Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EDIT:Okay actually lazaro alikua ni mchepuko tu wa yesu.mtu wake wa karibu ni yule mwanafunzi aliekua haishi kumkumbatia yesu na kumwegemea kifuani kwa mahaba.
hamna lolote ni kuchafuana tu!.... If you beliave everthing from western media there must be somthing wrong inside your head
Mbona unachanganya majina asee?,Nasemea yesu.Yesu huyuhuyu nabii issa au mwingine?
Jamaa kumbe mshenzi alikuwa, Rais wa Libya aliepinduliwa Muammar al Ghaddafi alikuwa na katabia ka kuwaibia wake zao na watoto wao Marais wenzake, na mara nyingine hapo hapo wakiwepo ziarani, au anamtumia ndege wakirudi kwao.
Kibaya zaidi ni mshenzi, ana tabia ya kuchafua makusudi kabisa.
sio wake tu, hata watoto wadogo, wawe wa kike au kiume.
Alikuwa halali usiku, ni Uvutaji wa sigara, kunywa Whisky na Kuvuta Unga na aletewe malaya (mtoto mdogo) akamnyanyase ndio hoby yake.
sio umbea, tafuteni online vitabu vipo,
Gazeti la kifaranza la LE MONDE lilimhoji mmoja wa wahanga mwanafunzi anaeitwa SAFIA, na mwingine aliekuwa na miaka 13 tu.
kitabu kilichoandikwa na ANNICK COJEAN; LES PROIES, DANS LE HAREM DE KHADAFI.
Unachosema hakuna aliyethitisha hilo: Mara nyingi utakuta ni propaganda za kisiasa ili kuhalalisha umwagaji damu unaoendelea
Mie sifungani na upande wowote na wala sijali alikuwa anaamini nini
Lakujiuliza ni je?
Ziko wapi zile huduma bora za afya watu wa libya walizokuwa wanazipata enzi ya Gaddafi
Iko wapi elimu nzuri waliokuwa wanaipata watu wa Libya enzi ya Gaddafi?
Libya haikuwa inadaiwa na nchi yoyote dunia sio IMF wa WB jiulize sasa je?
Mabenk ya libya yalikuwa yanawapa mikopo wananchi wao bila riba hata cent na marejesho ni miaka mitatu yako wapi hayo??
Watu wa Libya walipata nyumba nzuri kwa mikopo nafuu na umeme yapo hayo leo?
Ziko wapi zile huduma za jamii leo???
Je bado unaamini unayoyasikia kwenye vyombo vya habari juu na Gaddafi??
Ni wangapi wanakufa leo kwa kukosa dawa???
Please get out of the box..
Jungu kuu alikosi ukoko..hivi kesi ya padri kimaro kulawiti kijana live msitu udsm iliishia wapi?
Mbona unachanganya majina asee?,Nasemea yesu.
Kwani hukumu ktk dini yenu inafanywa lini na anafanya nani.Au mungu wenu na nyie wote mpo sawa ktk kuhukumu?Sasa mkishampiga mawe, na issue nyingine Mhanga anakwenda wapi huko ahera?Km anakuwa keshatumikia adhabu ya bwana usama dunianiHaya unayosema nadhani unamaanisha kinyume chake maana hakuna asiejua kuwa katika Quran kuna sheria na hukumu. Ukiiba unakatwa kiganja cha mkono, waliokuwa hawajaoa wanapozini wanapigwa bakora mia kila mmoja, wenye ndoa wanapozini wanapigwa mawe mia kila mmoja hadi wafe, walevi na wasema uongo kama wewe wanapigwa bakora 70, MLAWITI NA MLAWITIWA ADHABU YAO NI KUANGUSHWA KUTOKA JUU KABISA SI CHINI YA GOROFA YA TATU NA WANAPOANGUKIA NILAZIMA IWE NI SEHEMU NGUMU KWELI KWELI. na kama kweli haya unayosema yapo hizo nchi unazosema basi kwanini dunia isijue had I hii leo ambayo dunia ni kijiji katika mambo ya media???? Ni ukweli usiopingika na ambao hautaki TOCHI kuuona kuwa nchi za kikiristo Hays mambo ndio wenyewew hadi sasa imefikia wanaume kwa wanaume wanaoana na hii sasa imepelekea hadi wanawake kwa wanawake wanasagana hasa baada ya kukosa watu wa kuwatimizia haja zao. Au leo umeshasahau wakati Wa utawala Mkapa tulitarajia kupata mashoga 200 kutoka America au wale walikuwa wanatoka Saudia??? Wakati mwengine unapoamua kusema jambo lifikirie kwanza maana mwisho wa siku linaweza kukugeukia Na unajua ni kwanini haya mambo yameshamiri katika nchi za kikiristo!!!??? Ni kwasababu wamekataa amri kumi za Mussa na kuona zimepitwa na wakati.