Muamar Gaddafi alipenda kuvuta, coceine, whisky au pombe kali, na wake na watoto wa marais wenzake.

Muamar Gaddafi alipenda kuvuta, coceine, whisky au pombe kali, na wake na watoto wa marais wenzake.

Its possible...ndio tabia hata ya pwani yetu.....mambo ya uani...wanaianza pepo yao mapema.kwani pepo yao ya kweli ni moto tuu.Wengi wao hudhani wanakomoa watu wa race,au dini zingine.
uchafu wa gaddafi hauzidi wa kanisa anglican kufungisha ndoa za jinsia moja au nchi za ulaya sasa kama france kupitisha sheria za ndoa hiyo!hao tuwaitaje?
 
uchafu wa gaddafi hauzidi wa kanisa anglican kufungisha ndoa za jinsia moja au nchi za ulaya sasa kama france kupitisha sheria za ndoa hiyo!hao tuwaitaje?

-Ghaddafi kafanya haya:

-kala unga.
-kazini na wake za wengine.
-kawageuza hadi marais wengine.
-Kaua watu wasio na hatia.
-Kazini hadi na mashoga wa wengine.

Unaongelea kufungisha ndoa.?Kufungisha ndoa ni kosa,kuoana ni kosa.Ila Jamaa aliwapora hata wengine mashoga wao.Gaddafi liona fahari aliyofanya ktk jina la dini yake, na nyie mlikuw anyuma yake wote.Kitu kiifanya dini yenu kuwa mbaya kuliko anglikan.Anglikan walikubali uchafu wao kuuweka wazi.Nyinyi mmefanya mambo ya uani.Waliberali mnayo kazi.
 
-Ghaddafi kafanya haya:

-kala unga.
-kazini na wake za wengine.
-kawageuza hadi marais wengine.
-Kaua watu wasio na hatia.
-Kazini hadi na mashoga wa wengine.

Unaongelea kufungisha ndoa.?Kufungisha ndoa ni kosa,kuoana ni kosa.Ila Jamaa aliwapora hata wengine mashoga wao.Gaddafi liona fahari aliyofanya ktk jina la dini yake, na nyie mlikuw anyuma yake wote.Kitu kiifanya dini yenu kuwa mbaya kuliko anglikan.Anglikan walikubali uchafu wao kuuweka wazi.Nyinyi mmefanya mambo ya uani.Waliberali mnayo kazi.
wameuweka wazi uchafu wao na bado wanauendeleza ktk jamii,na huyu gadafi kisha kufa kaenda na uchafu wake, KIPI BORA KWAKO?
 
wameuweka wazi uchafu wao na bado wanauendeleza ktk jamii,na huyu gadafi kisha kufa kaenda na uchafu wake, KIPI BORA KWAKO?

teh teh....mbona upo busy mtetea kam aamekufa nayo?Una habari kila wanaume wawili wanaotembea pamoja saudi arabia ambo si ndugu wa kuzaliwa..mmoja ni chakula ya mwingine?

Wakati walebanon wakiuza maduka ya Lingeries,wengi ni mashoga,na wengine huwalamba wake za wasaudia.Wasaudia wana umaarufu wa kutembea na wanaume wenzao wake zao wakiwa ktk hedhi, huku wakikutana ktk cafes, na barabarani na pwani yetu nayo ime supply sana "haki sawa" kwa hizi nchi.Saudia, mascat,yemen na kwinginepo,...kwa gia ya "Taarabu","biashara" na mengineyo.

Pwani mnayojifia nayo sana itabaki kuwa danguro la wasondoma miaka yote....boom ya madawa tuu imewarudisha vijana wa Tanga ktk laana ya babu zao.Taarabu nayo imewarudisha tena ktk utamaduni wenu....nyimbo zao zote zinaenzi utamaduni wa kumla "samaki upande wa pili","majina mengi ya kujifiia na utamaduni wa kujisifu ktk kugeuzana"
 
usishangae sana hata mimi nimewahi kusikia muhamad alikua na tabia hizo hizo

Sasa mnakoelekea sipo kabisa. Al muhim sote tutambue kuwa siku ya hesab ipo na ndo siku hukumu ya haki itatolewa. Sote mambo yetu yatawekwa hadharani siku hiyo hamna siri. Haina haja kutokwa povu. Kila mtu atalipwa kwa kile alotenda katika uhai wake including mie na wewe. Dunia tunapita na dhulma ni nyingi. Allah atupe sote mwisho mwema!
 
-Ghaddafi kafanya haya:

-kala unga.
-kazini na wake za wengine.
-kawageuza hadi marais wengine.
-Kaua watu wasio na hatia.
-Kazini hadi na mashoga wa wengine.

Unaongelea kufungisha ndoa.?Kufungisha ndoa ni kosa,kuoana ni kosa.Ila Jamaa aliwapora hata wengine mashoga wao.Gaddafi liona fahari aliyofanya ktk jina la dini yake, na nyie mlikuw anyuma yake wote.Kitu kiifanya dini yenu kuwa mbaya kuliko anglikan.Anglikan walikubali uchafu wao kuuweka wazi.Nyinyi mmefanya mambo ya uani.Waliberali mnayo kazi.

U can't be serious. How can you not differentiate between religion and it's follower? If and only if Gaddafi was wrong that will be his problem and not the fault of his religion!
 
U can't be serious. How can you not differentiate between religion and it's follower? If and only if Gaddafi was wrong that will be his problem and not the fault of his religion!

teh...nani kakwambia sikuwa makini ktk hilo?

Gaddafi likuwa balozi na mfadhili mkubwa wa uislam akijenga misikiti kila mahali africa na ulaya.Na hicho ndicho kinachokufanya umtete kil amahali kwa nguvu zote.

Gadafi aliwahi kufuru pale uganda kwa kusema "Africa ingeuchuku uislma ingekuwa imefika mbali sana" hakuishia hapo "alikwenda mbali kusema kuwa km Yesu angeishi enzi ya Muhamad angekuwa mfuasi wa wa muhamad". waislam mlichekelea kwa vile mliona ni mambo ya dini.Gaddafi ligawa Quran na hela kwa malaya wa italia ktk show off.Sasa km utakuw ana mawazo mbadala ya huyu mmissionary wakiislam unaweza yawakilisha.

-Pia ikumbukwe matendo yake yote huwa yanafanywa na waislam duniani kote,na hufurahishwa sana wakiwafanyia wasio waislam km sehemu ya kudhalilisha,na inawavutia sana km wanafanya kwa viongozi wa nchi zisizo za kiislam, au viongozi wa dini au watu maarufu.Hii hata hapa nchini watu wa pwani hufanya mambo ya hovyo kwa watu wa bara wasio waislam, wanachekelea sana makanisha yakiungua. Wafilipino ,wachina na wahindi waliokwenda fanya kazi nchi za kiarabu na kiislam wamekuwa wakidhalilishwa sana,na ni kwavile wao si wa waislam.

-Suala la waanglikan hata ndani ya kanisa kuna mabishano makali hadi makanisa yakagawanyika kwa kanda kwa vile hawakubaliani nalo.ktk lower na high churches .Ushoga ni dini ambayo ina watu waaribifu wa jamii,na dini...na hii inafanywa na Atheists.Na haina misingi ktk Ukristu ila wamejipandikiza ili kuubomoa ukristu kwanza ili wapate pa kumto Mungu ktk maisha ya ulaya.Na hii imekuwa na nguvu ya serikali nyingi duniani.Na hii imekwenda ktk makanisa mengi na sasa yamevunjika na hata hao wenye kuto ahela wameshindwa lazimisha kwa misaada,sasa wameahamia ktk serikali na vyama kam ilivyo kwa CUF sasa hivi.


Tukirudi ukanda wa Pwani ushoga ulianza miaka zaidi ya 1000 iliyopita.Kipindi ambacho hata marekani haijazaliwa.Na marekani ilipozaliwa ilikuwa ni taifa la Kikristu,Taifa lililoweka Ibada Mbele,na uwepo wa Mungu km mtawala na mkuu wa nchi na hata hela yao ikawekwa "In God we Trust" kabla haijaenda chafulia na kulaanika.Amerika ilikuwa taifa la KIkristu na taifa la matumaini kwa wengi.Taifa la opportunity na kimbilio wa wengi duniani.
 
teh teh....mbona upo busy mtetea kam aamekufa nayo?Una habari kila wanaume wawili wanaotembea pamoja saudi arabia ambo si ndugu wa kuzaliwa..mmoja ni chakula ya mwingine?

Wakati walebanon wakiuza maduka ya Lingeries,wengi ni mashoga,na wengine huwalamba wake za wasaudia.Wasaudia wana umaarufu wa kutembea na wanaume wenzao wake zao wakiwa ktk hedhi, huku wakikutana ktk cafes, na barabarani na pwani yetu nayo ime supply sana "haki sawa" kwa hizi nchi.Saudia, mascat,yemen na kwinginepo,...kwa gia ya "Taarabu","biashara" na mengineyo.

Pwani mnayojifia nayo sana itabaki kuwa danguro la wasondoma miaka yote....boom ya madawa tuu imewarudisha vijana wa Tanga ktk laana ya babu zao.Taarabu nayo imewarudisha tena ktk utamaduni wenu....nyimbo zao zote zinaenzi utamaduni wa kumla "samaki upande wa pili","majina mengi ya kujifiia na utamaduni wa kujisifu ktk kugeuzana"
hivi kesi ya padri kimaro kulawiti kijana live msitu udsm iliishia wapi?
 
hivi kesi ya padri kimaro kulawiti kijana live msitu udsm iliishia wapi?

waulize serikali ya CCM km hawakumpta na hatia basi si kweli.Mbona hujauliza kwanini Zanzibar walilazimishwa na Unicef kuwa na sheria za kulinda watoto na wanawake?Umeuliza wale maalim wa madrassat waliokuwa wanajisifu kwa kuwala tigo waumini watarajiwa kuwa serikali wameiweka mfukoni,walifanywa nini?

Siwezi shangaa unavyopata shida km mgonjwa wa amnesia,kwa vile na wewe madrassat umedhalilishwa sana kijinsia.Mashoga wengi zenji wamegundua vipaji madrassat.
 
waulize serikali ya CCM km hawakumpta na hatia basi si kweli.Mbona hujauliza kwanini Zanzibar walilazimishwa na Unicef kuwa na sheria za kulinda watoto na wanawake?Umeuliza wale maalim wa madrassat waliokuwa wanajisifu kwa kuwala tigo waumini watarajiwa kuwa serikali wameiweka mfukoni,walifanywa nini?

Siwezi shangaa unavyopata shida km mgonjwa wa amnesia,kwa vile na wewe madrassat umedhalilishwa sana kijinsia.Mashoga wengi zenji wamegundua vipaji madrassat.
Maswahiba siku njema na weekendi Tulivu wapendwa:- jameeni tuwe wenye hekima na Busara katika Debate na tafsiri ya mijadala, Maneno machafu (matusi) hayataweza leta tija na kutufikishia elimu juu ya jambo au kujenga maelewano.
kweli kila mmoja anamitazamo yake na hisia zake.( yaani kutupiana madongo na matope yataridhisha nani?) hakuna aliye kamilika hapa Duniyani isipo kuwa MwenyEzzi Mungu ndiyo mkamilifu.... sasa tusipiganie vita vya wengi wasiye kuwepo hadharani tutakuwa tuna twanga maji kukinu!! nafikiri kila mmoja wetu ana haki na imani na mafuzo alonayo na Ayatekeleze na kuhudumi vilivyo. Yanatosha kwa wote. Good luck an Jioni njema.
 
teh...nani kakwambia sikuwa makini ktk hilo?

Gaddafi likuwa balozi na mfadhili mkubwa wa uislam akijenga misikiti kila mahali africa na ulaya.Na hicho ndicho kinachokufanya umtete kil amahali kwa nguvu zote.

Gadafi aliwahi kufuru pale uganda kwa kusema "Africa ingeuchuku uislma ingekuwa imefika mbali sana" hakuishia hapo "alikwenda mbali kusema kuwa km Yesu angeishi enzi ya Muhamad angekuwa mfuasi wa wa muhamad". waislam mlichekelea kwa vile mliona ni mambo ya dini.Gaddafi ligawa Quran na hela kwa malaya wa italia ktk show off.Sasa km utakuw ana mawazo mbadala ya huyu mmissionary wakiislam unaweza yawakilisha.

-Pia ikumbukwe matendo yake yote huwa yanafanywa na waislam duniani kote,na hufurahishwa sana wakiwafanyia wasio waislam km sehemu ya kudhalilisha,na inawavutia sana km wanafanya kwa viongozi wa nchi zisizo za kiislam, au viongozi wa dini au watu maarufu.Hii hata hapa nchini watu wa pwani hufanya mambo ya hovyo kwa watu wa bara wasio waislam, wanachekelea sana makanisha yakiungua. Wafilipino ,wachina na wahindi waliokwenda fanya kazi nchi za kiarabu na kiislam wamekuwa wakidhalilishwa sana,na ni kwavile wao si wa waislam.

-Suala la waanglikan hata ndani ya kanisa kuna mabishano makali hadi makanisa yakagawanyika kwa kanda kwa vile hawakubaliani nalo.ktk lower na high churches .Ushoga ni dini ambayo ina watu waaribifu wa jamii,na dini...na hii inafanywa na Atheists.Na haina misingi ktk Ukristu ila wamejipandikiza ili kuubomoa ukristu kwanza ili wapate pa kumto Mungu ktk maisha ya ulaya.Na hii imekuwa na nguvu ya serikali nyingi duniani.Na hii imekwenda ktk makanisa mengi na sasa yamevunjika na hata hao wenye kuto ahela wameshindwa lazimisha kwa misaada,sasa wameahamia ktk serikali na vyama kam ilivyo kwa CUF sasa hivi.


Tukirudi ukanda wa Pwani ushoga ulianza miaka zaidi ya 1000 iliyopita.Kipindi ambacho hata marekani haijazaliwa.Na marekani ilipozaliwa ilikuwa ni taifa la Kikristu,Taifa lililoweka Ibada Mbele,na uwepo wa Mungu km mtawala na mkuu wa nchi na hata hela yao ikawekwa "In God we Trust" kabla haijaenda chafulia na kulaanika.Amerika ilikuwa taifa la KIkristu na taifa la matumaini kwa wengi.Taifa la opportunity na kimbilio wa wengi duniani.
Tatizo la hoja zako ni jinsi unavoingiza dini kwenye haya maneno kama kigezo cha kukashifu..tukitaka kuweka mambo yenu hadharani hamchelewi kusema tunakashifu na mbio mnakimbia kwa mamode kuombea watu ban.

Yesu mwenyewe maandishi yanaonyesha anatuhuma za uribelali,akifanya mambo hayo na Lazaro,pamoja na peter,yule ambae alikua haishi kumwegemea kifuani.
Paulo mwenyewe anatuhuma za uribelali ndo maana yeye na mademu walikua mbalimbali kiasi cha yeye kuwaandika vibaya kwenye bible eti,Yampasa mwanamke aonyeshe dalili ya kumilikiwa na mwanaume,etc.
Hizo allegation kuhusu gadaf yaweza kuwa za kupika ingawa siwezi kuruleout possibility,lakini tuhuma ya makadinal na mabishop kulawiti vivulana ni jambo ambalo ni publick knowledge,kila mtu anajua.kuhusu gadaf just one finctional book talking about that is not conclusive.
 
Elungata hakuna unachojua kuhusu bible, jaribu kuelezea mambo unayoyafahamu.
 
Elungata hakuna unachojua kuhusu bible, jaribu kuelezea mambo unayoyafahamu.
huh...?mkuu naogopa kuikengeusha imani yako,somefact are not for fainthearted.
Yaani habari zingine hazifai kwa matumizi ya wenye mioyo mitekemiteke.
 
-Ghaddafi kafanya haya:

-kala unga.
-kazini na wake za wengine.
-kawageuza hadi marais wengine.
-Kaua watu wasio na hatia.
-Kazini hadi na mashoga wa wengine.

Unaongelea kufungisha ndoa.?Kufungisha ndoa ni kosa,kuoana ni kosa.Ila Jamaa aliwapora hata wengine mashoga wao.Gaddafi liona fahari aliyofanya ktk jina la dini yake, na nyie mlikuw anyuma yake wote.Kitu kiifanya dini yenu kuwa mbaya kuliko anglikan.Anglikan walikubali uchafu wao kuuweka wazi.Nyinyi mmefanya mambo ya uani.Waliberali mnayo kazi.

Kama kweli marehemu gadafi kafanya haya basi tuache kama alivyo kwa kuwa mtu akishakufa si vema kumuongelea kwa mabaya!
Kufanya overgeneral decision kuwa kuhukumu waislamu kupitia gadafi hakika ni kosa!
Kwani kama ni kuua bush aliuwa wangapi iraq?
USA undera umbrella of NATO iliuwa wangapi?
Au ndugu unaposikiliza propaganda za bbc unatosheka nazo??!!
all capitalist powers always they think about interest and maxmization of profit!
Hata dr slaa labda atakaposhinda na akienda beyond US policies ataitwa gaidi!!
They have neither permanet friend nor permanet enemy but permanet interest!
Yeye kuwa muislamu haimaanishi ataukamilisha uislam
Hapana kaka!
ISLAM IS A PERFECT FELIGION BUT NOT MUSLIMS
hakuna haja ya kukashifiana sio usomi!
Jenga hoja....
Itrospect your personal analysis then choose a right way!
Unakaribishwa katika dini kamilifu!
 
Kama kweli marehemu gadafi kafanya haya basi tuache kama alivyo kwa kuwa mtu akishakufa si vema kumuongelea kwa mabaya!
Kufanya overgeneral decision kuwa kuhukumu waislamu kupitia gadafi hakika ni kosa!
Kwani kama ni kuua bush aliuwa wangapi iraq?
USA undera umbrella of NATO iliuwa wangapi?
Au ndugu unaposikiliza propaganda za bbc unatosheka nazo??!!
all capitalist powers always they think about interest and maxmization of profit!
Hata dr slaa labda atakaposhinda na akienda beyond US policies ataitwa gaidi!!
They have neither permanet friend nor permanet enemy but permanet interest!
Yeye kuwa muislamu haimaanishi ataukamilisha uislam
Hapana kaka!
ISLAM IS A PERFECT FELIGION BUT NOT MUSLIMS
hakuna haja ya kukashifiana sio usomi!
Jenga hoja....
Itrospect your personal analysis then choose a right way!
Unakaribishwa katika dini kamilifu!
BBC ya kina Nkamia na Waislam wengine ..?mbon ahujasema jinsi inavyotumiak hata kinyume na matarajio ya BBC kwa nchi zetu?

Sipendi bishana na ktk dini yako..Ila swali jepesi km Islam ni perfect mbona haujawahi toa perfect leader tangu uanzishwe?

Islam is a religion and not a way..Jesus is the way(The straight path) ktk Biblia na Quran imeandikwa hivyo..(The way....).Njia pekee na si mojawapo ya njia.

Pakistan ni taifa la kigaidi na si kwa njia za US ila India,na Afghanistan.ndio vipimo nitumiavyo.Naomba tusiende huko ktk dini.

Muovu ni muovu tuu hata akifa,na historia yake haiwezi badilishwa na binadamu,hata huko aendapo anakwenda pata hukumu yake.Kwanini tudanganye?NI wasio wa Mungu tuu ndio waogopao sema uovu wa wengine kwa vile nao wanajua wanakwenda ktk same hukumu.
 
Nani anakumbuka safari za enzi zile Kamandoo Salmin za mara kwa mara Libya, na Al Khadaffi aliahidi barabara zote za Zanzibar kujengwa haraka, na muda si mrefu Mke wa Kamandoo Salma Salmin aliachana kishenzi na mumewe na zilikuwepo safari nyingi tu za Libya.

Na akamlipia ada ya kusomea urubani wa ndege mwanae mmoja.:heh:
 
Ishara aliyoitumia ni kumshika nywele mwanafunzi anaemtaka, kisha usalama wake watawafuata wazazi na kuwaalika ikulu na mtoto, hapo mpaka ampate huyu mtoto, ama sivyo wazazi watapata kila aina ya kesi na kwenda jela. alimpata kwa njia mtoto mwenye miaka 13 alichaguliwa kumkabidhi maua Rais katika ziara zake.
Mkutano wa AU 2010 mjini Sirte, gadaffi alichelewesha airport kwa masaa 4 msafara wa Rais wa Niger kurudi kwao, kwani alikuwa akumfanyishia vibaya mke wa Rais wa nchi hiyo, na kwa kuwa na umaarufu wa kuwa rafu sana, alimchania nguo na zipu, ila kaja na mihela kama matofali. tafuteni kitabu ni muhimu.
 
Back
Top Bottom