Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

Young girls of 4 and 10 years old wamelawitiwa but nobody cares kuliko old dudes with 34 and 27 years banging each other. Mmerogwa haaa.
Hey LIKUD you think your kids are safe cause wapo government schools heheeee tukisema mnatutukana kweli kweli as if mnajua uhalisia. haya kiko wapi
 
Young girls of 4 and 10 years old wamelawitiwa but nobody cares kuliko old dudes with 34 and 27 years banging each other. Mmerogwa haaa.
Hey LIKUD you think your kids are safe cause wapo government schools heheeee tukisema mnatutukana kweli kweli as if mnajua uhalisia. haya kiko wapi
mkuu,bado unafikra za kizamani sana, unaelewa maana ya ajari? Ajari, inaweza kutokea popote wakati wowote na bila kutarajia. Na hata hao watoto wa kayumba unao pigia upatu kuwa ni halali wabakwe kwa vile wanasoma gvnt schools nao hawakujua kuwa watabakwa. Nikufumbue macho,huko EMS ndio ukatiri na ubakaji unafanyika sana tu tena ukifanywa na walimu dhidi ya watoto,na watoto hawapazi sauti zao kutokana na vitisho vikali wanavyopewa. ubakaji,urawiti unaweza kutokea popote. tuungane pamoja kupinga jambo hili si kuanza kusukumiziana lawama. Au nakosea ndg yangu LIKUD ?
 
Hao wapewe adhabu Kali kabisa (maximum sentence).

Ikiwa wàlimu ni namna hiyo tetegemee watatoa wanafunzi aina ipi?
 
kama ile shule ya kuitwa Baobab girls wamerekodi na video kabisa
Ilikuwa ni uongo.waliojirekodi walikuwa ni wanafunzi Malaya kutoka kayumba Kwa kutumia jina la baobao ili kuichafua. Fuatilia vizuri video za maelezo zimo YouTube kuhusu ukweli wa Hilo tukio
 
Back
Top Bottom