Mtwara: Msimamizi wa Uchaguzi mdogo kata ya Chipuputa akamatwa na kura feki, Polisi wamlinda

CCM A na CCM B hatuingilii mambo yenu ya ndani
 

Halafu kuna watu bado wanaamini kuwa Maza ana nia njema....
Yah right, the 4Rs....!!
 

Mzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu.​


Kama hakuna hofu ya kushindwa . Kura feki zinapatikana vipi?
Na hup ni uchaguzi mdogo tu.

Mkwere anajifanya yuko smart.

Chaguzi walizoshinda kwa haki toka 1995 ni 2000 na 2005. Nyingine zote ni wizi wa kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…