Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa utamaduni kaendaje huko
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
Tatizo litakua Kwa mama mzaziMbona hana akili hata robo kama za babaake? Mzee mwandosya.?
Ilikua ni moja ya sehemu ya maeneo ya kuanzisha/kukuza/kudumisha/kushirikiana katika nyanja za wizara hiyo.Waziri wa utamaduni kaendaje huko
Second chance?? aliambia, lini? Nidokeze ndugu.Aliambiwa lakini kwamba anapewa last chance...ni suala la muda tu..! Kwanza ana kiburi sana na dharau! Uzuri Mh Rais anapita humu..
Usitufanye wajinga , Rais wa nchi anahutubia wewe upo busy na simu?Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?
Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Hapo Ndiyo Ametoka Arusha Kwenye Semina Ya Kupikwa Mawaziri Wote Wamekaa Week 1
Mambo Anayoyafanya Yanatia Kinyaa, Utegemee Mabadiliko
Mbwa Mzee HAkubali Mafunzo!!
na hiwe ivyo!Wakirudi anatumbuliwa msihofu
Kwahiyo hao wengine hawana simu au uhusika na majukumu uliyoyataja?Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?
Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?
Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?