Muammar Gaddafi hakuwa na kosa

Muammar Gaddafi hakuwa na kosa

hoja yake inashida kwakuwa hivi virusi vimekuwa vikiibuka kabla hata biashara ya chanjo haikuwako. ye angesema tu kuwa makampuni ya madawa yanatake advantage ya pandemics kufanya biashara lkn kusema kuwa wanacreate diseases ili wauze chanjo haimake sense maana hasara inayoletwa na pandemics km corona ni kubwa kiasi kwamba hio faida ya kuuza hio chanjo inakuwa haina maana kabisa, kama marekani uchumi wao umepoteza zaidi ya USD trilion 3 kwajili ya covid, mamilini wamekosa kazi na nchi imelazimika kuingia madeni makubwa kusapoti uchumi, ht km kampuni za marekan pekee ndo ziruhusiwe kuuza chanjo na wachanje dunia nzima hawawezi kupata faida zaidi ya hasara iliopatikana, sena tu hizi kampuni zinatake advantage kufanya biashara kama hawa wanaolzamisha awamu zingine za uchanjaji wakati hakuna ulazima huo-ila ni mtazamo wangu tu
Anton fauci a,egharamia GAIN OF FUNCTION ya virus hivi kule Wuhan, mkuu. Nini maana ya 'gain of function'?
 
Aachie madaraka mapema na kutengeneza succession plan bila kusubiri kumwaga damu. Lakini Ndio hivyo historia huwa inajirudia kwamba dikteta hawezi kutoka madarakani bila mtutu wa bunduki

Haya ameachia madaraka kwa maana wamemtoa kwa nguvu na ictoshe wakamuuwa. Ki2 gani kilichofuata baada ya kifo chake!!!! Walikuwa wanataka democracy co!!!! Hayo ndiyo mazala yake, hutaka yote kukosa yote. Wacngefanya ujinga wa kumuuwa yacngetokea yote hayo!!!! walikosa nini wanalibya kama ni huduma zilikuwa bure.
 
Marekani ilikuja kwa interest zake. Gaddafi ndio alishindwa kuwasaidia Walibya kwa kushindwa kuweka misingi madhubuti ya kupokezana uongozi pamoja na kukaa madarakani zaidi ya miaka 40. Matokeo yake alivyoondoka kila kitu kikavurugika

unadhani kosa ni la ghadafi au walibya wenyewe!!!

kama hakuweka utaratibu huo,basi waliuchukua wakaupata kibabe,nini wamefanya cha maana kwa kutumia huo utaratibu??
 
Nilipata kusikia kwamba jamaa anataka aifanye africa iungane iwe nchi moja...Hili kwangu nililiona ni jambo zuri

Nikaskia kwamba katika umoja huo yeye ndiye awe raisi anayetawala....Hapa nikakubali endapo kutawekwa sheria za haki kuwaruhusu wananchi wachague kiongozi wanayemtaka

Nikaskia tena katika huo uongozi utahusishwa sharia za kiislamu kiufupi nchi inakua na vielements flani hivi vya kidini ambavyo vinaminya uhuru wa mtu....I raised my middle finger on this

hiyo aya ya kwanza ni kweli,hizi nyingine waliingiza chumvi ili aendelee kuonekana hamnazo ktk katika mikakati yake mikubwa aliyokuwa ameipanga.

ghadaf alikuwa tayari kuanzisha na kusimamia bank ya africa ambayo ingezikopesha nchi zote bila riba.
yeye alitaka kuwa mwenyekiti wa maraisi africa,sio rais wa nchi zote no.
 
conspiracies hazijawahi kuwa na mchango wowote kwenye kutatua changamoto duniani
Mkuu,viongozi wa nchi wanajua siri nyingi kuhusu hii dunia kuliko wewe,wapo kwenye hiyo position.Sasa kiongozi kama Gaddafi akisimama kwenye Podium ya UNGA akaongea maneno kama yale,wewe mtu wa kawaida inatakiwa utulie na ufikiri vizuri sio ku dismiss na kuita conspiracy.Ila nakuelewa binadam huwa hatupendi kuchosha akili na vitu vigumu.
 
Mkuu,viongozi wa nchi wanajua siri nyingi kuhusu hii dunia kuliko wewe,wapo kwenye hiyo position.Sasa kiongozi kama Gaddafi akisimama kwenye Podium ya UNGA akaongea maneno kama yale,wewe mtu wa kawaida inatakiwa utulie na ufikiri vizuri sio ku dismiss na kuita conspiracy.Ila nakuelewa binadam huwa hatupendi kuchosha akili na vitu vigumu.
sawa mkuu
 
Dunia siyo mbaya walimwengu ndiyo wabaya...


Machoni kama watu, mioyoni hawana utu kabisa...
 
Aisee usicheze na nguvu ya vyombo bya magharibi. CNN, FOX nk. Wakianza kukuchafua wallah hutoki. Inasemekana ha Field Marshal Idd Amin Dada alikutana na kashfa za kutengeneza toka westen media wakishirikiana na Mwalimu Nyerere.
Kwa hali ya kawaida unaweza kuamini kwamba Amin alikuwa anakula nyama za watu? Unaweza kuamini kuwa Amin alilisha mamba walemavu pale mto nile?
Nyerere kwa kubali kutumika na nchi za magharibi alisababisha mpaka jumuia ya Afrika mashariki kuvunjika mwaka 77. Sababu tu ni kwamba Mwalimu hakuwa tayari kukaa meza moja na Amin.

Kifupi unapokuwa na vyombo vya habari vyenye nguvu, unaweza kusambaza uzushi wa aina yoyote na watu wakaamini.
 
Gaddafi alikuwa gaidi, alipanga njama zilizopelekea kulipuliwa kwa ndege ya Marekani ya PanAm kwenye anga ya Lockerbie kule Scotland.

Pia alikuwa miongoni mwa waliofanya njama za kumuua aliyekuwa rais wa Misri General Anuar Saddat na vitendo vingine vingi vya kigaidi. Pia wakati wa vita vya Tanzania na Uganda alileta maaskari wake kumsaidia Idi Amin.

Wakati Museveni na Mugabe wanapanga kuachia madaraka alikuja kuwashawishi wasiachie kwa kile alichodai kwamba "Mwana mapinduzi kamwe haondoki madarakani ila ni kifo tu ndio humuondoa", hali hii ilipelekea wawili hao wabadili misimamo yao na kuamua kung'ang'ania madarakani.

Hivyo, kwa mtizamo wangu, huyu mtu alikuwa ni mtawala moja wa hovyo sana na pamoja na kuwa na pesa nyingi za mafuta hakuweza kuanzisha miradi yoyote ya maendeleo ktk nchi yoyote barani Afrika labda sana sana alijenga misikiti kwenye baadhi ya nchi na kuwahimiza watu wafuate imani yake ya dini.
 
Gaddafi alikuwa gaidi, alipanga njama zilizopelekea kulipuliwa kwa ndege ya Marekani ya PanAm kwenye anga ya Lockerbie kule Scotland.

Pia alikuwa miongoni mwa waliofanya njama za kumuua aliyekuwa rais wa Misri General Anuar Saddat na vitendo vingine vingi vya kigaidi. Pia wakati wa vita vya Tanzania na Uganda alileta maaskari wake kumsaidia Idi Amin.

Wakati Museveni na Mugabe wanapanga kuachia madaraka alikuja kuwashawishi wasiachie kwa kile alichodai kwamba "Mwana mapinduzi kamwe haondoki madarakani ila ni kifo tu ndio humuondoa", hali hii ilipelekea wawili hao wabadili misimamo yao na kuamua kung'ang'ania madarakani.

Hivyo, kwa mtizamo wangu, huyu mtu alikuwa ni mtawala moja wa hovyo sana na pamoja na kuwa na pesa nyingi za mafuta hakuweza kuanzisha miradi yoyote ya maendeleo ktk nchi yoyote barani Afrika labda sana sana alijenga misikiti kwenye baadhi ya nchi na kuwahimiza watu wafuate imani yake ya dini.
Bila kusahau mauaji ya maelfu ya wafungwa kwenye gereza la Abu Salim.
 
conspiracies hazijawahi kuwa na mchango wowote kwenye kutatua changamoto duniani
Yaani mtu fulani anaibuka ghafla tu halafiu anaanza kufanyia kazi taarifa fulani ambazo ni rumours, whether za kusikia au za kutengeneza, halafu baada ya hapo ana act viloently! Kazi sana
Kuna mwalimu wangu wa kike siku moja nikiwa bado Sekonadari, aliwahi kukasirika hadi akakaribia kulia, hadi nilimuonea huruma. Walikuwa wanahojiana na mwanafunzi wake mwingine ambaye alikuwa amefanya kosa, na baada ya kumhoji mwalimu akagundua kuwa mwanafunzi huyo alifanya kosa hilo baada ya kuwa ame-act on rumours alizokuwa amezisikia. I see mwalimu alikuwa ni wa kike halafu alivyokasirika baada ya kusikia kuwa kosa la mwanafunzi limetokana na runours! Yaani alikuwa anayatamka maneno kwa kuyarudiarudia,....rumours,...rumours,...I myself hate rumourers .....very much
 
Inasikitisha sana
Aachie madaraka mapema na kutengeneza succession plan bila kusubiri kumwaga damu. Lakini Ndio hivyo historia huwa inajirudia kwamba dikteta hawezi kutoka madarakani bila mtutu wa bunduki
 
Back
Top Bottom