Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

Gazeti limeona litumie neno Mwalimu Ili kupata attention wakati hapo yupo na mtu mwingine 😁😁
 
Bolotoba
 
Mgalatia kaliwa na kobazi

Amri ya papa inafanyiwa utekelezaji sijui, dini ni usanii

Mgalatia kaliwa na kobazi

Amri ya papa inafanyiwa utekelezaji sijui, dini ni usanii
Sasa tukikazana kupoint fingers kwenye dini fulani inasaidia nini? Mpaka leo hatuoni kuwa hili ni janga la jamii yote?? Utasemaje hili ni la dini fulani? Badala tufocus kwenye kuondoa tatizo, tuko busy na kukejeli dini!! Mitaani ushoga unazidi kuenea na hakuna dini iliyoachwa nyuma kwenye hili. Tuwalinde sana vijana wetu jamani.
 
Wale tunaowaamini watulelee na wakuwafundisha wanetu ndo balaa.....

Mungu atulindie vizazi

Wazazi tuwe makini

Mwalimu km huyo unafikiri watoto wadogo wa kiume kwa ke watapona kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…