Muangalie Pindi Chana anachofanya nchini Afrika Kusini

Hawana pressure kwasababu wanajijua kila siku watarudishwa wao ofisini, bahati kwao wapo kwenye circle ya kututafuna watanzania.

Tena hata asiichezee hiyo simu kama anavyofanya, bora aichukue atazame movie kabisa.
 
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
 
Ukishajua ni kwanini Camera ilikuwa inamuonesha yeye hutarudia kuandika huu UTUMBO
 

Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
Duh!
Anaye hutubia ni rais wa S. Africa, na bosi wake, SSH yupo hapo, lakini yeye anachat na simu tu muda wote. Maadili kwake ni sifuri.
Likely hajui hata kilichoongelewa hapo. Anatumbua tu fedha za walipa kodi buuure!

Dah, Ila Kipepe kamsagia kunguni balaa, maana siyo kwa hizo copy za tweet kwa wakubwa kibao😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…