kisanzala
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 440
- 252
Kuna police alikuwa anaitwa Benadi kama sikosei.kikosi chao kilikuwa na askari kazaa pale Morogoro ila nisingependa kuwataja.
Hawa police walikuwa wakifanya unyang'anyi wa kiujambazi kwa wa2 wengi sana.Ila uyu benad ambae aliingia kazini kwa kipaji cha kucheza mpila alipatwa na shida ya kuifiwa na mke wake.Ila cjajuwa kilichomuuwa mkewe.
Kutokana na kifo cha mkewake ambae alikuwa anafanya kazi SUA uyu askari akaamuwa kuokoka.
Sasa basi katika kuokoka kwake ilimbidi aanze kutubu matendo yote ambayo alikuwa wakiyafanya.
Apo ndio alikuwa anaamuwa kuyasema adhalani matendo ambayo alikuwa wakiyafanya na askali wenzake.siwezi kuelezea sana mambo ambayo walikuwa wakiyafanya ila hayatofautiani na aya waliyofanya askali wa mtwala akina Zombe.
Mwisho waliamua kutangaza kama yule askali amechanganyikiwa na wakampeleka dodoma milembe ila bado mshikaji alikoamaa na msimamo wake na kuamuwa kuandika vijalada kuutangazia uma kwa matendo yao waliyokuwa wakiwafanyia rahia hasa wafanya biashala wenye hela.
Mwisho kabisa uyu askali walimkuta amejinyonga ila kwanye mazingila yanaonyesha kuwa aliuwawa ila kwakuwaa upelelezi wanafanya wao hivyo walifanikiwa kumpoteza. Kati ya maaskari waliobaki ni yule ambae niliona you tube amejitengenea kabuli.Nazani damu za wasio na hatia zishaanza kumtafuna...
Nazani damu za watu wasio na hatia.. 76 nazani anaitwa. naomba nisiongee sana maana zama za jiwe bado zinaendelea...Matendo yanayo tendeka sasa c mageni kwenye idala hii😭😢!!!
Hawa police walikuwa wakifanya unyang'anyi wa kiujambazi kwa wa2 wengi sana.Ila uyu benad ambae aliingia kazini kwa kipaji cha kucheza mpila alipatwa na shida ya kuifiwa na mke wake.Ila cjajuwa kilichomuuwa mkewe.
Kutokana na kifo cha mkewake ambae alikuwa anafanya kazi SUA uyu askari akaamuwa kuokoka.
Sasa basi katika kuokoka kwake ilimbidi aanze kutubu matendo yote ambayo alikuwa wakiyafanya.
Apo ndio alikuwa anaamuwa kuyasema adhalani matendo ambayo alikuwa wakiyafanya na askali wenzake.siwezi kuelezea sana mambo ambayo walikuwa wakiyafanya ila hayatofautiani na aya waliyofanya askali wa mtwala akina Zombe.
Mwisho waliamua kutangaza kama yule askali amechanganyikiwa na wakampeleka dodoma milembe ila bado mshikaji alikoamaa na msimamo wake na kuamuwa kuandika vijalada kuutangazia uma kwa matendo yao waliyokuwa wakiwafanyia rahia hasa wafanya biashala wenye hela.
Mwisho kabisa uyu askali walimkuta amejinyonga ila kwanye mazingila yanaonyesha kuwa aliuwawa ila kwakuwaa upelelezi wanafanya wao hivyo walifanikiwa kumpoteza. Kati ya maaskari waliobaki ni yule ambae niliona you tube amejitengenea kabuli.Nazani damu za wasio na hatia zishaanza kumtafuna...
Nazani damu za watu wasio na hatia.. 76 nazani anaitwa. naomba nisiongee sana maana zama za jiwe bado zinaendelea...Matendo yanayo tendeka sasa c mageni kwenye idala hii😭😢!!!