Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

With all my respect kwako mkuu, chanzo chako ni gazeti hili la chooni!!!!gazeti hili nililiona ni uchafu lilipokoma kuandika to press watawala waseme ukweli mwandishi wao Azory Gwanda yupo wapi,na hadi leo gazeti hili limeshamsahau pamoja na familia yake!ohooo lipo wapi gazeti la Mfanyakazi, motomoto, Rai (sio uchafu huu wa sasa)Family mirror?
Hii ishu imetokea kweli mm nipo Mtwara, mkuu wa kituo naye yupo ndani, na huyo wanaesema kajinyonga hapana, wamemuua

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Wale wazee wenzangu ambao macho yetu yanaelekea ukingoni, nimedokoa kwa Muhtasari;

-Alitiwa mbaroni akiwa nyumbani kwake mjini Nachingwea kisha kupelekwa Mtwara Mjini
-Baadae aliachiwa baada ya kuchukuliwa maelezo lakini alirudi Polisi kudai fedha zake zilizoshikiliwa
-Tangu aliporudi kituoni hapo kudai fedha zake alishikiliwa tena na kuhojiwa na baada ya hapo hakuonekana tena
-Taarifa Zaidi zinadai kuwa mfanyabiashara huyo aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa eneo lingine, inadaiwa kuwa alichomwa sindano ya sumu kisha kutupwa Baharini

Hao ndio Polisi wetu wenye jukumu la kulinda raia na mali zao!

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Afande Jumanne Shahidi Wa kuaminika Wa serikali katika kesi ya Mbowe Na wenzake alitiwa hatiani kwa kosa la kumbambikia professa mmoja kesi Ila cha ajabu mpake Leo yupo kazini kama kawa kwahiyo sishangai hili tukio la hao polisi, kiufupi polisi ni maharamia waliojificha kwenye kichaka cha uniform za jeshi.
 
Heshima ya jeshi la polisi inategemea IGP anayeliongoza kwa wakati husika.
Kipindi Cha Mahita ilikua Bora ukutana na shetani kuliko ukutane na polisi.
Kipindi Cha Said Mwema jeshi hili lilianza kua jeshi la kiraia na watu wengi walilipenda jeshi letu.
Kwa Sasa hivi hata hao polisi wenyewe kwa wenyewe hawapendani na wanaogopana. Ukikutana nao usiku pita mbali, Kama Ni trafik ndio kabisaa especially trafik wa mkoa wa pwani.
RTO Pwani, pull up your socks.
Said mwema gani huyuhuyu? Haya ni machache tu kipindi chake
  • mabomu kwenye mkutano wa chadema kule Arusha
  • kumwagiwa tindikali kule igunga
  • mauaji ya mwangosi
  • mauaji wa wafanyabiashara kule morogoro
  • Mwakyembe kuwindwa na polisi wa kikosi maalum ili kuuwawa
 
Policcm hao. Ukimzoesha mbwa kukufuata Kuna siku utaingia nae msikitini......mliwazoesha kuuwa na kutesa Wapinzani na kuwapora Mali zao, mkashangilia. Endeleeni kushangilia sasa, na wataendelea sana kufanya unyama

ni vyema tukaacha kuleta siasa na kulielezea in-general, ujinga wa polisi ulikuwepo kabla hata ya vyama vingi vya siasa....Mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani enzi za Nyerere kwa sababu ya ujinga huu huu wa mapoliso na vyombo vy adola...

Ni vyema kwa pamoja tukakemea ujinga huu dhidi ya raia...linapokuja suala la polisi na siasa huwa kuna mambo mengi ambayo pia yanahitaji jicho bila ushabiki wa siasa.... Lazima tukubali pia wanasiasa wanaweza kustage issues jeshi kama chombo kilicho chini ya serikali lifanye fyongo serikali nayo ionekane haifai...

Tukirudi kwenye hizi issue ambazo sio siasa basi tujaribu kuweka siasa pembeni ili wote tukae mstari mmoja kukemea...NI MTIZAMO TU..
 
ni vyema tukaacha kuleta siasa na kulielezea in-general, ujinga wa polisi ulikuwepo kabla hata ya vyama vingi vya siasa....Mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani enzi za Nyerere kwa sababu ya ujinga huu huu wa mapoliso na vyombo vy adola...

Ni vyema kwa pamoja tukakemea ujinga huu dhidi ya raia...linapokuja suala la polisi na siasa huwa kuna mambo mengi ambayo pia yanahitaji jicho bila ushabiki wa siasa.... Lazima tukubali pia wanasiasa wanaweza kustage issues jeshi kama chombo kilicho chini ya serikali lifanye fyongo serikali nayo ionekane haifai...

Tukirudi kwenye hizi issue ambazo sio siasa basi tujaribu kuweka siasa pembeni ili wote tukae mstari mmoja kukemea...NI MTIZAMO TU..
Unawekani siasa pembeni wakati miongoni mwa waathirika wa vitendo vya polisi ni wanasiasa? Wanapoathirika wanasiasa wanakuwa wameathirika binadamu tena watanzania wenzetu kama ilivyo kwa huyo mfanyabiashara. Nyie mnaoshabikia wanasiasa waadhibiwe bila makosa kisa tu ni wapunzani halafu Leo mnataka tutenganishe vitendo viovu vya polisi dhidi ya wafanyabiashara na wanasiasa mnapotoka.
 
ni vyema tukaacha kuleta siasa na kulielezea in-general, ujinga wa polisi ulikuwepo kabla hata ya vyama vingi vya siasa....Mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani enzi za Nyerere kwa sababu ya ujinga huu huu wa mapoliso na vyombo vy adola...

Ni vyema kwa pamoja tukakemea ujinga huu dhidi ya raia...linapokuja suala la polisi na siasa huwa kuna mambo mengi ambayo pia yanahitaji jicho bila ushabiki wa siasa.... Lazima tukubali pia wanasiasa wanaweza kustage issues jeshi kama chombo kilicho chini ya serikali lifanye fyongo serikali nayo ionekane haifai...

Tukirudi kwenye hizi issue ambazo sio siasa basi tujaribu kuweka siasa pembeni ili wote tukae mstari mmoja kukemea...NI MTIZAMO TU..
Uko sahihi kabisa ila wakati wapinzani wakiuliwa mbona tulikaa kimyaaaaa? Mbona tulishangilia? Hakuna aliyesema kuwa Polisi wasifanye au wasiingilie mambo ya siasa? Haya sasa ndio mavuno yake. Wala sijashangilia nazungumzia facts
 
Rafiki zangu wapo huko wanasema kazi yao ni ngumu ila malipo wanayolipwa(mshahara) ni hela ndogo sana.


Namimi naomba Mungu kama polisi wamefikia hatua hii ya kuwafanyia unyama ndugu zetu,ya Allah takhabar,polisi waendelee kuteseka mshahara wao ubaki mdogo hivyo hivyo.

Rabana nakuomba sana hata kama mapolisi yanajipendekeza kwa serikali ya sisiemu basi serikali iendelee vivyo hivyo kutoawajali mapolisi wa hii nchi.

Thumma amin!![emoji120]
 
Huyu jamaa ilikuaje mpaka akakamatwa na pesa zote hizo au alikua amefanya kosa gan mpaka akaahikiliwa na polisi
 
Back
Top Bottom