Muamini Baba na Mama yako unaowaona, hayo mambo ya Mungu achana nayo, hayapo na hayatokuepo

Muamini Baba na Mama yako unaowaona, hayo mambo ya Mungu achana nayo, hayapo na hayatokuepo

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Utapeli Kwa jina la sadaka na zaka ndio maneno ya kuvuta pesa yako, pale hakuna la maana.

Sadaka na zaka ni mambo yaleyale yaani jina linabadilika kidogo.

Hizo zaka na sadaka wanaenda kula hao wanaokusanya over,
Amini unachokiona, usichokiona hicho hauna sababu ya kukiamini.
 
Kuna wagalatia wa Misungwi na wavaa kobasi wa mpanda watakuja kukushushia mashambulizi hapa. Unakuta jitu zima na midevu yake linapeleka fungu la 10 kwa baba askofu au sadaka ya kujiteketeza kwa manabii uchwara huku ana ndugu yake wa karibu tu asiyeweza kujimudu na gharama za ada ya Chuo, kila JPili lipo kwenye maigizo ya miujiza likiamini litaenda mbinguni. Inasikitisha
 
Ujumbe:
Wewe mtanganyika, umeletewa dini na watu madhalimu wasiokupenda wala kukuheshimu kwa lolote.

Unasali kwa njia zao, kwa mababu zao, una majina yao na unafanya mambo kibao kama vibabu vyao vilvyoamuru.

Wao hawawezi kuitwa majina yako, wala kusali kwa mababu zako, wala kuja kuhiji kijijini kwenu.

Kiufupi wewe ni mtumwa wa kifikra, kitamaduni na kijamii.
 
Sasa mbona kichwa cha mada na mada yenyewe havilandani... mambo ya utapeli wa sadaka na kuto kumwamini Mungu vinaingiliana vipi? Au ulishamwona Mungu anachoma nyama kwa pesa yako hiyo ya sadaka.?
Punguza stress mkuu... usije jitaftia laana za kujitakia
 
Utapeli Kwa jina la sadaka na zaka ndio maneno ya kuvuta pesa yako, pale hakuna la maana ,
Sadaka na zaka ni mambo yaleyale yaani jina linabadilika kidogo.
Hizo zaka na sadaka wanaenda kula hao wanaokusanya over,
Amini unachokiona, usichokiona hicho hauna sababu ya kukiamini,
Huna akíli kichwani Múngu yupo.
 
Back
Top Bottom