Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Wayanyonge. Kabla ya kuyanyonga wayapeleke jela wakakutane na waliowabambikia kesi wakawalawiti kwanza kufidia uchungu waliowasababishia.
Polisi hata kama ni ndugu yako chunga sana asikujuejue. Ni mijahilia hii mijaa laana.
Kwahiyo bora wakatolewe marinda Kwanza ndio tuwapasue vichwa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
viongozi kuchukua atua ni tatizo ndio maana case za polisi kuua raia zinaongezeka. Kwa tukio lile la Shujaa Hamza ilitakiwa iundwe Tume ya Majaji ili waweze kuchunguza kwa nini Hamza apige askari tu? Kwa kuwa hakuna chochote kilichofanyika Polisi wanaendelea kuua watu tu.
 
Wrong, Wrong, Wrong, Wrong
 
Uhakika wa kupata rushwa upo biashara ya nini stress.Polisi hakosi pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…