Muangalie Pindi Chana anachofanya nchini Afrika Kusini

Muangalie Pindi Chana anachofanya nchini Afrika Kusini

Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Kimsingi Rais aliingizwa chaka kumteua huyu PINDI CHANA kuwa Waziri wa Utalii. Amepelekwa hiyo ya michezo na utamaduni kwa waliosoma Cuba inaitwa "writing on the wall".

Huyu hawezi kumaliza 2025 akiwa Waziri, Mark this post
 
Kimsingi Rais aliingizwa chaka kumteua huyu PINDI CHANA kuwa Waziri wa Utalii. Amepelekwa hiyo ya michezo na utamaduni kwa waliosoma Cuba inaitwa "writing on the wall".

Huyu hawezi kumaliza 2025 akiwa Waziri, Mark this post
Mbali sana huko!
 
Na hapo sijui kama anajuwa nini walikuwa wanazungumza [emoji1]

Ova
 
Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?

Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Acha uzoba wewe kutetea kilakitu!
Tunamlipa huyo pesa nyingi tuu anatakiwa afanye kazi kwa nidhamu. Rais anasikiliza yeye anachati na hatulii manake nini?
Hizi nitabia zawengi pale unampenzi mpya!! Kikao ni chakazi na umesafiri inatakiwa uzingatie kiumakini kama wooote sio hutulizi akili kama kunadharura angeondoka!!
Apewe test huyo aseme kajifunza nini huko!
 
Back
Top Bottom