Muangalie Pindi Chana anachofanya nchini Afrika Kusini

Muangalie Pindi Chana anachofanya nchini Afrika Kusini

Ingelikuwa nchi serious km Japan km Japan angeshafukuzwa uwaziri, Nakumbuka kuna waziri nafikiri waziri wa fedha wa Japan alipiga miayo kwenye kikao kimoja cha kimataifa aliitwa nyumbani mara moja na kufukuzwa uwaziri haraka sana alitumwa waziri mpya wa fedha aliyeteuliwa mara moja. Waziri anachat na wanaume kwenye kikao serious? Ndio maana nasikia hajaolewa, she's not a material wife hence not a material minister

Huyo hana haina ya kuolewa.
 
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
my friend kila jambo na wakati wake. Ulishamwona rais wetu akichezea simu kwenye mkutano? Siyo mke, mama, bibi?
 
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Hata kama ni habari muhimu sio kwa staili hiyo,kiufupi watu wa hivi anakuwepo physically tu
 
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Huu utumbo kamuelezee Raisi wa Korea ama wa China.Juu ya mawaziri wake.
 
Pindi Chana huyu si mwanamsoga huyu? Katia aibu sana tena sana. Huyu mama adabu zero kbs hana heshima kbs. Ingekiwa North Korea huyu kesho angekuwa chakula cha mbwa mwitu ama angepigwa na Rocket Range. Hana adabu kuna mpuuzi atatetea ukosefu wa adabu huu. Na cameraman kachukua hiyo picha kutuonyesha kitu cha Waziri wetu.
 
Itakuwaje ikiwa hotuba iliyokuwa inatolewa na Mh Raisi wa SA na hao walishika simu kusoma/ kufuatulia?
 
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Yaani tukupe uwazir utuletee mastress ya mume unambwato nn
 
Pindi Chana huyu si mwanamsoga huyu? Katia aibu sana tena sana. Huyu mama adabu zero kbs hana heshima kbs. Ingekiwa North Korea huyu kesho angekuwa chakula cha mbwa mwitu ama angepigwa na Rocket Range. Hana adabu kuna mpuuzi atatetea ukosefu wa adabu huu. Na cameraman kachukua hiyo picha kutuonyesha kitu cha Waziri wetu.
Yule babu aliyechangamka anapitaga hapo??
 
Back
Top Bottom