Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

Polisi tizii wakijuwa una hela watafanya lolote wakutemeshe
Hata yule jamaa hmza chanzo ni hiyo hiyo dhlma aliyofanyiwa sema kwa sababu hatua aliyochukua yeye ilijuwa kali sana akageuziwa kibao

Ova
Ni kweli kabisa, ogopa sana Polisi kujua kwamba una pesa, watakufuata ili wakupore pesa ulizonazo na Kisha wakuue ili kupoteza kabisa ushahidi. Nakumbuka mojawapo ya kisa kimoja cha kweli kilichotokea miaka zaidi ya kumi iliyopita ktk mkoa fulani ambao nisingependa kuutaja jina, wafanyabiashara wawili wa mifugo walikodi gari ili liwapeleke kwenye mnada wa mifugo (ng'ombe) ktk mji fulani. Wakiwa safarini njiani walikutana na gari la Polisi wa doria za barabarani, na Kisha gari la wafanyabiashara hao likasimamishwa, walikuwapo Askari Polisi wawili tu ambao baadaye ilijulikana kuwa walitumwa na Rpc ili kuwafuatilia wafanyabiashara hao na kuwakamata kwa sababu Polisi walishatonywa kuwa wafanyabiashara hao wamebeba fedha nyingi za kwenda kununulia ng'ombe. Wale wafayabiashara walikamatwa na Kisha kwenda kuhifadhiwa sehemu fulani kwenye nyumba binafsi ya mmoja wa maaskari, hawakupelelwa kituoni. Baadaye usiku "mkubwa" aiyewatuma kazi alikuja kwenye hiyo nyumba na kuchukua 'mzigo wake' na kisha kuamuru wafanya iashara hao wote na dereva wamalizwe gari yao kwenda kutelekezwa ktk mji wa mbali karibu 80km kwenye wilaya ya jirani, na ilifanyika hivyo usiku huo huo na baadaye ilijulikana kuwa wale wafanyabiashara walikwa na Tshs. 60milioni cash. Maiti za wale wafanyabiashara walienda kuzitupa mbali kwenye mashamba ya wakulima. Walati matukio yote haya yakiendelea kulikuwa na Askari Polisi mmoja ambaye hakuwa zamu siku hiyo ambaye alikuwa akiishi kwenye mtaa mmoja wenye nyumba walikohifadhiwa wafanyabiashara waliotekwa. Askari huyo baada ya kuona gari la Polisi wa doria lenye namba za kawaida za kiraia lilikuwa linapita mara kwa mara mtaani hapo siku hiyo aliamua kulifuatilia gari hilo na mchongo huo kisirisiri bila hao Askari wenzake kujua.
Miezi michache baaaye minong'ono ya taarifa hii ilianza kusambaa mitaani, wale Askari waliopiga dili walifuatilia ili kujua nani hasa chanzo cha taarifa za kubumbuluka kwa dili lao la Siri kubwa, wakagundua kuwa chanzo Cha kuvuja kwa taarifa hiyo ni Askari mwenzao . Ndani ya muda mfupi kabisa yule Askari alimalizwa, alikutwa 'amekufa' nyumbani kwake, na muda mfupi siku chache baadaye yule Rpc alihamishwa kutoka mkoa ule(inavyoonekana huenda makao makuu ya Polisi walipata taarifa za dili lile). Polisi ni hatari, kaa nao mbali kama umebeba pesa cash.
.
 
Ni kweli kabisa, ogopa sana Polisi kujua kwamba una pesa, watakufuata ili wakupore pesa ulizonazo na Kisha wakuue ili kupoteza kabisa ushahidi. Nakumbuka mojawapo ya kisa kimoja cha kweli kilichotokea miaka zaidi ya kumi iliyopita ktk mkoa fulani ambao nisingependa kuutaja jina, wafanyabiashara wawili wa mifugo walikodi gari ili liwapeleke kwenye mnada wa mifugo (ng'ombe) ktk mji fulani. Wakiwa safarini njiani walikutana na gari la Polisi wa doria za barabarani, na Kisha gari la wafanyabiashara likasamishwa, walikuwapo Askari Polisi wawili tu ambao baadaye ilijulikana kuwa walitumwa na Rpc ili kuwafuatilia wafanyabiashara hao na kuwakamata kwa sababu Polisi walishatonywa kuwa wafanyabiashara hao wamebeba fedha nyingi za kwenda kununulia ng'ombe. Wale wafayabiashara walikamatwa na Kisha kwenda kuhifadhiwa sehemu fulani kwenye nyumba binafsi ya mmoja wa maaskari, hawakupelelwa kituoni. Baadaye usiku "mkubwa" aiyewatuma kazi alikuja kwenye hiyo nyumba na kuchukua 'mzigo wake' na kisha kuamuru wafanya iashara hao wote na dereva wamalizwe gari yao kwenda kutelekezwa ktk mji wa mbali karibu 80km kwenye wilaya ya jirani, na ilifanyika hivyo usiku huo huo na baadaye ilijulikana kuwa wale wafanyabiashara walikwa na Tshs. 60milioni cash. Maiti za wale wafanyabiashara walienda kuzitupa mbali kwenye mashamba ya wakulima. Walati matukio yote haya yakiendelea kulikuwa na Askari Polisi mmoja ambaye hakuwa zamu siku hiyo ambaye alikuwa akiishi kwenye mtaa mmoja wenye nyumba walikohifadhiwa wafanyabiashara waliotekwa. Askari huyo baada ya kuona gari la Polisi wa doria lenye namba za kawaida za kiraia lilikuwa linapita mara kwa mara mtaani hapo siku hiyo aliamua kulifuatilia gari hilo na mchongo huo kisirisiri bila hao Askari wenzake kujua.
Miezi michache baaaye minong'ono ya taarifa hii ilianza kusambaa mitaani, wale Askari waliopiga dili walifuatilia ili kujua nani hasa chanzo cha taarifa za kubumbuluka kwa dili lao la Siri kubwa, wakagundua kuwa ni Askari mwenzao . Ndani ya muda mfupi kabisa yule Askari alimalizwa, alikutwa amekufa nyumbani kwake na muda mfupi baadaye yule Rpc alihamishwa mkoa ule(inavyoonekana makao makuu ya Polisi walipata taarifa za dili lile). Polisi ni hatari, kaa nao mbali kama umebeba pesa cash.
.
Sasa milioni 60 ni hela ya kufanya ue watu kweli?
 
Acha kutetea ukatili wa polisi. Polisi wanaunyama hujawahi sikia. Wewe ongea tu kwa sababu hayajakufika. Eti wewe kubali tu utakataa mahakamani. Waulize akinabowe kilichotokea. Mahakama ilikubaliana na ushahidi wa Polisi. Usichukulie mambo simple kihivyo.
Sijatetea ukatili wa Polisi ...
Soma kwa makini
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Yustino John Mgonja ameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara namna mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis Hamis, alivyouawa.

Pia, amewataja washtakiwa waliokuwepo eneo la tukio na yule anayedaiwa kutekeleza mauaji hayo ya mfanyabiashara huyo aliyekuwa mkazi wa Nachingwea mkoani Lindi.

ACP Mgonja alitoa maelezo hayo jana wakati akitoa ushahidi katika kesi hiyo ya mauaji inayowakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara. Yeye ni shahidi wa tatu wa upande wa mashtaka kati ya mashahidi 72 wanaotarajiwa kuitwa na upande wa mashtaka katika kesi hiyo.

Washtakiwa katika kesi hiyo ya jinai namba 15 ya mwaka 2023 ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Mtwara, Gilbert Sostenes Kalanje na Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara, Charles Onyango.

Wengine ni aliyekuwa Ofisa Intelijensia ya Jinai Mkoa wa Mtwara, Nicholaus Kisinza, Marco Mbuta, Mkaguzi wa Polisi, John Msuya, aliyekuwa mganga mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara, Shirazi Mkupa na Koplo Salim Mbalu.

Maofisa hao wa Polisi wanakabiliwa na shtaka moja la mauaji wakidaiwa kumuua kwa makusudi Mussa waliyemchoma sindano ya sumu katika kituo cha Polisi Mitengo Wilaya ya Mtwara, Mkoa wa Mtwara, Januari 5, 2022.

Hata hivyo, wakati polisi hao wakiwa mahabusu kabla ya kupandishwa kizimbani, mtuhumiwa mwenzao, Grayson Mahembe alidaiwa kujinyonga hadi kufa Januari 22, 2022 akiwa mahabusu.

Kesi hiyo inasikilizwa na Jaji Edwin Kakolaki kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Katika ushahidi wake akiongozwa na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali Mkuu, Pascal Marungu aliieleza mahakama kuwa Mussa aliuawa na SP Kalanje Kwa kumziba kwa tambala mdomoni na puani, muda mfupi baada ya Dk Msuya (mshtakiwa wa Tano) kumdunga sindano ya usingizi.

Shahidi huyo aliieleza Mahakama kuwa alipata taarifa za tukio hilo baada ya kuwahoji baadhi ya askari waliokuwa zamu katika kituo cha Polisi Mitengo, pamoja na Dk Msuya mwenyewe na ofisa wa polisi, Grayson (marehemu kwa sasa) ambao walisimulia tukio hilo.

Kwa mujibu wa shahidi huyo, siku ya tukio Januari 5, 2022, mshtakiwa wa kwanza, SP Kalanje alimpigia simu Dk Msuya akamtaka waonane na Dk Msuya ambaye al8ikaribisha ofisini kwake katika zahanati ya Polisi na wakazungumza.

Alidai kuwa SP Kalanje alimueleza Dk Msuya kuwa wana mtuhumiwa wao wa wizi wa pikipiki ambaye amekuwa akifanya matukio ya wizi huo maeneo mbali katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Dar es Salaam na amekuwa akiwasumbua hivyo wanataka wammalize.

Hivyo alidai kuwa SP Kalanje alimuuliza Dk Msuya kama anaweza kufanya namna ya kupata sindao ya sumu ili wamdunge, lakini Dk Msuya alimjibu kuwa tangu aajiriwe na kuapa kuwa daktari hajawahi kumdunga mtu sindano ya sumu.

Shahidi huyo amedai kuwa badala yake. Dk Msuya alimshauri SP Kalanje wamdunge sindano ya usingi , akizinduka ataanza kueleza matukio yote ya wizi aliyoyafanya, ushauri ambao Kalanje alikubaliana nao.

Kwa mujibu wa shahidi huyo, licha ya SP Kalanje kutaka waende kutekeleza mpango huo wakati huohuo, lakini Dk Msuya alimueleza kuwa wakati huo bado alikuwa na wagonjwa wengine akiwahudumua na akashauri wafanye baadaye.

Saa 8:30 mchana, Kalanje alifika ofisini kwa Dk Msuya kwa ajili ya kutekeleza mpango huo kama walivyokuwa wamekubaliana, hivyo alimuuliza kama alikuwa tayari akamjibu kuwa alikuwa tayari.

Lakini Dk Msuya alimuuliza SP Kalanje mahali alikokuwa huyo mtuhumiwa wao, akamjibu kuwa alikuwa katika kituo cha Polisi Mitengo.

Kwa mujibu wa shahidi huyo, Dk Msuya alisema yeye anaelewa kituo cha Mitengo kina wahalifu sugu hivyo akajua na huyo amehifadhiwa kwa wahalifu sugu, akakubali akaingia kwenye gari na akakaa kiti cha mbele huku gari likiendeshwa na SP Kalanje.

Wakati gari inaondoka pale zahanati, Dk Msuya alihisi kama viti vya nyuma vina watu.

Hivyo aligeuka kutazama akawatambua watu wawili, ambao ni ASP Onyango na A/Insp Grayson waliokuwa wamekaa viti vya pembeni kulia na kushoto na katikati kulikuwa na mtu mwingine ambaye hakuweza kumtambua.

Waliendelea na safari hadi kituo cha Polisi Mitengo na SP Kalanje alishuka akaenda kuzungumza na mkuu wa kituo hicho, Paulo Kiula.

Dk Msuya na askari wale wawili pamoja na yule mtu ambaye hakumtambua nao walishuka wakamfuata SP Kalanje na mkuu wa kituo walipokuwa wanaelekea ndani ya jengo la kituo hicho.

Dk Msuya alimuomba OCS Kiula amuonyeshe Kalanje ofisi moja ambayo aliingia Kalanje, Onyango, Grayson na yule kijana na yeye akabaki nje.

Lakini baada ya dakika tatu hivi, naye alingia ndani ya hiyo ofisi na alimkuta yule kijana amevuliwa shati yuko kifua wazi na mikono yake ikiwa imefungwa kwa kamba kwa nyuma akiwa amelala kwenye sakafu huku akilia.

SP Kalanje alimwambia Dk Msuya amdunge sindano ya usingizi mkono wa kulia yule kijana.

Na baadaye kidogo, Dk Msuya anasema alimsikia Kalanje akisema huyo anawachelewesha, akachukua tambala akamziba yule kijana pua na mdomo.

Anasema baada ya Dk Msuya kuona vile aliamua kutoka nje akawaacha Karanje na wale wenzake na yule kijana akiwa amelala chini.

Lakini baada ya muda mfupi, Kalanje alimuita Dk Msuya akamuuliza, "tayari?" huku akimuonyesha yule kijana pale chini.

Dk Msuya alimuangalia kama hapumui lakini hakumpima ila alielewa lile swali la SP Kalanje kwamba lilikuwa linamaanisha kama amekufa na yeye alijibu kuwa tayari.

Hivyo wote walitoka mle chumbani na kumuacha yule kijana akiwa amelala pale chini.

SP Kalanje alikwenda kwa OCS akachukua kufuli likiwa na funguo akafunga mlango kisha wakaondoka wote akiwa na huo ufunguo, wakapanda gari na kuondoka.

Kamanda huyo wa polisi ambaye ni shahidi, aliieleza Mahakama kuwa baada ya maelezo hayo ya mdomo kutoka kwa Dk Msuya, alielekeza yaandikwe maelezo kama alivyosimulia na maelezo yake yawekwe kwenye jalada la uchunguzi.

“Wakati huo tulimchukulia Dk Msuya kama mtoa taarifa,” alidai Kamanda Mgonja.

Alidai wakati yote hayo yakifanyika, alijiuliza hayo mauaji ni ya huyo kijana Mussa ambaye ndugu zake walikuwa wanamtafuta au kuna mwingine?

"Hivyo nikaagiza atafutwe mjomba wa Mussa Hamis anayeitwa Salum Mombo aje ofini kwangu, alikuja nikamtaka anitafutie picha za Mussa kusudi ili niangalie yule mtu ambaye askari wanasema walimuona akiingia pale Mitengo ndiyo huyu kijana Mussa Hamis au ni mwingine,” alieleza.

Shahidi huyo alieleza kuwa mjomba huyo akiwa ofini kwake alipiga simu Nachingwea kwa baba wa kufikia wa Mussa akamtaka atafute picha zake azitume kwenye gari.

"Kesho yake Januari 22, 2022 zililetwa picha nikazitazama nikamkabidhi ASP Esau ili waendelee na utaratibu wa upelelezi,” alieleza ACP Mgonja.

Alidai kulikuwa na mauaji Januari 21,2022 niliagiza apatikane Grayson ambaye alikuwa mahabusu Tandahimba, kwanza kati ya watu wote waliotajwa yeye alikuwa ametajwa maeneo mengi.

Alieleza kuwa baada ya Grayson kuletwa aliongeza timu ya wapelelezi akiwajumuisha askari watano wa timu ya Task Force waliokuwa wanashughulikia magaidi wakingozwa na SP Simba, hivyo ikawa timu ya wapelelezi 10 akiwemo yeye mwenyewe.

"Tulifikiri kwa pamoja tukakubaliana tumlete Dk Msuya ili asimulie mbele ya Grayson nini kiliendelea pale Mitengo kama alivyonisimulia mimi.”

"Kwa kuwa Msuya alishuhudia kila kitu kilichofanyika pale Mitengo na Grayson akiwepo, kwa hiyo sisi kama makachero tuliona Grayson akisikia, basi mahojiano yetu naye yatakuwa rahisi."

Shahidi huyo alihitimisha Kwa kueleza kuwa katika mahojiano ya mdomo waliyoyafanya na Dk Msuya mbele ya Grayson, alisimulia kama alivyokuwa amemsimulia yeye na walipomuuliza Grayson, alikubali kuwa alivyosimulia Dk Msuya ndivyo walivyofanya.

“Hivyo mimi kama RCO picha iliyoniijia kichwani ni kwamba, haya sasa ni mauaji na kama ni mauaji hakuna mauaji ambayo hayana mwili au mtu aliyeuawa, hivyo nikamtaka Grayson atuonyeshe huyo ambaye wamemuua yuko wapi."

Hata hivyo wakati shahidi huyo anataka kueleza kile Grayson alichosema, kiongozi wa jopo la mawakili wa utetezi, Majura Magafu aliweka pingamizi akisema kwa kuwa Grayson si mshtakiwa wala shahidi, hawezi kutoa maelezo yake kwa sababu hawatapata fursa ya kumhoji kuhusu ukweli wake.

Pingamizi hilo liliibua mvutano wa hoja na upande wa mashtaka na Jaji Kakolaki baada ya kusikiliza hoja za pande zote aliahirisha kesi hiyo Kwa ajili ya kuandika uamuzi wake.
Usisite kutupa muendelezo mdau
 
Extremely dangerous event.
Frankly speaking from the bottom of my heart, Jeshi la Polisi Tz na TISS ni Makundi ya Kigaidi hapa nchini . Habari hii inatisha sana kupita kiasi, na hiyo ndio namna yao ya utendaji kazi. Completely taasisi hizi zimepoteza kabisa uhalali wa kuwa Majeshi ya Serikali ya nchi, ni makundi ya kigaidi.
Kwa hali hii namshauri Rais wa nchi hii akae na wataalamu huru wa masuala ya Sheria/Katiba pamoja na wataalamu huru wa masuala ya Ulinzi na Usalama ili wamshauri namna nzuri zaidi ya kulivunja Jeshi la Polisi na TISS, kuwapokonya silaha zote walizokabidhiwa pamoja na Kutangaza Hali ya Hatari kwa muda Fulani huku ukiandaliwa utaratibu mwingine mpya ulio mzuri zaidi na bora wa kuunda upya taasisi hizi.
Umesahau na wanaopiga wananchi wasiokua na mafunzo ya kupigana maeneo kama kwa Gwajima.
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Yustino John Mgonja ameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara namna mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis Hamis, alivyouawa.

Pia, amewataja washtakiwa waliokuwepo eneo la tukio na yule anayedaiwa kutekeleza mauaji hayo ya mfanyabiashara huyo aliyekuwa mkazi wa Nachingwea mkoani Lindi.

ACP Mgonja alitoa maelezo hayo jana wakati akitoa ushahidi katika kesi hiyo ya mauaji inayowakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara. Yeye ni shahidi wa tatu wa upande wa mashtaka kati ya mashahidi 72 wanaotarajiwa kuitwa na upande wa mashtaka katika kesi hiyo.

Washtakiwa katika kesi hiyo ya jinai namba 15 ya mwaka 2023 ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Mtwara, Gilbert Sostenes Kalanje na Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara, Charles Onyango.

Wengine ni aliyekuwa Ofisa Intelijensia ya Jinai Mkoa wa Mtwara, Nicholaus Kisinza, Marco Mbuta, Mkaguzi wa Polisi, John Msuya, aliyekuwa mganga mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara, Shirazi Mkupa na Koplo Salim Mbalu.

Maofisa hao wa Polisi wanakabiliwa na shtaka moja la mauaji wakidaiwa kumuua kwa makusudi Mussa waliyemchoma sindano ya sumu katika kituo cha Polisi Mitengo Wilaya ya Mtwara, Mkoa wa Mtwara, Januari 5, 2022.

Hata hivyo, wakati polisi hao wakiwa mahabusu kabla ya kupandishwa kizimbani, mtuhumiwa mwenzao, Grayson Mahembe alidaiwa kujinyonga hadi kufa Januari 22, 2022 akiwa mahabusu.

Kesi hiyo inasikilizwa na Jaji Edwin Kakolaki kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Katika ushahidi wake akiongozwa na mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali Mkuu, Pascal Marungu aliieleza mahakama kuwa Mussa aliuawa na SP Kalanje Kwa kumziba kwa tambala mdomoni na puani, muda mfupi baada ya Dk Msuya (mshtakiwa wa Tano) kumdunga sindano ya usingizi.

Shahidi huyo aliieleza Mahakama kuwa alipata taarifa za tukio hilo baada ya kuwahoji baadhi ya askari waliokuwa zamu katika kituo cha Polisi Mitengo, pamoja na Dk Msuya mwenyewe na ofisa wa polisi, Grayson (marehemu kwa sasa) ambao walisimulia tukio hilo.

Kwa mujibu wa shahidi huyo, siku ya tukio Januari 5, 2022, mshtakiwa wa kwanza, SP Kalanje alimpigia simu Dk Msuya akamtaka waonane na Dk Msuya ambaye al8ikaribisha ofisini kwake katika zahanati ya Polisi na wakazungumza.

Alidai kuwa SP Kalanje alimueleza Dk Msuya kuwa wana mtuhumiwa wao wa wizi wa pikipiki ambaye amekuwa akifanya matukio ya wizi huo maeneo mbali katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Dar es Salaam na amekuwa akiwasumbua hivyo wanataka wammalize.

Hivyo alidai kuwa SP Kalanje alimuuliza Dk Msuya kama anaweza kufanya namna ya kupata sindao ya sumu ili wamdunge, lakini Dk Msuya alimjibu kuwa tangu aajiriwe na kuapa kuwa daktari hajawahi kumdunga mtu sindano ya sumu.

Shahidi huyo amedai kuwa badala yake. Dk Msuya alimshauri SP Kalanje wamdunge sindano ya usingi , akizinduka ataanza kueleza matukio yote ya wizi aliyoyafanya, ushauri ambao Kalanje alikubaliana nao.

Kwa mujibu wa shahidi huyo, licha ya SP Kalanje kutaka waende kutekeleza mpango huo wakati huohuo, lakini Dk Msuya alimueleza kuwa wakati huo bado alikuwa na wagonjwa wengine akiwahudumua na akashauri wafanye baadaye.

Saa 8:30 mchana, Kalanje alifika ofisini kwa Dk Msuya kwa ajili ya kutekeleza mpango huo kama walivyokuwa wamekubaliana, hivyo alimuuliza kama alikuwa tayari akamjibu kuwa alikuwa tayari.

Lakini Dk Msuya alimuuliza SP Kalanje mahali alikokuwa huyo mtuhumiwa wao, akamjibu kuwa alikuwa katika kituo cha Polisi Mitengo.

Kwa mujibu wa shahidi huyo, Dk Msuya alisema yeye anaelewa kituo cha Mitengo kina wahalifu sugu hivyo akajua na huyo amehifadhiwa kwa wahalifu sugu, akakubali akaingia kwenye gari na akakaa kiti cha mbele huku gari likiendeshwa na SP Kalanje.

Wakati gari inaondoka pale zahanati, Dk Msuya alihisi kama viti vya nyuma vina watu.

Hivyo aligeuka kutazama akawatambua watu wawili, ambao ni ASP Onyango na A/Insp Grayson waliokuwa wamekaa viti vya pembeni kulia na kushoto na katikati kulikuwa na mtu mwingine ambaye hakuweza kumtambua.

Waliendelea na safari hadi kituo cha Polisi Mitengo na SP Kalanje alishuka akaenda kuzungumza na mkuu wa kituo hicho, Paulo Kiula.

Dk Msuya na askari wale wawili pamoja na yule mtu ambaye hakumtambua nao walishuka wakamfuata SP Kalanje na mkuu wa kituo walipokuwa wanaelekea ndani ya jengo la kituo hicho.

Dk Msuya alimuomba OCS Kiula amuonyeshe Kalanje ofisi moja ambayo aliingia Kalanje, Onyango, Grayson na yule kijana na yeye akabaki nje.

Lakini baada ya dakika tatu hivi, naye alingia ndani ya hiyo ofisi na alimkuta yule kijana amevuliwa shati yuko kifua wazi na mikono yake ikiwa imefungwa kwa kamba kwa nyuma akiwa amelala kwenye sakafu huku akilia.

SP Kalanje alimwambia Dk Msuya amdunge sindano ya usingizi mkono wa kulia yule kijana.

Na baadaye kidogo, Dk Msuya anasema alimsikia Kalanje akisema huyo anawachelewesha, akachukua tambala akamziba yule kijana pua na mdomo.

Anasema baada ya Dk Msuya kuona vile aliamua kutoka nje akawaacha Karanje na wale wenzake na yule kijana akiwa amelala chini.

Lakini baada ya muda mfupi, Kalanje alimuita Dk Msuya akamuuliza, "tayari?" huku akimuonyesha yule kijana pale chini.

Dk Msuya alimuangalia kama hapumui lakini hakumpima ila alielewa lile swali la SP Kalanje kwamba lilikuwa linamaanisha kama amekufa na yeye alijibu kuwa tayari.

Hivyo wote walitoka mle chumbani na kumuacha yule kijana akiwa amelala pale chini.

SP Kalanje alikwenda kwa OCS akachukua kufuli likiwa na funguo akafunga mlango kisha wakaondoka wote akiwa na huo ufunguo, wakapanda gari na kuondoka.

Kamanda huyo wa polisi ambaye ni shahidi, aliieleza Mahakama kuwa baada ya maelezo hayo ya mdomo kutoka kwa Dk Msuya, alielekeza yaandikwe maelezo kama alivyosimulia na maelezo yake yawekwe kwenye jalada la uchunguzi.

“Wakati huo tulimchukulia Dk Msuya kama mtoa taarifa,” alidai Kamanda Mgonja.

Alidai wakati yote hayo yakifanyika, alijiuliza hayo mauaji ni ya huyo kijana Mussa ambaye ndugu zake walikuwa wanamtafuta au kuna mwingine?

"Hivyo nikaagiza atafutwe mjomba wa Mussa Hamis anayeitwa Salum Mombo aje ofini kwangu, alikuja nikamtaka anitafutie picha za Mussa kusudi ili niangalie yule mtu ambaye askari wanasema walimuona akiingia pale Mitengo ndiyo huyu kijana Mussa Hamis au ni mwingine,” alieleza.

Shahidi huyo alieleza kuwa mjomba huyo akiwa ofini kwake alipiga simu Nachingwea kwa baba wa kufikia wa Mussa akamtaka atafute picha zake azitume kwenye gari.

"Kesho yake Januari 22, 2022 zililetwa picha nikazitazama nikamkabidhi ASP Esau ili waendelee na utaratibu wa upelelezi,” alieleza ACP Mgonja.

Alidai kulikuwa na mauaji Januari 21,2022 niliagiza apatikane Grayson ambaye alikuwa mahabusu Tandahimba, kwanza kati ya watu wote waliotajwa yeye alikuwa ametajwa maeneo mengi.

Alieleza kuwa baada ya Grayson kuletwa aliongeza timu ya wapelelezi akiwajumuisha askari watano wa timu ya Task Force waliokuwa wanashughulikia magaidi wakingozwa na SP Simba, hivyo ikawa timu ya wapelelezi 10 akiwemo yeye mwenyewe.

"Tulifikiri kwa pamoja tukakubaliana tumlete Dk Msuya ili asimulie mbele ya Grayson nini kiliendelea pale Mitengo kama alivyonisimulia mimi.”

"Kwa kuwa Msuya alishuhudia kila kitu kilichofanyika pale Mitengo na Grayson akiwepo, kwa hiyo sisi kama makachero tuliona Grayson akisikia, basi mahojiano yetu naye yatakuwa rahisi."

Shahidi huyo alihitimisha Kwa kueleza kuwa katika mahojiano ya mdomo waliyoyafanya na Dk Msuya mbele ya Grayson, alisimulia kama alivyokuwa amemsimulia yeye na walipomuuliza Grayson, alikubali kuwa alivyosimulia Dk Msuya ndivyo walivyofanya.

“Hivyo mimi kama RCO picha iliyoniijia kichwani ni kwamba, haya sasa ni mauaji na kama ni mauaji hakuna mauaji ambayo hayana mwili au mtu aliyeuawa, hivyo nikamtaka Grayson atuonyeshe huyo ambaye wamemuua yuko wapi."

Hata hivyo wakati shahidi huyo anataka kueleza kile Grayson alichosema, kiongozi wa jopo la mawakili wa utetezi, Majura Magafu aliweka pingamizi akisema kwa kuwa Grayson si mshtakiwa wala shahidi, hawezi kutoa maelezo yake kwa sababu hawatapata fursa ya kumhoji kuhusu ukweli wake.

Pingamizi hilo liliibua mvutano wa hoja na upande wa mashtaka na Jaji Kakolaki baada ya kusikiliza hoja za pande zote aliahirisha kesi hiyo Kwa ajili ya kuandika uamuzi wake.
HII KESI BANA KUNA YULE MSHENZI ALIEMTISHIA WAZIRI WETU WA RREDIO TV NA BASTOLA SIJUI KAMA AMEACHIWA ..ALIJUMUISHWA KWENYE MAUWAJI..MSHENZI YULE
 
Washtakiwa katika kesi hiyo ya jinai namba 15 ya mwaka 2023 ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Mtwara, Gilbert Sostenes Kalanje na Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara, Charles Onyango.

Wengine ni aliyekuwa Ofisa Intelijensia ya Jinai Mkoa wa Mtwara, Nicholaus Kisinza, Marco Mbuta, Mkaguzi wa Polisi, John Msuya, aliyekuwa mganga mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara, Shirazi Mkupa na Koplo Salim Mbalu.

Maofisa hao wa Polisi wanakabiliwa na shtaka moja la mauaji wakidaiwa kumuua kwa makusudi Mussa waliyemchoma sindano ya sumu katika kituo cha Polisi Mitengo Wilaya ya Mtwara, Mkoa wa Mtwara, Januari 5, 2022.
Yule wa Nape ni yupi katika hao
 
Huyo kalanje nadhani ni yule aliyemtolea nape bastola kipindi cha magu,jamaa ni jambazi anayevaa magwanda,kule mbezi malamba mawili ana hekalu ambalo aliendani na kazi yake,akishapatikana na hatia serikali itaifishe na mali zake zote ili iwe fundisho kwa watumishi wezi
Akiyemtolea Nape bastola,bilashaka siyo huyo, inasemekana yupo kitengoni anapiga mzigo kama kawa.
 
Hatari sana, mwenendo wa kesi kufuatia pingamizi la upande wa washitakiwa kupitia wakili wao ...


1
IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
AT MTWARA CRIMINAL SESSION CASE NO. 15 OF 2022
(Original PI No 1 of 2022 in the Resident Magistrate’s Court of Mtwara at Mtwara)

THE REPUBLIC

VERSUS

GILBERT SOSTENES KALANJE........................... 1st ACCUSED
CHARLES MAURICE ONYANGO.. 2ND ACCUSED
NICHOLAUS STANSLAUS KISINZA...................3RD ACCUSED
MARCO MBUTA CHIGINGOZI...............4TH ACCUSED
JOHN YESSE MSUYA............................5TH ACCUSED
SHIRAZI ALLY MKUPA..........................6TH ACCUSED
SALIM JUMA MBALU............................7TH ACCUSED

RULING Date of last Order: 13/11/2023
Date of Ruling: 13/11/2023
E.E. KAKOLAKI, J.

Before the prosecution could parade their witnesses in Court, the lead counsel Mr. Maternus Marandu, Principal State Attorney moved the Court
with a prayer to record the filed Notice of intention to bring in additional evidence (documentary exhibit) of a witness for the prosecution which according to him was filed on 31/10/2023 and served to all accused persons.


Counsel and lead counsel for and on behalf of all other defence counsel. His
objection mainly based on three grounds, one that, all accused persons are not aware of its existence since it has never been served to either of the
accused person or their advocates. Secondly that, this Court is functus officio to entertain this prayer as similar prayer was previously made by the prosecution on 09/08/2023 when this matter came for preliminary hearing but refused on the ground that, the statement of witness whose the notice sought to add for tendering of caution statement was read during committal
procedure but skipped to read the said cautioned statement hence it was improper for the prosecution to rely on the provisions of section 289(1) and
(2) of the Criminal Procedure Act, [Cap. 20 R.E 2022] (the CPA).

Page 2
According to him since the ruling of this Court of 09/08/2023 in relation to the Notice filed under section 289(1) of the CPA was refused despite of another
unsuccessful attempt during preliminary hearing to list caution statement of Insp. John Jesse Msuya as part of the prosecution documents intended to be relied upon during trial, this Court cannot entertain Notice of similar
nature arising from section 289(1) and (4) of the CPA for being functus officio. Lastly he argued, the purported notice filed on 31/10/2023 has failed

demanding for Notice to be given within reasonable time and that must have names and address of the witness intending to make additional evidence.
And further that, the prosecution has not stated the provision enabling them to refile similar application to the formerly rejected one. He thus prayed the
Court to uphold the objection and reject the prayer by the prosecution.

In rebuttal Mr. Nassir, Senior State Attorney urged the Court to dismiss the objections for want of merit. To start with the last argument he responded
that, the provisions of section 289(1) and (2) of the CPA were complied with as names and address of the witness intending to tender the said exhibit are
provided and further that, the Notice was served to the accused person through the prison officer one S/Sgt. Mohamed who signed their copy. The said copy was provided to the Court for reference. As to what should be
contained in the Notice relying on the case of Masamba Musiba Musiba Masai Msamba Vs. R, Criminal Appeal No. 138 of 2019 (CAT- unreported) he said the requirement is that, the Notice must state the name and address of the intended witness together with the substance of
her evidence, the particulars which are provided in the present notice. As to whether mentioning of the caution statement in the statement of witness whose Notice of additional evidence was rejected by the court on 09/08/2023

Page 3

suffices to allow the prosecution proceed tendering the said exhibit Mr. Nassir responded that, the case of DPP Vs. Sharif Mohamed @ Athuman and 6 Others, Criminal Appeal No. 74 of 2016 (CAT-unreported) provides
an answer. In that case he argued the Court of Appeal said it is not enough for a witness to merely allude to a document in his witness statement, but
rather the contents of that document must also be made known to the accused person(s). He therefore contended the Notice is properly before the
Court for complying with the law, hence defence’s objection is bound to fail.

On the second limb he retorted that, it is not true as submitted by Mr. Magafu that this Court is functus officio. According to him the issue on the merit of
the Notice was not deliberated and decided on by this Court as the same was struck out on the ground that, since the statement of recorder of the caution statement was read during committal and not the caution statement itself, hence the purported Notice could not have introduced it in as it was meant to add additional witness and not a document, hence ended up being struck out for being improperly titled. He argued that, as per the case of Cyprian Mamboleo Hizza Vs. Eva Kioso and Another, Civil Application No. 3 of 2010 (CAT-unreported) when the application is not dismissed the applicant can go back to the same court and start the process afresh. To him

Page 4

therefore the struck out application can be refiled and so submitted. It was his further submission that, even by assuming that the prayer for recording of the Notice was dismissed still the prosecution could have filed the present
Notice the two being different in contents as the rejected one sought to add additional witness of ASP Esau James Ikamaza while the present one seeks
to add the exhibit (caution statement) of Insp. John Jesse Msuya. He finally prayed the filed Notice to be recorded as filed as prayed.

In rejoinder Mr. Magafu maintained his submission in chief while insisting that, neither accused nor their advocates were served with the Notice after
it was filed in Court on 31/10/2023. He argued that, assuming for the sake
of argument the said Notice was served to the accused which fact is denied still it would not have been considered to be reasonable as provided by the
law since it was assumingly served on 10/11/2023. As to what Notice is reasonable he argued, section 289(3) of the CPA provides the answer as the
circumstances as to when the party seeking to add evidence became acquainted with nature of evidence sought to be added or witness to be called must be taken into account. And that where the nature of evidence is
discovered in the course of trial then the Notice is dispensed with. On how did the defence know the contents of the Notice which according to Mr

Page 5

Nassir were challenged Mr. Magafu recanted to have made such submission on missing particulars in the Notice accusing Mr. Nassir to have misquoted him as when submitting on that area he was referring to what the law
provides of a competent Notice and not its contents since the copy was never served to the accused nor to their advocates. In another exhilarating argument Mr. Magafu contended that this being a criminal matter the struck
out Notice cannot be refiled as such relief is provided only in civil matters hence the Case of Cyprian Mamboleo Hizza (supra) relied on by the
prosecution to impress upon the court that the struck out matter can be refiled is inapplicable to the circumstances of this case. As to other cases he also submitted the same are distinguishable from the facts of this case. Otherwise he reiterated his submission that this Court is functus officio hence
the objections raised be sustained.

I have taken time to chew out both fighting submission by the parties, consult the law and peruse the Notice at dispute in a bid to answer the issue as to whether this Court should record the Notice or not as prayed. To start with is the second limb on issue as to whether this Court is functus officio to entertain the Notice allegedly formerly decided on in its ruling of 09/08/2023.

It is a settled principle of law that, a court becomes functus officio over a

Page 6

matter if that court has already heard and made final determination over the
matter concerned or made some orders finally disposing of the case. See the case of Yusuf Ali Yusuf @ Shehe@ Mpemba & 5 Others Vs. The Republic, Criminal Appeal No. 81 of 2019 (unreported) and Kamundi Vs.
R (1973) EA 540.

Applying the principle in the above cited cases to the facts of this matter and having glanced at the ruling of this Court dated on 09/08/2023 on whether
Notice of Additional witness filed in Court seeking to introduce admission of addition exhibit a caution statement in which Mr. Magafu for defence had
objected its recording on the ground that, the Notice does not cater for additional evidence /exhibit but rather a witness whose statement explaining
substance of his evidence was not read during committal proceedings, I do not subscribe to Mr. Magafu’s proposition that this Court is functus officio. I
so do as the court when determining of the preliminary objection noted that the said witness statement which Mr. Magafu claimed not to have been read during committal proceedings was in fact read and further noted that, the
Notice itself concerned intention to add additional witness and not caution statement which the prosecution was aiming at, hence the court ruled out
that the purported Notice for additional of caution statement did not qualify

Page 7


to form part of the filed Notice for additional witness before the same was struck out. The said Notice in my opinion was struck out for being incompetent before the Court as legally the incompetent matter is abortive, meaning it is incapable of being heard or adjourned since there is no any matter before the Court. The above legal stance was given legal backing by the Court of Appeal in the case of Yahya Hamis Vs. Hamida Haji Idd and
2 Others, Civil Appeal No. 225 of 2018 (CAT-unreported) where the Court had this to say:’’...the remedy of a matter which is incompetent before the
Court is to be struck out. The reason for striking it out is that
such matter is abortive or rather is incapable of being heard or
even to be adjourned. In other words, it carries the implication
that there is no matter at all before the Court.’’
As the Notice subject of the ruling of 09/08/2023 was struck out on account of being incompetent it is my finding that there was no Notice at all before
the Court warranting entertainment of the prayer by the prosecution to have
it record. The first notice having been struck out, I hold there was no any conclusive decision made by this Court on whether the Notice should berecorded or not as prayed by the prosecution to render it functus officio.
Assuming for the sake of argument there was a decision was made on the

Page 8


said Notice, still I would hold this Court not functus officio as the Notice concerned an intention to add a witness ASP Esau James Ikama only and not for addition of caution statement of Insp. John Jesse Msuya (exhibit).
This limb of objection therefore fails.

Next for determination is whether the struck out criminal matter can be refiled, in which Mr. Magafu submits such remedy applies to civil matters
only and not criminal matter. With due respect to the learned counsel I do not subscribe to his proposition on two grounds. One, he cited no any authority to the Court in support of his stance. Secondly, it is settled law as correctly submitted by Mr. Nassir when relying on the case of Cyprian Mamboleo Hizza (supra) that, the applicant whose matter is not dismissed
but rather struck out can go back to the same court and start afresh. As to whether such remedy is applicable to criminal matter, I have no hesitation
in making a finding that it does.

The Court of Appeal in the case of Juma Nhandi Vs. R, Criminal Appeal No. 289 of 2012 (CAT-unreported) where the Court had an occasion of dealing with the issue as to whether it was
proper for the first appellate court to dismiss the appeal which was incompetent, the Court ruled that the same ought to have been struck out and the appellant advised to file an application for extension of time so as

Page 9


to refile the competent appeal. In so doing the Apex Court of the land had this to say:’’After perusal of the order dismissing the appeal to the High Court and also the "summary rejection order" of the same court, we are in agreement with the learned State Attorney that the learned Judge should have struck out the incompetent appeal that was filed out of time and advise the appellant to seek an extension of time before filing a competent appeal to the High Court.’’

Back to the present matter since the first Notice of the intention to add witness was struck out, it is the findings of the Court that, the onlyprosecution’s remedy was to refile the Notice afresh.
Lastly is whether the filed Notice is incompliance with the provisions of section 289(1) and (2) of the CPA. In order to appreciate gist of the
contending arguments by the parties it is imperative that the said provision of section 289(1) and (2) of the CPA be reproduced:289.-(1) A witness whose statement or substance of evidence was not read at committal proceedings shall not be called by the prosecution at the trial unless the prosecution has given a reasonable notice in writing to the accused person or his advocate of the intention to call such witness.

Page 10


(2) The notice shall state the name and address of the witness and the substance of the evidence which he intends to give.

From the above exposition of the law, parties are at one concerning the requirement of the provisions of the law in that, no witness whose statement
or substance evidence was not read at committal proceedings shall be called by the prosecution to testify unless a reasonable notice is given in writing to the accused person or his advocate of the intention to call such witness. As to what constitute a Notice subsection (2) of section 289 of the Act is
categorical that it should mention name and address of the person intended to be called to give evidence. The object of the said section 289(1) and (2)
of CPA as obtaining in the case of Said Shabani Malikita Vs. R, Criminal Appeal No. 523 of 2020 (CAT-unreported) is to make aware the accused person of evidence likely to be used by the prosecution against him or during the trial.

It is undisputed fact under the same case that, an omission to list and read any exhibit during the committal proceedings which is sought to be
tendered during the trial in the High Court is curable by the application of section 289(1) and (4) of the CPA.

In this matter in which the prosecution’s prayer is for recording the filed
Notice, the complaint by the defence is that neither the accused persons no

Page 11


their advocates were served with the same in compliance with the provision of section 289(1) of the CPA and that the particulars of name and address of the party seeking to tender the exhibit is not provided for something which is contested by Mr. Nassir when submitted that, all requirements were complied with. It is not in dispute that, the said notice was filed on
31/10/2023 and purportedly served to the accused on 10/11/2023 vide B. 1903 S/Sgt. Mohamed of Lilungu prison. This Court upon passing a eye to
the copy of the said Notice allegedly filed on 10/11/2023 is in agreement with Mr. Magafu that, there is nothing showing that the same was served to accused persons through the prison authority for want of prison receiving stamp. Mere name and signature of the alleged prison officer without proof of the office in which he is coming from in my opinion is insufficient evidence
to prove that service done to the accused persons. I therefore find the Notice under dispute was not served to the accused person. As to whether the same bears names and address of the witness intending to tender the caution statement subject of the Notice at dispute, I find the law as provided under section 289(2) of the CPA was fully complied with by the prosecution, hence dismiss the complaint by Mr. Majura on that aspect as names of ASP. Essau
James Ikamaza and his address which is under care of the RCO for Mtwara

Page 12


Region were provided. Further to that, substance of the exhibit sought to be added is supplied in the notice as Cautioned Statement of PF 19906 Insp.
John Yesse Msuya recorded by ASP Essau James Ikamaza as witness. Save for omission of service of the said notice other requirement of the law were
complied with by the prosecution and I so find.

Now the last issue for determination is whether an omission or failure by the
prosecution to serve the accused person the filed Notice within reasonable time affects their prayer for recording it to form part of this Court’s
proceedings. In my humble view such omission or failure does not taint the Notice itself for two good reasons. One, the requirement of the law is for
the party seeking to tender additional evidence or exhibit to file a Notice, the object of which is to make sure that accused person(s) are made aware of
the prosecution’s intention to rely or tender such evidence or exhibit in Court as it was stated in Said Shabani Malikita (supra), the requirement which
in my considered view was complied with by the prosecution when the Notice
was filed in Court on 31/10/2023. Second, the issue of reasonability of service of the Notice is prematurely raised since the same can be raised,
tested and determined if need be when the additional witness is called to testify or tender the sought to be tendered exhibit in court

Page 13


All said and done, I find the objections raised by the defence devoid of merit and overrule them. It his hereby ordered that the Notice of additional exhibit
(cautioned statement) of PF 19906 Insp. John Yesse Msuya filed on
31/10/2023 by the prosecution is hereby marked recorded as prayed.

It is further ordered that, the same be served to the accused person or their advocates within reasonable time and before presentation of additional
evidence or exhibit in Court.

It is so ordered.


Dated at Mtwara this 13th November, 2023.
E. E. KAKOLAKI
JUDGE
13/11/2023.

The Ruling has been delivered at Dar es Salaam today 13th day of November, 2023 in the presence of both parties and Mr. Asha Mboga, Court clerk.

Right of Appeal explained.

Page 14

Source : Republic versus Gilbert Sostenes Kalanje & 6 others (Criminal Session Case no.15 of 2023) [2023] TZHC 22631 (13 November 2023)

Mchawi lugha
 
Harafu huyo greyson alikufaje?
Greyson wakat kesi inaanza yeye ndo alikuwa wa kwanza kukamatwa,hvyo wakubwa wakamuua akiwa mahabusu ili kuficha ushahidi
Wakasingizia eti kajiua kwa kujinyonga na tambara la dekio
BaBA greyson wakat anapokea mwili wa mwanae alisema haamin kabisa kama mwanae alijiua na alisema kuna kitu na waliomuua na wao litawakuta jambo
 
Jeshi la polisi ni jeshi la hovyo kuliko yote nchini. Sijui ni kwa nini linaendelea kufumbiwa macho. Maana linatakiwa kufumuliwa haraka na kuunda jeshi jipya, kutokana na kugubikwa kwake na kila aina ya uovu!!
 
Na baadaye kidogo, Dk Msuya anasema alimsikia Kalanje akisema huyo anawachelewesha, akachukua tambala akamziba yule kijana pua na mdomo.

Anasema baada ya Dk Msuya kuona vile aliamua kutoka nje akawaacha Karanje na wale wenzake na yule kijana akiwa amelala chini.

Lakini baada ya muda mfupi, Kalanje alimuita Dk Msuya akamuuliza, "tayari?" huku akimuonyesha yule kijana pale chini.[emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa, ogopa sana Polisi kujua kwamba una pesa, watakufuata ili wakupore pesa ulizonazo na Kisha wakuue ili kupoteza kabisa ushahidi. Nakumbuka mojawapo ya kisa kimoja cha kweli kilichotokea miaka zaidi ya kumi iliyopita ktk mkoa fulani ambao nisingependa kuutaja jina, wafanyabiashara wawili wa mifugo walikodi gari ili liwapeleke kwenye mnada wa mifugo (ng'ombe) ktk mji fulani. Wakiwa safarini njiani walikutana na gari la Polisi wa doria za barabarani, na Kisha gari la wafanyabiashara likasamishwa, walikuwapo Askari Polisi wawili tu ambao baadaye ilijulikana kuwa walitumwa na Rpc ili kuwafuatilia wafanyabiashara hao na kuwakamata kwa sababu Polisi walishatonywa kuwa wafanyabiashara hao wamebeba fedha nyingi za kwenda kununulia ng'ombe. Wale wafayabiashara walikamatwa na Kisha kwenda kuhifadhiwa sehemu fulani kwenye nyumba binafsi ya mmoja wa maaskari, hawakupelelwa kituoni. Baadaye usiku "mkubwa" aiyewatuma kazi alikuja kwenye hiyo nyumba na kuchukua 'mzigo wake' na kisha kuamuru wafanya iashara hao wote na dereva wamalizwe gari yao kwenda kutelekezwa ktk mji wa mbali karibu 80km kwenye wilaya ya jirani, na ilifanyika hivyo usiku huo huo na baadaye ilijulikana kuwa wale wafanyabiashara walikwa na Tshs. 60milioni cash. Maiti za wale wafanyabiashara walienda kuzitupa mbali kwenye mashamba ya wakulima. Walati matukio yote haya yakiendelea kulikuwa na Askari Polisi mmoja ambaye hakuwa zamu siku hiyo ambaye alikuwa akiishi kwenye mtaa mmoja wenye nyumba walikohifadhiwa wafanyabiashara waliotekwa. Askari huyo baada ya kuona gari la Polisi wa doria lenye namba za kawaida za kiraia lilikuwa linapita mara kwa mara mtaani hapo siku hiyo aliamua kulifuatilia gari hilo na mchongo huo kisirisiri bila hao Askari wenzake kujua.
Miezi michache baaaye minong'ono ya taarifa hii ilianza kusambaa mitaani, wale Askari waliopiga dili walifuatilia ili kujua nani hasa chanzo cha taarifa za kubumbuluka kwa dili lao la Siri kubwa, wakagundua kuwa ni Askari mwenzao . Ndani ya muda mfupi kabisa yule Askari alimalizwa, alikutwa amekufa nyumbani kwake na muda mfupi baadaye yule Rpc alihamishwa mkoa ule(inavyoonekana makao makuu ya Polisi walipata taarifa za dili lile). Polisi ni hatari, kaa nao mbali kama umebeba pesa cash.
.
ulikuwa mwaka gani huu
 
Ninamfahamu sana huyo Mkuu wa Upelelezi SP Gilbert Kalanje ambaye Shahidi anasema ndie aliyemziba na tambala Marehemu,actually nilikuwa Askari Polisi na huyo Gilbert tuliingia nae Depo moja CCP mwezi Juni 1998 na tukamaliza Februari 1999 na wote tukapangwa kazi Kituo cha Polisi Oysterbay japo mimi baadaye nilikuja kuacha kazi kwa hiari. Maisha haya Mungu tu ndie anayejua,niishie hapa NB:kwenye picha Gilbert Kalanje ni yule mwishoni kulia, alifanya sana kazi Kituo cha Polisi Oysterbay na Kituo cha Polisi Kawe
Naona hata Barakoa hajavaa tofauti na wenzake.
Kwakuwa anajua yeye ndiye mshitakiwa namba 1

Amejaa hofu kupita wenzake.


Labda niwafundishe kitu kimoja.

Ukiuwa Binadamu hasa asiye na hatia kwa kumwonea ni lazima utajulikana.
 
Back
Top Bottom