Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Kufira na kufirwaHakuna mapenzi ya jinsia moja, musipunguze ukali wa maneno.
Hapo amekamatwa na kujihisisha na Ushoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufira na kufirwaHakuna mapenzi ya jinsia moja, musipunguze ukali wa maneno.
Hapo amekamatwa na kujihisisha na Ushoga.
Mwalimu, Walimu Wana bahati mbaya SanaKwahyo nani ni mke hapo?
Kamfira kwanini?Mwalimu, Walimu Wana bahati mbaya Sana
Ndio kiswahili haswaa!Kufira na kufirwa
Hovyo kabisa .Inasikitisha sana aisee.
Kamfira huyo kijana muuza mahindiNdio kiswahili haswaa!
Wao wanageuza eti mapenzi ya jinsia moja.
Eeghh Ndugu, HEBU soma na wewe taarifa iko hapo juuKamfira kwanini?
Wanapenda sana matako tatizo ndio linaanzia hapoHovyo kabisa .
Binadamu wamebadirika mkuu!
Ndio akamfira baada ya taarifa?Eeghh Ndugu, HEBU soma na wewe taarifa iko hapo juu
Nimecheka kwa uchungu 😂😂😂😂kesi kama hizi lazima mzee wa kobaz awepo
Yaani acha kabisa.Hovyo kabisa .
Binadamu wamebadirika mkuu!
Gazeti limeona litumie neno Mwalimu Ili kupata attention wakati hapo yupo na mtu mwingine 😁😁Jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Nanyani iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, Mohamed Ally Kajao (34) na Dickson Paul Tamba (27), mjasiriamali, mkazi wa Mkuti Chini Machinjioni wilayani Masasi, kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja.
Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari Februari 12, 2025 Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Issa Suleiman, amesema tukio hilo lilifanyika Januari 2025 katika nyumba ya kulala wageni (jina limehifadhiwa) ambapo Dickson Tamba aliruhusu kuingiliwa na Mohamed Ally Kajao, kisha kunakili picha mjongeo (video) na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Pia Jeshi hilo linamshikilia mlinzi wa Kampuni ya Kiwango Security, mkazi wa Magomeni wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kike (10) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne mkazi wa Magomeni. Pia linamshikilia na Mkulima Ahmad Mohamed (39) mkazi wa Libobe wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa kike (04) mkazi wa Libobe.
Ameongeza kuwa kwa kipindi cha kuanzia Januari 1, 2025 hadi Januari 31,2025 kupitia doria, misako na operesheni iliyofanyika kwa kipindi hicho Jeshi la Polisi mkoani humo lilifanikiwa kuwakamata watuhumiwa 23 kwa tuhuma za kujihusisha na kubaka, kupatikana na pombe haramu ya moshi (gongo), wizi, kuchoma nyumba moto, kupatikana na nyara za serikali pamoja na kupatikana na dawa zidhaniwazo kuwa ni za kulevya aina ya bangi.
SOURCE JAMBOTV INSTAGRAM PAGE
Daaah kuna wa puuzi wanaroho mbaya na ngumu sana! Wa mwanamke tu kinyaa sembuse mwanaume duuuhSipati picha dume zima umemkabidhi dume mwenzio mkundur ale anavyotaka... yaani amechomeka na anakojolea ndani kabisa...
Mgalatia kaliwa na kobazi
Amri ya papa inafanyiwa utekelezaji sijui, dini ni usanii
Sasa tukikazana kupoint fingers kwenye dini fulani inasaidia nini? Mpaka leo hatuoni kuwa hili ni janga la jamii yote?? Utasemaje hili ni la dini fulani? Badala tufocus kwenye kuondoa tatizo, tuko busy na kukejeli dini!! Mitaani ushoga unazidi kuenea na hakuna dini iliyoachwa nyuma kwenye hili. Tuwalinde sana vijana wetu jamani.Mgalatia kaliwa na kobazi
Amri ya papa inafanyiwa utekelezaji sijui, dini ni usanii