Uchaguzi 2020 Mtwara: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Uchaguzi 2020 Mtwara: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

View attachment 1615329
Huku Sababu ya umbali from Dar es Salaam inaelekea "Makaratee" hayakuweza kufanyika, au CCM wenyewe wamemchoka Bi. Hawa, na Mwisho labda ameachwa "Strategically"
Ukitaka kujua namba haziongopi fanya

Kaangalie namba ya madiwani aliopewa mama huyo cheupe utaona walivyo waongo huyo mama amekuwa chambo ionekane upinzani hawakuonewa
 
Kwa hiyo Mtwara hata mzee hajaenda kupiga kampeni na wameshinda kwa remote, kama ni kweli basi wapambane na hali zao na korosho zao maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom