Pona
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 1,099
- 647
teh teh....mbona upo busy mtetea kam aamekufa nayo?Una habari kila wanaume wawili wanaotembea pamoja saudi arabia ambo si ndugu wa kuzaliwa..mmoja ni chakula ya mwingine?
Wakati walebanon wakiuza maduka ya Lingeries,wengi ni mashoga,na wengine huwalamba wake za wasaudia.Wasaudia wana umaarufu wa kutembea na wanaume wenzao wake zao wakiwa ktk hedhi, huku wakikutana ktk cafes, na barabarani na pwani yetu nayo ime supply sana "haki sawa" kwa hizi nchi.Saudia, mascat,yemen na kwinginepo,...kwa gia ya "Taarabu","biashara" na mengineyo.
Pwani mnayojifia nayo sana itabaki kuwa danguro la wasondoma miaka yote....boom ya madawa tuu imewarudisha vijana wa Tanga ktk laana ya babu zao.Taarabu nayo imewarudisha tena ktk utamaduni wenu....nyimbo zao zote zinaenzi utamaduni wa kumla "samaki upande wa pili","majina mengi ya kujifiia na utamaduni wa kujisifu ktk kugeuzana"
Haya unayosema nadhani unamaanisha kinyume chake maana hakuna asiejua kuwa katika Quran kuna sheria na hukumu.
Ukiiba unakatwa kiganja cha mkono, waliokuwa hawajaoa wanapozini wanapigwa bakora mia kila mmoja, wenye ndoa wanapozini wanapigwa mawe mia kila mmoja hadi wafe, walevi na wasema uongo kama wewe wanapigwa bakora 70, MLAWITI NA MLAWITIWA ADHABU YAO NI KUANGUSHWA KUTOKA JUU KABISA SI CHINI YA GOROFA YA TATU NA WANAPOANGUKIA NILAZIMA IWE NI SEHEMU NGUMU KWELI KWELI.
na kama kweli haya unayosema yapo hizo nchi unazosema basi kwanini dunia isijue had I hii leo ambayo dunia ni kijiji katika mambo ya media????
Ni ukweli usiopingika na ambao hautaki TOCHI kuuona kuwa nchi za kikiristo Hays mambo ndio wenyewew hadi sasa imefikia wanaume kwa wanaume wanaoana na hii sasa imepelekea hadi wanawake kwa wanawake wanasagana hasa baada ya kukosa watu wa kuwatimizia haja zao.
Au leo umeshasahau wakati Wa utawala Mkapa tulitarajia kupata mashoga 200 kutoka America au wale walikuwa wanatoka Saudia???
Wakati mwengine unapoamua kusema jambo lifikirie kwanza maana mwisho wa siku linaweza kukugeukia
Na unajua ni kwanini haya mambo yameshamiri katika nchi za kikiristo!!!??? Ni kwasababu wamekataa amri kumi za Mussa na kuona zimepitwa na wakati.