Mkuu nimeogopa,nini kifanyike ili kuwaondolea mamlaka hawa jambazi wenye unifomu?[emoji24][emoji24][emoji24]
Mfumo wa jeshi la polisi, umekaa kijqmbazi jambazi, kubadirika ni vigumu, maana, Political authority ambayo ndio inafanya oversight ya polisi, ipo corrupt na inatumia polisi hawa hawa kuumiza wapinzani, watu wote wanaopinga na kuhatarisha u tawala wao, hii polisi imeoza kuanzia juu, recruitment yenye we ni mbovu,wanaajiliwa watu wasio na akili, vilaza, Kipindi cha Omary Mahita kama IGP, Chama cha CUF kilikuwa tishio,polisi ya Mahita na ccm, wakaja na propaganda, CUF imeingiza kontena la mapanga ili kuja kuua wakristo(CUF ilipendwa Sana na wa islam).
Sasa fikiria ujambazi aliofanya Maghu na basdae Samia, kutumia polisi kuumiza, kufunga, kubambikia kesi viongozi wa chadema, na wale walifanya madudu Yale kwa amri ya ikulu, sasa hv wanaendeshwa kwenye V8 za umma! Kwa polisi kila mtu anakula kwa urefu wa kamba, we nyonga mahari ulipo, as long as wananchi hawapigi kelele, serikali, itaangalia pembeni, maana hata hao serikalini wana deals zao, chafu zinazo washirikisha polisi,
Kuna wale polisi wanaotembea na pikipiki, nilishuhudia wanamkamata bodaboda, ukiwaangalia usoni,na afya zao, tofauti yao na vibaka wa mtaani, ni uniform tu, vijamaa vina sura ngumu, afya mgogoro, swaga za kihuni,kama vivuta bangi, badala ya kumpereka kituo cha karibu wakamchukua, na kwenda nae kusikojulikana.
Kwa, ufupi, Kati ya polisi watano wanne ni majambazi ndani ya uniform, ukijikuta mikononi mwa hawa jamaa, jifanye Fala kama hauna connection na wakubwa, wanaweza kukuchapa risasi, harafu kusiwe na kesi