green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Jeshi la Polisi limeajiri majambazi unategemea nini itatokea zaidi ya UjambaziKila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni IGP akichukua hatua.
Majambazi wanapewa kipaumbele kwenye ajira ya UpolisiHatari sana jinsi polisi saba wanaweza kula njama kama hiyo. Wangekuwa wawili tunasema wachache wanaoharibia jeshi sifa. Hii inamaana asilimia kubwa ni watu wabaya.
Kwahiyo bora wakatolewe marinda Kwanza ndio tuwapasue vichwaWayanyonge. Kabla ya kuyanyonga wayapeleke jela wakakutane na waliowabambikia kesi wakawalawiti kwanza kufidia uchungu waliowasababishia.
Polisi hata kama ni ndugu yako chunga sana asikujuejue. Ni mijahilia hii mijaa laana.
Huyo hakuwa polisi walikuwa wamevaa sare za polisi tu hahahahahahh
IGP???Wanyongwe wote waliohusika na tukio hili this is too much very painful
IGP say something
Hii ishu imetokea kweli mm nipo Mtwara, mkuu wa kituo naye yupo ndani, na huyo wanaesema kajinyonga hapana, wamemuua
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile appAisee
Njoo basi hata nikufute machozi mtoto mzuri [emoji39]Nimesikitika mno na nimetoa machozi
Wrong, Wrong, Wrong, WrongWale wazee wenzangu ambao macho yetu yanaelekea ukingoni, nimedokoa kwa Muhtasari;
-Alitiwa mbaroni akiwa nyumbani kwake mjini Nachingwea kisha kupelekwa Mtwara Mjini
-Baadae aliachiwa baada ya kuchukuliwa maelezo lakini alirudi Polisi kudai fedha zake zilizoshikiliwa
-Tangu aliporudi kituoni hapo kudai fedha zake alishikiliwa tena na kuhojiwa na baada ya hapo hakuonekana tena
-Taarifa Zaidi zinadai kuwa mfanyabiashara huyo aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa eneo linguine inadaiwa kuwa alichomwa sindano ya sumu kisha kutupwa Baharini
Hao ndio Polisi wetu wenye jukumu la kulinda raia na mali zao!
Mungu Ibariki Tanzania.
Uhakika wa kupata rushwa upo biashara ya nini stress.Polisi hakosi pesaNiliagizwa kazi moja kwa POLICE....
Aisee hao wengi ni watu waliofeli maisha na kukata tamaa kabisaaaa..... YAANI ASKARI POLISI HAWANA MATUMAINI NA NI WAOGA WA MAISHA....
wao kuua maadam wana silaha na kusingizia uhalifu na jambo la kawaida.
NI WAOGA KUFANYA KAZI NA BIASHARA.... Wao ni kutapeli, kudhulumu na RUSHWA... Ni jeshi la waliofeli.
hahahah kabisaa mkuutumeanza kuelewa kitu sasa kuhusu Hamza