teh...nani kakwambia sikuwa makini ktk hilo?
Gaddafi likuwa balozi na mfadhili mkubwa wa uislam akijenga misikiti kila mahali africa na ulaya.Na hicho ndicho kinachokufanya umtete kil amahali kwa nguvu zote.
Gadafi aliwahi kufuru pale uganda kwa kusema "Africa ingeuchuku uislma ingekuwa imefika mbali sana" hakuishia hapo "alikwenda mbali kusema kuwa km Yesu angeishi enzi ya Muhamad angekuwa mfuasi wa wa muhamad". waislam mlichekelea kwa vile mliona ni mambo ya dini.Gaddafi ligawa Quran na hela kwa malaya wa italia ktk show off.Sasa km utakuw ana mawazo mbadala ya huyu mmissionary wakiislam unaweza yawakilisha.
-Pia ikumbukwe matendo yake yote huwa yanafanywa na waislam duniani kote,na hufurahishwa sana wakiwafanyia wasio waislam km sehemu ya kudhalilisha,na inawavutia sana km wanafanya kwa viongozi wa nchi zisizo za kiislam, au viongozi wa dini au watu maarufu.Hii hata hapa nchini watu wa pwani hufanya mambo ya hovyo kwa watu wa bara wasio waislam, wanachekelea sana makanisha yakiungua. Wafilipino ,wachina na wahindi waliokwenda fanya kazi nchi za kiarabu na kiislam wamekuwa wakidhalilishwa sana,na ni kwavile wao si wa waislam.
-Suala la waanglikan hata ndani ya kanisa kuna mabishano makali hadi makanisa yakagawanyika kwa kanda kwa vile hawakubaliani nalo.ktk lower na high churches .Ushoga ni dini ambayo ina watu waaribifu wa jamii,na dini...na hii inafanywa na Atheists.Na haina misingi ktk Ukristu ila wamejipandikiza ili kuubomoa ukristu kwanza ili wapate pa kumto Mungu ktk maisha ya ulaya.Na hii imekuwa na nguvu ya serikali nyingi duniani.Na hii imekwenda ktk makanisa mengi na sasa yamevunjika na hata hao wenye kuto ahela wameshindwa lazimisha kwa misaada,sasa wameahamia ktk serikali na vyama kam ilivyo kwa CUF sasa hivi.
Tukirudi ukanda wa Pwani ushoga ulianza miaka zaidi ya 1000 iliyopita.Kipindi ambacho hata marekani haijazaliwa.Na marekani ilipozaliwa ilikuwa ni taifa la Kikristu,Taifa lililoweka Ibada Mbele,na uwepo wa Mungu km mtawala na mkuu wa nchi na hata hela yao ikawekwa "In God we Trust" kabla haijaenda chafulia na kulaanika.Amerika ilikuwa taifa la KIkristu na taifa la matumaini kwa wengi.Taifa la opportunity na kimbilio wa wengi duniani.