Teleskopu
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 702
- 767
Kama umefuatilia angalau chache kati ya post zangu, utagundua kuna maneno huwa yanajirudia, mfano: DUNIA IMEJAA UONGO, UNACHOONA SICHO KILICHOPO, nk.
I mean what I say.
Kile ambacho dunia iliambiwa ni sababu za kuvamiwa na kuuawa kwa Sadamu Hussein ni uongo
Kile ambacho dunia iliambiwa ni sababu za kuangushwa kwa world trade centre kwenye 9/11 ni uongo
Kile ambacho dunia iliambiwa ni sababu za kuvamiwa na kuuawa kwa Muamar Gaddaffi ni uongo
Na hata hiki unachokimbiliakimbilia sasa ni cha uongo
Wewe tu usiyependa kutafuta
Unapenda kuambiwa tu
You swallow hook, line and sinker
Mpendwa,
Dunia imejaa uongo.
Siku ukiamka, ndipo utaacha kuishi unachopangiwa kwa remote
na kuishi unachotakiwa na cha kupanga mwenyewe.
Ukipenda,
Punguza muda wa kuangalia bongofleva na mambo kama hayo,
Tumia simu yako kwa kujifunza REALITY.
LAKINI SI LAZIMA.
UKIPENDA!
But you'll never have the freedom to choose the consequences!
Pole mwanamapinduzi wa Afrika.
Pole baba Gadafi.
Pole baba Sadamu.
I mean what I say.
Kile ambacho dunia iliambiwa ni sababu za kuvamiwa na kuuawa kwa Sadamu Hussein ni uongo
Kile ambacho dunia iliambiwa ni sababu za kuangushwa kwa world trade centre kwenye 9/11 ni uongo
Kile ambacho dunia iliambiwa ni sababu za kuvamiwa na kuuawa kwa Muamar Gaddaffi ni uongo
Na hata hiki unachokimbiliakimbilia sasa ni cha uongo
Wewe tu usiyependa kutafuta
Unapenda kuambiwa tu
You swallow hook, line and sinker
Mpendwa,
Dunia imejaa uongo.
Siku ukiamka, ndipo utaacha kuishi unachopangiwa kwa remote
na kuishi unachotakiwa na cha kupanga mwenyewe.
Ukipenda,
Punguza muda wa kuangalia bongofleva na mambo kama hayo,
Tumia simu yako kwa kujifunza REALITY.
LAKINI SI LAZIMA.
UKIPENDA!
But you'll never have the freedom to choose the consequences!
Pole mwanamapinduzi wa Afrika.
Pole baba Gadafi.
Pole baba Sadamu.