nG'aMBu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,055
- 3,120
Hii ishu imetokea kweli mm nipo Mtwara, mkuu wa kituo naye yupo ndani, na huyo wanaesema kajinyonga hapana, wamemuuaWith all my respect kwako mkuu, chanzo chako ni gazeti hili la chooni!!!!gazeti hili nililiona ni uchafu lilipokoma kuandika to press watawala waseme ukweli mwandishi wao Azory Gwanda yupo wapi,na hadi leo gazeti hili limeshamsahau pamoja na familia yake!ohooo lipo wapi gazeti la Mfanyakazi, motomoto, Rai (sio uchafu huu wa sasa)Family mirror?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app