Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
Kuna ubaya mtu kufanana na baba yake?Nape Kila umri unavoongezeka anazidi kufanana na profesa mark mwandosa kweli duniani wawili wawili
Kuna wazushi wanasema Mwandosya mdie mshua wake,Nape Kila umri unavoongezeka anazidi kufanana na profesa mark mwandosa kweli duniani wawili wawili
Kule walienda picnic tu,hawana jipya hao.Hapo Ndiyo Ametoka Arusha Kwenye Semina Ya Kupikwa Mawaziri Wote Wamekaa Week 1
Mambo Anayoyafanya Yanatia Kinyaa, Utegemee Mabadiliko
Mbwa Mzee HAkubali Mafunzo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wachokoziNape Kila umri unavoongezeka anazidi kufanana na profesa mark mwandosa kweli duniani wawili wawili
Haya ndiyo majembe ya CCMImagine waziri wa muda mrefu ata etiquette za hadhara hana.
Hii nchi inahitaji overhaul
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
Acha utumbo Huo Wewe.Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?
Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Mbona hana akili hata robo kama za babaake? Mzee mwandosya.?Nape Kila umri unavoongezeka anazidi kufanana na profesa mark mwandosa kweli duniani wawili wawili