Muamar Gaddafi alipenda kuvuta, coceine, whisky au pombe kali, na wake na watoto wa marais wenzake.

Muamar Gaddafi alipenda kuvuta, coceine, whisky au pombe kali, na wake na watoto wa marais wenzake.

Democracy999

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2012
Posts
945
Reaction score
189
Jamaa kumbe mshenzi alikuwa, Rais wa Libya aliepinduliwa Muammar al Ghaddafi alikuwa na katabia ka kuwaibia wake zao na watoto wao Marais wenzake, na mara nyingine hapo hapo wakiwepo ziarani, au anamtumia ndege wakirudi kwao.
Kibaya zaidi ni mshenzi, ana tabia ya kuchafua makusudi kabisa.
sio wake tu, hata watoto wadogo, wawe wa kike au kiume.

Alikuwa halali usiku, ni Uvutaji wa sigara, kunywa Whisky na Kuvuta Unga na aletewe malaya (mtoto mdogo) akamnyanyase ndio hoby yake.
sio umbea, tafuteni online vitabu vipo,
Gazeti la kifaranza la LE MONDE lilimhoji mmoja wa wahanga mwanafunzi anaeitwa SAFIA, na mwingine aliekuwa na miaka 13 tu.
kitabu kilichoandikwa na ANNICK COJEAN; LES PROIES, DANS LE HAREM DE KHADAFI.
 
Nani anakumbuka safari za enzi zile Kamandoo Salmin za mara kwa mara Libya, na Al Khadaffi aliahidi barabara zote za Zanzibar kujengwa haraka, na muda si mrefu Mke wa Kamandoo Salma Salmin aliachana kishenzi na mumewe na zilikuwepo safari nyingi tu za Libya.
 
Nani anakumbuka safari
za enzi zile Kamandoo Salmin za mara kwa mara Libya, na Al Khadaffi
aliahidi barabara zote za Zanzibar kujengwa haraka, na muda si mrefu Mke
wa Kamandoo Salma Salmin aliachana kishenzi na mumewe na zilikuwepo
safari nyingi tu za Libya.

duuh! makubwa haya!
 
Si ndio rafiki wa membe,JK,Salm ahmed Salim, halafu ni mmojawapo wa seniors wa Africa?Aliwahi kuwa mwenyekiti wa AU.Kama idd Amin, JK na wengine...Hawa jamaa wa vikopo vya mavi ni watu wa Jehanum tuu..kwao wanadhani inawapa thawabu kufanya hayo mambo..Ni tabia zao Duniani...


Sijui km hao jamaa zetu wake zao vipi?na hakuna kitu kibaya kama mwanamume kumsifia mwingine mbele ya mkewe.

Sijui km aliwaacha na hao marais waliberali...kufuru hadi mwisho ili aende jehanuma kwa mungu wao kwa haki.Nae walimfanya hivyo hivyo waasi kabla ya kumuua.
 
Jamaa kumbe mshenzi alikuwa, Rais wa Libya aliepinduliwa Muammar al Ghaddafi alikuwa na katabia ka kuwaibia wake zao na watoto wao Marais wenzake, na mara nyingine hapo hapo wakiwepo ziarani, au anamtumia ndege wakirudi kwao.
Kibaya zaidi ni mshenzi, ana tabia ya kuchafua makusudi kabisa.
sio wake tu, hata watoto wadogo, wawe wa kike au kiume.

Alikuwa halali usiku, ni Uvutaji wa sigara, kunywa Whisky na Kuvuta Unga na aletewe malaya (mtoto mdogo) akamnyanyase ndio hoby yake.
sio umbea, tafuteni online vitabu vipo,
Gazeti la kifaranza la LE MONDE lilimhoji mmoja wa wahanga mwanafunzi anaeitwa SAFIA, na mwingine aliekuwa na miaka 13 tu.
kitabu kilichoandikwa na ANNICK COJEAN; LES PROIES, DANS LE HAREM DE KHADAFI.

Its possible...ndio tabia hata ya pwani yetu.....mambo ya uani...wanaianza pepo yao mapema.kwani pepo yao ya kweli ni moto tuu.Wengi wao hudhani wanakomoa watu wa race,au dini zingine.
 
Democracy999 huwachi kupotosha watu kwa kufurahisha Mabwana zako. Kwa taarifa yako kweli qathafi alikuwa halali Muda mrefu usiku kwa sababu Muda mrefu huwa kwenye sala za usiku Ambalo Mtume Muhamad akipenda kuziswali. Sasa wewe Haya za wake za watu na watoto wadogo zimetoka wapi. Punguza unafiki na upotoshaji
 
Jamani mawaziri na marais wetu wa maliberal wataweka wapi sura...watu wakianika tena phase ingine wakiwa liberated.Kwa jinsi walikuwa wakiwasifia utadhani Waziri wa uwezeshasji siku ya Kuzindua kiwanda ya Dangote.Walimpigia upatu mbaya.walimsafisha.Walimwita mtu mwema etc. wazandiki wa magharibi ndio wanamchafua..watu wake wanampenda..
 
Huo ndiyo upande wa pili wa sarafu wa yaliyokuwa maisha ya kiongozi wetu shujaa wa bara la Afrika.

Lakini si yeye tu aliyekuwa akifanya mambo hayo ya kishenzi,bali hata maafisa wake waandamizi wa serikali,wslikuwa wanafanya mauchafu hayo.

Kwa wale mnaokumbuka,hapa TZ,kuna balozi mmoja wa Libya,aliyedumu muda mrefu sana,aliyekuwa akiitwa,Al Bashir kipindi chote alichokaa hapa nchini,alikuwa akikaa kwenye hoteli ya Serena,ambayo enzi hizo ilikuwa ikiitwa Sheraton,baadaye ikawa inaitwa Roysl Palm na baadaye Movenpick.

Huyu jamaa pamoja na kupewa nyumba yenye hadhi ya ubalozi kule Oysterbay,lakini kipindi chote alichokuwa balozi hapa nchini alikuwa akiishi kwenye Diplomatic suite,hspo hotelini.

Huyo jamaa hapo hotelini,alikuwa na assignment moja tu kubwa,kujua ni vibinti gani,vilivyotoka kwenye mashindano ya miss Tanzania mwaka huo na kuvileta hapo chumbani kwake na kuvishughulikia.

Huo ufuska wake ulikuwa hauishii kwa mamiss tu,bali hata wamama maarufu,walipokuwa wakijichanganya tu mbele yake,nao alikuwa akiwasomba!

Nakumbuka mkasa mmoja uliotokea enzi zile,ambapo yule mwanamama shupavu,aliyekuwa balozi wa Zimbwambwe,hapa nchini,alipotoka chumbani kwa huyo mheshimiwa balozi huku akiwa amejifunga taulo tu kiunoni,akikimbilia reception ya hoteli,na kuwalalamikia wahudumu kuwa balozi huyo,anataka kumfanyia mambo ambayo ni kinyume cha maumbile!

Wachilia mbali,tabia zake hizo za ufuska wa kutisha lakini balozi huyo pia alikuwa mlevi wa kutupa na kinywaji chake kikubwa,kikiwa ni whisky!!

Kwa hiyo,hayo ndiyo maisha ya waliokuwa viongozi waandamizi wa serikali ya Muammar Ghaddafi wakifanya kufuru na huo utajiri,unaoitwa wa petrol dollars!!
 
Huo ndiyo upande wa pili wa sarafu wa yaliyokuwa maisha ya kiongozi wetu shujaa wa bara la Afrika.

Lakini si yeye tu aliyekuwa akifanya mambo hayo ya kishenzi,bali hata maafisa wake waandamizi wa serikali,wslikuwa wanafanya mauchafu hayo.

Kwa wale mnaokumbuka,hapa TZ,kuna balozi mmoja wa Libya,aliyedumu muda mrefu sana,aliyekuwa akiitwa,Al Bashir kipindi chote alichokaa hapa nchini,alikuwa akikaa kwenye hoteli ya Serena,ambayo enzi hizo ilikuwa ikiitwa Sheraton,baadaye ikawa inaitwa Roysl Palm na baadaye Movenpick.

Huyu jamaa pamoja na kupewa nyumba yenye hadhi ya ubalozi kule Oysterbay,lakini kipindi chote alichokuwa balozi hapa nchini alikuwa akiishi kwenye Diplomatic suite,hspo hotelini.

Huyo jamaa hapo hotelini,alikuwa na assignment moja tu kubwa,kujua ni vibinti gani,vilivyotoka kwenye mashindano ya miss Tanzania mwaka huo na kuvileta hapo chumbani kwake na kuvishughulikia.

Huo ufuska wake ulikuwa hauishii kwa mamiss tu,bali hata wamama maarufu,walipokuwa wakijichanganya tu mbele yake,nao alikuwa akiwasomba!

Nakumbuka mkasa mmoja uliotokea enzi zile,ambapo yule mwanamama shupavu,aliyekuwa balozi wa Zimbwambwe,hapa nchini,alipotoka chumbani kwa huyo mheshimiwa balozi huku akiwa amejifunga taulo tu kiunoni,akikimbilia reception ya hoteli,na kuwalalamikia wahudumu kuwa balozi huyo,anataka kumfanyia mambo ambayo ni kinyume cha maumbile!

Wachilia mbali,tabia zake hizo za ufuska wa kutisha lakini balozi huyo pia alikuwa mlevi wa kutupa na kinywaji chake kikubwa,kikiwa ni whisky!!

Kwa hiyo,hayo ndiyo maisha ya waliokuwa viongozi waandamizi wa serikali ya Muammar Ghaddafi wakifanya kufuru na huo utajiri,unaoitwa wa petrol dollars!!

Mhh...mkuu na ww nina wasiwasi mbona unajua siri za chumbani kwa gadaF na wakuu wake hivo?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Democracy999 huwachi kupotosha watu kwa kufurahisha Mabwana zako. Kwa taarifa yako kweli qathafi alikuwa halali Muda mrefu usiku kwa sababu Muda mrefu huwa kwenye sala za usiku Ambalo Mtume Muhamad akipenda kuziswali. Sasa wewe Haya za wake za watu na watoto wadogo zimetoka wapi. Punguza unafiki na upotoshaji

kwendA zako..sala za usiku huku kavua nguo?
 
Watu wanataka kutuaminisha kwamba wanajua sana mambo ya chumbani ya watu wengine.
 
ndo maana gaddafi walimla kiboga kaabla ya kumuuwa
 
Naona uzi umehamia ktk itikadi za Dini. Jamani kila mtu anamapungufu yake lakini unapotaka kumfukuza Paka basi kwanza anza kumpa jina baya, Paka mwizi au kimbulu. Hapo hata watu wakikuuli yule paka wako hauta ita paka tena bali utasema yule kimbulu! Hapa hauwezi kupata ukweli wakati kuna watu tayari ambao wanataka aonekane mbaya ili kuhalalisha kumfukuza kwao. Ikumbukwe kua Mwili wa marehemu ulikataliwa kuzikwa sehemu ya wazi ili kuzuia watu wasigeuze kua ni sehemu takatifu kwenda kuabudia.
 
Mhh...mkuu na ww nina wasiwasi mbona unajua siri za chumbani kwa gadaF na wakuu wake hivo?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mimi ilikuwa rahisi kujua mambo yake huyo jamaa, kwa kuwa na mimi nilikuwa nafanya kazi hotelini hapo enzi hizo. Fullstop
 
  • Thanks
Reactions: yok
Marekani pia hayo mambo yapo, au napo ni pwani

hata ugaidi pia upo kule...ila nani hajui ulianzia wapi miaka kabala taifa la marekani kuzaliwa.marekani nao wanazo pwani.Pia wana SIN CITY km L.A kwa kenya sin City ni Mombasa,kwa Tanzania pwani yote na Visiwa vyake.
 
Back
Top Bottom