua wamzime kama taa.
Sema hii kesi ina mkono wa Katelephone waziri mkubwa. Yeye ndo alifosi mpaka tume iundwe ya kufanya uchunguzi kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ambaye alikua Kanali wa Jeshi kama sikosei.
Otherwise wangeizima kimya kimya. Polisi sio watu.
Mimi mwenyewe kazi ya upolisi asifanye mwanangu. Ni laana.Kijana alipata mamilion aisee akajua ndo ametoka kimaishaa kumbe ndo mwisho wa Uhai wakeee...maisha sometimes hayapo fair kabisaa ila polisi wana tamaa mamaee yanii sio watu kabisaaa mimi bi mkubwa alikataa katu katu dogo kuwa polisi.
Mbna wamefanana San, utadhan ndo yeye.Hapana,sie aliyemtolea Nape Bastola
Harafu huyo greyson alikufaje?
Ni watu wawili tofauti,na kimsingi hata hawafanani maana wote nawafahamu vizuri sanaMbna wamefanana San, utadhan ndo yeye.
Mkuu unamtetea au???KALANJE huyu sio aliyemtolea Nape Bastola kipindi kile kuwa muelewa Ndugu,acha kufuata uzushi ulioletwa na Magazeti,yule aliyemtolea Nape Bastola hakuwa Kalanje huyu Mshtakiwa kwenye Kesi hii
17m kwa intro tu ya kuweka mambo sawa phase oneWakili anakula ngapi kwenye kesi kama hii?
Sasa nimtetee kwa kipi,screen shot ile picha iweke hapa kisha fananisha,ni watu wawili tofauti na wote nawafahamu,na huyu Gilbert ni Depo Mate wangu CCP 1998/1999,tukafanya Kazi wote Oysterbay Polisi kabla ya mimi kuacha kaziMkuu unamtetea au???
Ngoja niitazame ile clip vizuri...
Unawezekana upo sahii mkuu
Mkuu i feel ur pain.Sasa nimtetee kwa kipi,screen shot ile picha iweke hapa kisha fananisha,ni watu wawili tofauti na wote nawafahamu,na huyu Gilbert ni Depo Mate wangu CCP 1998/1999,tukafanya Kazi wote Oysterbay Polisi kabla ya mimi kuacha kazi
Mkuu acha kabisa ....
Mimi nilishasema ukiwa mikononi mwa polisi ...toa ushirikiano hata kama ni uongo ...wakikulazimisha kwamba sign hapa...wewe tii amri
Usijifanye mjuaji ..ukifika mahakamani sema nililazimishwa kusema uongo...
Kuna jamaa pale Moshi mjini mpaka Leo mwaka wa 8 ..magoti yake kila mwezi yanajaa maji kwa kipigo kikali baada ya kujifanya mjuaji kituo cha polisi ... Kwamba sema Mimi Jambazi na Nina miliki silaha nyumbani ..ili maelezo yatumike kama ushahidi ..
Mahakamani ..iliona hakuna ushahidi wa moja kwa moja kumtia hatiani ..lakini tayari ana maumivu ya maisha...
Hawezi kutembea hatua 15 bila msaada wa fimbo ..huwezi kustaki polisi ..maana muundo wa haki una shida ...unaweza kujikuta unastakiwa tena kwa ujambazi...
Ndio maana ukisikia MTU kafa kituoni ..jua kwamba kuna tukio LA kilazima lilikuwa linafanyika na mtuhumiwa anaonyesha jeuri
" Mahembe alidaiwa kujinyonga hadi kufa Januari 22, 2022 akiwa mahabusu."Harafu huyo greyson alikufaje?
Kulikoni? Jaribu kuvaa viatu vya huyu kijana aliyeuawa kinyama au wazazi wake ambao wamebaki hai. Seriously, matukio ya namna hii yanauma sana kupita kiasi, usiombe yakukute au yamkute ndugu, jamaa au mtu wako wa karibu unayempenda sana. Maumivu yake ni makali sana si ya dunia hii, hayavumiliki, ndio maana unaona Hamza Mohamed alijitoa muhamga kupambana nao mpaka kufa pale Selander Bridge Dsm.We jamaa wewe.....!!...
Anaweza kuloa mvua pia. Pesa ndo kila kituAll in all Dr anachomoka hapa
You must be joking. Mwanzo umeeleza kwa usahihi sana kuhusu hayo magenge. Sasa kabla hujatoa mapendekezo jiulize ni “mazingira” gani yanayofanya polisi, TISS, na vyombo vingine vya dola kuwa kama magenge ya kimafia?Extremely dangerous event.
Frankly speaking from the bottom of my heart, Jeshi la Polisi Tz na TISS ni Makundi ya Kigaidi hapa nchini . Habari hii inatisha sana kupita kiasi, na hiyo ndio namna yao ya utendaji kazi. Completely taasisi hizi zimepoteza kabisa uhalali wa kuwa Majeshi ya Serikali ya nchi, ni makundi ya kigaidi.
Kwa hali hii namshauri Rais wa nchi hii akae na wataalamu huru wa masuala ya Sheria/Katiba pamoja na wataalamu huru wa masuala ya Ulinzi na Usalama ili wamshauri namna nzuri zaidi ya kulivunja Jeshi la Polisi na TISS, kuwapokonya silaha zote walizokabidhiwa pamoja na Kutangaza Hali ya Hatari kwa muda Fulani huku ukiandaliwa utaratibu mwingine mpya ulio mzuri zaidi na bora wa kuunda upya taasisi hizi.
Polisi tizii wakijuwa una hela watafanya lolote wakutemesheKulikoni? Jaribu kuvaa viatu vya huyu kijana aliyeuawa kinyama au wazazi wake ambao wamebaki hai. Seriously, matukio ya namna hii yanauma sana kupita kiasi, usiombe yakukute au yamkute ndugu, jamaa au mtu wako wa karibu unayempenda sana. Maumivu yake ni makali sana si ya dunia hii, hayavumiliki, ndio maana unaona Hamza Mohamed alijitoa muhamga kupambana nao mpaka kufa pale Selander Bridge Dsm.
Ina maana watu wanaomjua kabisa na wengine wanaoishi nae mtaa m1 na wao wameconfuse!Hapana si kweli,kwenye tukio la Nape Kalanje HAKUWEPO,ni Magazeti yalichanganya habari tu