Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
Sasa Waziri wa utamaduni na michezo unataka afanye nini zaidi ya hicho alichokuwa anafanya? Tuheshimu fani za watu aisee!