Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

Hii inatisha sana. Kumuua kijana mdogo aliyekuwa anajitafutia kwa ajili ya maisha yake na familia yake. Taarifa hii imenipa huzuni na simanzi kubwa na kwa kweli leo nimeshindwa kula. Hawa polisi wetu ni watu hatari sana. Nilikwishaapa kuwa mtoto wangu hawezi kuwa Polisi.
 
Kuna siku niliibiwa wallet k'koo,kulikua na baadhi ya vitambulisho kuvipata kwake lazima nipate ripoti ya polisi,si ndio nikatimba pale msimbazi polisi,vioja nilivyofanyiwa pale ikiwa mimi ndio niliobiwa sitosahau!nikatishiwa hadi kuwekwa ndani kwa kosa ambalo hata silijui!😃
Pale wanakula na vibaka wa k/k
 
Ni kweli kabisa, ogopa sana Polisi kujua kwamba una pesa, watakufuata ili wakupore pesa ulizonazo na Kisha wakuue ili kupoteza kabisa ushahidi. Nakumbuka mojawapo ya kisa kimoja cha kweli kilichotokea miaka zaidi ya kumi iliyopita ktk mkoa fulani ambao nisingependa kuutaja jina, wafanyabiashara wawili wa mifugo walikodi gari ili liwapeleke kwenye mnada wa mifugo (ng'ombe) ktk mji fulani. Wakiwa safarini njiani walikutana na gari la Polisi wa doria za barabarani, na Kisha gari la wafanyabiashara likasamishwa, walikuwapo Askari Polisi wawili tu ambao baadaye ilijulikana kuwa walitumwa na Rpc ili kuwafuatilia wafanyabiashara hao na kuwakamata kwa sababu Polisi walishatonywa kuwa wafanyabiashara hao wamebeba fedha nyingi za kwenda kununulia ng'ombe. Wale wafayabiashara walikamatwa na Kisha kwenda kuhifadhiwa sehemu fulani kwenye nyumba binafsi ya mmoja wa maaskari, hawakupelelwa kituoni. Baadaye usiku "mkubwa" aiyewatuma kazi alikuja kwenye hiyo nyumba na kuchukua 'mzigo wake' na kisha kuamuru wafanya iashara hao wote na dereva wamalizwe gari yao kwenda kutelekezwa ktk mji wa mbali karibu 80km kwenye wilaya ya jirani, na ilifanyika hivyo usiku huo huo na baadaye ilijulikana kuwa wale wafanyabiashara walikwa na Tshs. 60milioni cash. Maiti za wale wafanyabiashara walienda kuzitupa mbali kwenye mashamba ya wakulima. Walati matukio yote haya yakiendelea kulikuwa na Askari Polisi mmoja ambaye hakuwa zamu siku hiyo ambaye alikuwa akiishi kwenye mtaa mmoja wenye nyumba walikohifadhiwa wafanyabiashara waliotekwa. Askari huyo baada ya kuona gari la Polisi wa doria lenye namba za kawaida za kiraia lilikuwa linapita mara kwa mara mtaani hapo siku hiyo aliamua kulifuatilia gari hilo na mchongo huo kisirisiri bila hao Askari wenzake kujua.
Miezi michache baaaye minong'ono ya taarifa hii ilianza kusambaa mitaani, wale Askari waliopiga dili walifuatilia ili kujua nani hasa chanzo cha taarifa za kubumbuluka kwa dili lao la Siri kubwa, wakagundua kuwa ni Askari mwenzao . Ndani ya muda mfupi kabisa yule Askari alimalizwa, alikutwa amekufa nyumbani kwake na muda mfupi baadaye yule Rpc alihamishwa mkoa ule(inavyoonekana makao makuu ya Polisi walipata taarifa za dili lile). Polisi ni hatari, kaa nao mbali kama umebeba pesa cash.
.
Hao ni majambazi,wasijue una pesa,
 
Extremely dangerous event.
Frankly speaking from the bottom of my heart, Jeshi la Polisi Tz na TISS ni Makundi ya Kigaidi hapa nchini . Habari hii inatisha sana kupita kiasi, na hiyo ndio namna yao ya utendaji kazi. Completely taasisi hizi zimepoteza kabisa uhalali wa kuwa Majeshi ya Serikali ya nchi, ni makundi ya kigaidi.
Kwa hali hii namshauri Rais wa nchi hii akae na wataalamu huru wa masuala ya Sheria/Katiba pamoja na wataalamu huru wa masuala ya Ulinzi na Usalama ili wamshauri namna nzuri zaidi ya kulivunja Jeshi la Polisi na TISS, kuwapokonya silaha zote walizokabidhiwa pamoja na Kutangaza Hali ya Hatari kwa muda Fulani huku ukiandaliwa utaratibu mwingine mpya ulio mzuri zaidi na bora wa kuunda upya taasisi hizi.
Wote wanailinda ccm.sio rahisi
 
Ni kweli kabisa, ogopa sana Polisi kujua kwamba una pesa, watakufuata ili wakupore pesa ulizonazo na Kisha wakuue ili kupoteza kabisa ushahidi. Nakumbuka mojawapo ya kisa kimoja cha kweli kilichotokea miaka zaidi ya kumi iliyopita ktk mkoa fulani ambao nisingependa kuutaja jina, wafanyabiashara wawili wa mifugo walikodi gari ili liwapeleke kwenye mnada wa mifugo (ng'ombe) ktk mji fulani. Wakiwa safarini njiani walikutana na gari la Polisi wa doria za barabarani, na Kisha gari la wafanyabiashara likasamishwa, walikuwapo Askari Polisi wawili tu ambao baadaye ilijulikana kuwa walitumwa na Rpc ili kuwafuatilia wafanyabiashara hao na kuwakamata kwa sababu Polisi walishatonywa kuwa wafanyabiashara hao wamebeba fedha nyingi za kwenda kununulia ng'ombe. Wale wafayabiashara walikamatwa na Kisha kwenda kuhifadhiwa sehemu fulani kwenye nyumba binafsi ya mmoja wa maaskari, hawakupelelwa kituoni. Baadaye usiku "mkubwa" aiyewatuma kazi alikuja kwenye hiyo nyumba na kuchukua 'mzigo wake' na kisha kuamuru wafanya iashara hao wote na dereva wamalizwe gari yao kwenda kutelekezwa ktk mji wa mbali karibu 80km kwenye wilaya ya jirani, na ilifanyika hivyo usiku huo huo na baadaye ilijulikana kuwa wale wafanyabiashara walikwa na Tshs. 60milioni cash. Maiti za wale wafanyabiashara walienda kuzitupa mbali kwenye mashamba ya wakulima. Walati matukio yote haya yakiendelea kulikuwa na Askari Polisi mmoja ambaye hakuwa zamu siku hiyo ambaye alikuwa akiishi kwenye mtaa mmoja wenye nyumba walikohifadhiwa wafanyabiashara waliotekwa. Askari huyo baada ya kuona gari la Polisi wa doria lenye namba za kawaida za kiraia lilikuwa linapita mara kwa mara mtaani hapo siku hiyo aliamua kulifuatilia gari hilo na mchongo huo kisirisiri bila hao Askari wenzake kujua.
Miezi michache baaaye minong'ono ya taarifa hii ilianza kusambaa mitaani, wale Askari waliopiga dili walifuatilia ili kujua nani hasa chanzo cha taarifa za kubumbuluka kwa dili lao la Siri kubwa, wakagundua kuwa ni Askari mwenzao . Ndani ya muda mfupi kabisa yule Askari alimalizwa, alikutwa amekufa nyumbani kwake na muda mfupi baadaye yule Rpc alihamishwa mkoa ule(inavyoonekana makao makuu ya Polisi walipata taarifa za dili lile). Polisi ni hatari, kaa nao mbali kama umebeba pesa cash.
.

Aiseeeh! Hawa watu ni wanyama.
 
Mkuu nimeogopa,nini kifanyike ili kuwaondolea mamlaka hawa jambazi wenye unifomu?[emoji24][emoji24][emoji24]
Mfumo wa jeshi la polisi, umekaa kijqmbazi jambazi, kubadirika ni vigumu, maana, Political authority ambayo ndio inafanya oversight ya polisi, ipo corrupt na inatumia polisi hawa hawa kuumiza wapinzani, watu wote wanaopinga na kuhatarisha u tawala wao, hii polisi imeoza kuanzia juu, recruitment yenye we ni mbovu,wanaajiliwa watu wasio na akili, vilaza, Kipindi cha Omary Mahita kama IGP, Chama cha CUF kilikuwa tishio,polisi ya Mahita na ccm, wakaja na propaganda, CUF imeingiza kontena la mapanga ili kuja kuua wakristo(CUF ilipendwa Sana na wa islam).
Sasa fikiria ujambazi aliofanya Maghu na basdae Samia, kutumia polisi kuumiza, kufunga, kubambikia kesi viongozi wa chadema, na wale walifanya madudu Yale kwa amri ya ikulu, sasa hv wanaendeshwa kwenye V8 za umma! Kwa polisi kila mtu anakula kwa urefu wa kamba, we nyonga mahari ulipo, as long as wananchi hawapigi kelele, serikali, itaangalia pembeni, maana hata hao serikalini wana deals zao, chafu zinazo washirikisha polisi,
Kuna wale polisi wanaotembea na pikipiki, nilishuhudia wanamkamata bodaboda, ukiwaangalia usoni,na afya zao, tofauti yao na vibaka wa mtaani, ni uniform tu, vijamaa vina sura ngumu, afya mgogoro, swaga za kihuni,kama vivuta bangi, badala ya kumpereka kituo cha karibu wakamchukua, na kwenda nae kusikojulikana.
Kwa, ufupi, Kati ya polisi watano wanne ni majambazi ndani ya uniform, ukijikuta mikononi mwa hawa jamaa, jifanye Fala kama hauna connection na wakubwa, wanaweza kukuchapa risasi, harafu kusiwe na kesi
 
Yaani nimesoma hiyo habari yaani nimesikitika sana aisee yaani watu wanatafuta chumba kwa ajili ya kumuua mtu harafu daktari anaambiwa angalia kama kafa au laa na daktari anathibitisha kuwa kafa daaah Nchi hii ina watu wakatili sana sijapata kuona sio wa kukaa na binadamu hao wanyama..
Siku zote nasemaga wabongo ni makatili sana,huyo anayesemaga
Kuna amani ni muongo
Narudia kusena,kama unavipesa
Hakikisha hawa jamaa wasijuwe
Maana kuna kundi maalum wao kazi yao kuwatisha watu na kuwatemesha pesa...

Ova
 
Ni kwamba tuombe bajeti ya camera ..
Camera zifungwe vituoni ...bila hivyo watu watapata madhara sana


Taasisi nyingi za serikali wanakwambia ‘system’ haifanyi kazi mtandao uko chini unadhani police watashindwa kuzima hizo camera ili wafanye yao? Na hawashindwi kukata umeme kabisa ili watimize yao.
 
Jeshi la polisi ni jeshi la hovyo kuliko yote nchini. Sijui ni kwa nini linaendelea kufumbiwa macho. Maana linatakiwa kufumuliwa haraka na kuunda jeshi jipya, kutokana na kugubikwa kwake na kila aina ya uovu!!


Hii sio Tanzania tu. Duniani pote police asilimia kubwa ni washenzi.

Binaadam anapopewa Mamlaka/Nafasi ya kutenda Sawa na Mungu ni rahisi sana kupoteza njia yake nae kujiona Mungu kwa maana hagusiki wala hatishiki.

Bado wapo police wengi tu waadilifu na ndio maana hii kesi imetufikia.
 
Hii sio Tanzania tu. Duniani pote police asilimia kubwa ni washenzi.

Binaadam anapopewa Mamlaka/Nafasi ya kutenda Sawa na Mungu ni rahisi sana kupoteza njia yake nae kujiona Mungu kwa maana hagusiki wala hatishiki.

Bado wapo police wengi tu waadilifu na ndio maana hii kesi imetufikia.
South africa tu police wao wana corruption hatari

Ova
 
Naona wengi humu tunakuja na viapo vya kutoruhusu watoto wetu kuwa police na wengine shuhuda za kuukataa u police katika makuzi yao.


Ipo namna ya kurekebisha hili, tuwafunze watoto wetu uadilifu sio tu mwilini bali mpaka rohoni.

Tuwafunze core values of humanity.

Tuwaonyeshe njia sahihi huku tukiwa tayari kuwaadhibu wanapokengeuka.

Halafu tuwape nafasi za kuwa police ili kwenda kurekebisha Mfumo uliooza tayari kwa kuwatumia wao wenye maarifa na uadilifu kutoka kwetu.

Mabadiliko yoyote hayafanywi na malaika ama majini, ni sisi wenyewe kwa kuzingatia umuhimu na manufaa ya kufanya hivyo.

Tunawalaumu police humu ndani lakini hao Jamaa ni ndugu zetu na rafiki zetu huku majumbani.

Tabia zao ni Tabia zetu.

Kipimo cha uadilifu wao ndio kipimo chetu.

Wao na sisi hakuna tofauti ni vile tu wao wamepata nafasi/arena ya kutimiza ushenzi wao.

Hawajatoka mawinguni hao Jamaa, tulikua nao na wengine tuko tunawa groom taratibu then baadae tushushe vilio kama hivi.

Utu wa mtu hujengwa na watu.
 
Naona wengi humu tunakuja na viapo vya kutoruhusu watoto wetu kuwa police na wengine shuhuda za kuukataa u police katika makuzi yao.


Ipo namna ya kurekebisha hili, tuwafunze watoto wetu uadilifu sio tu mwilini bali mpaka rohoni.

Tuwafunze core values of humanity.

Tuwaonyeshe njia sahihi huku tukiwa tayari kuwaadhibu wanapokengeuka.

Halafu tuwape nafasi za kuwa police ili kwenda kurekebisha Mfumo uliooza tayari kwa kuwatumia wao wenye maarifa na uadilifu kutoka kwetu.

Mabadiliko yoyote hayafanywi na malaika ama majini, ni sisi wenyewe kwa kuzingatia umuhimu na manufaa ya kufanya hivyo.

Tunawalaumu police humu ndani lakini hao Jamaa ni ndugu zetu na rafiki zetu huku majumbani.

Tabia zao ni Tabia zetu.

Kipimo cha uadilifu wao ndio kipimo chetu.

Wao na sisi hakuna tofauti ni vile tu wao wamepata nafasi/arena ya kutimiza ushenzi wao.

Hawajatoka mawinguni hao Jamaa, tulikua nao na wengine tuko tunawa groom taratibu then baadae tushushe vilio kama hivi.

Utu wa mtu hujengwa na watu.
Kweli kabisa kama huko wanawaingiza wasiyo wadilifu
Mnategemea nini
Askari akiwa siyo muadilifu si atakuwa anashirikiana na wahalifu

Ova
 
Jeshi la polisi ni jeshi la hovyo kuliko yote nchini. Sijui ni kwa nini linaendelea kufumbiwa macho. Maana linatakiwa kufumuliwa haraka na kuunda jeshi jipya, kutokana na kugubikwa kwake na kila aina ya uovu!!
Hapana.

Kutoa hoja kwamba 'Jeshi la Polisi' lifumuliwe halafu liundwe 'Jeshi' jipya siyo suluhu, kwa sababu, ninadhani tatizo linaanza kwenye jina "Jeshi".

Kimsingi ukishaita taasisi "Jeshi" maana yake ni taasisi ya mapambano ya kivita.

Sasa swali ni je, hii taasisi yenye jina la kijeshi linapambana na wananchi au linatoa huduma kwa wananchi?

Jibu ni kwamba tunahitaji Huduma za Kipolisi (Police Services) na siyo Jeshi la Polisi (Police Army).

Tatizo lilianzia kwa mkoloni ambaye aliunda Jeshi la Polisi kwa lengo la kuwanyamazisha wazalendo waliokuwa kinyume na wakoloni, na Jeshi hilo likarithiwa na Serikali, na hatimaye kazi zake zikabadilika kidogo na kuwa Jeshi la kupambana na raia badala ya kutoa huduma kwa raia ambalo ndilo lengo la Serikali.
 
Naona wengi humu tunakuja na viapo vya kutoruhusu watoto wetu kuwa police na wengine shuhuda za kuukataa u police katika makuzi yao.


Ipo namna ya kurekebisha hili, tuwafunze watoto wetu uadilifu sio tu mwilini bali mpaka rohoni.

Tuwafunze core values of humanity.

Tuwaonyeshe njia sahihi huku tukiwa tayari kuwaadhibu wanapokengeuka.

Halafu tuwape nafasi za kuwa police ili kwenda kurekebisha Mfumo uliooza tayari kwa kuwatumia wao wenye maarifa na uadilifu kutoka kwetu.

Mabadiliko yoyote hayafanywi na malaika ama majini, ni sisi wenyewe kwa kuzingatia umuhimu na manufaa ya kufanya hivyo.

Tunawalaumu police humu ndani lakini hao Jamaa ni ndugu zetu na rafiki zetu huku majumbani.

Tabia zao ni Tabia zetu.

Kipimo cha uadilifu wao ndio kipimo chetu.

Wao na sisi hakuna tofauti ni vile tu wao wamepata nafasi/arena ya kutimiza ushenzi wao.

Hawajatoka mawinguni hao Jamaa, tulikua nao na wengine tuko tunawa groom taratibu then baadae tushushe vilio kama hivi.

Utu wa mtu hujengwa na watu.
Umeeleza mengi lakini na mimi nina la kusema.

Jeshi la Polisi limeundwa na sheria.

Kazi kuu ya taasisi hii ni kusimamia utekelezaji wa sheria.

Sasa wanaoajiriwa huko, kigezo cha elimu ni kwamba anatakiwa awe amepata daraja la nne (division 4) kidato cha nne.

Sasa hata ukimfunza mtoto vyema, pia inabidi umuombe afanye vibaya mitihani ili apate daraja la 4 ili awe polisi.

Hatimaye mtoto huyu ataenda kule kupata kazi, na hatoweza kutafsiri zile sheria kwa sababu hana uelewa wa masuala ya Kitaifa achilia mbali sheria.

Bado shida itakuja palepale tu kuzalisha polisi wasio na weledi
 
Umeeleza mengi lakini na mimi nina la kusema.

Jeshi la Polisi limeundwa na sheria.

Kazi kuu ya taasisi hii ni kusimamia utekelezaji wa sheria.

Sasa wanaoajiriwa huko, kigezo cha elimu ni kwamba anatakiwa awe amepata daraja la nne (division 4) kidato cha nne.

Sasa hata ukimfunza mtoto vyema, pia inabidi umuombe afanye vibaya mitihani ili apate daraja la 4 ili awe polisi.

Hatimaye mtoto huyu ataenda kule kupata kazi, na hatoweza kutafsiri zile sheria kwa sababu hana uelewa moana wa masuala ya Kitaifa achilia mbali sheria.

Bado shida itakuja palepale tu kuzalisha polisi wasio na weledi


Tulia unisome vizuri. Husikimbilie kujibu kabla ya kuelewa.
 
Back
Top Bottom