Muangalie Pindi Chana anachofanya nchini Afrika Kusini


Huyo hana haina ya kuolewa.
 
my friend kila jambo na wakati wake. Ulishamwona rais wetu akichezea simu kwenye mkutano? Siyo mke, mama, bibi?
 
Hata kama ni habari muhimu sio kwa staili hiyo,kiufupi watu wa hivi anakuwepo physically tu
 
Huu utumbo kamuelezee Raisi wa Korea ama wa China.Juu ya mawaziri wake.
 
Pindi Chana huyu si mwanamsoga huyu? Katia aibu sana tena sana. Huyu mama adabu zero kbs hana heshima kbs. Ingekiwa North Korea huyu kesho angekuwa chakula cha mbwa mwitu ama angepigwa na Rocket Range. Hana adabu kuna mpuuzi atatetea ukosefu wa adabu huu. Na cameraman kachukua hiyo picha kutuonyesha kitu cha Waziri wetu.
 
Itakuwaje ikiwa hotuba iliyokuwa inatolewa na Mh Raisi wa SA na hao walishika simu kusoma/ kufuatulia?
 
Yaani tukupe uwazir utuletee mastress ya mume unambwato nn
 
Yule babu aliyechangamka anapitaga hapo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…