Sasa Waziri wa utamaduni na michezo unataka afanye nini zaidi ya hicho alichokuwa anafanya? Tuheshimu fani za watu aisee!
Kila dakika kwenya hiyo clip alikuwa akioneshwa yeye na mambo yake, unafikiri ni sawa ama utoto na kulitia taifa aibu?
😂Sasa Waziri wa utamaduni na michezo unataka afanye nini zaidi ya hicho alichokuwa wanafanya?
Kimsingi Rais aliingizwa chaka kumteua huyu PINDI CHANA kuwa Waziri wa Utalii. Amepelekwa hiyo ya michezo na utamaduni kwa waliosoma Cuba inaitwa "writing on the wall".Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?
Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.
Mbali sana huko!Kimsingi Rais aliingizwa chaka kumteua huyu PINDI CHANA kuwa Waziri wa Utalii. Amepelekwa hiyo ya michezo na utamaduni kwa waliosoma Cuba inaitwa "writing on the wall".
Huyu hawezi kumaliza 2025 akiwa Waziri, Mark this post
Acha uzoba wewe kutetea kilakitu!Tusi judge mtu kwa kitu tusichojua. Huyo ni Waziri, Mke, Bibi, Shangazi n.k. Kushika simu hakumfanyi asitekeleze majukumu yake. Tunajua alikuwa anasoma nini kwenye simu? Kama ni ratiba zinazohusu safari au tulitaka awe na radio call?
Kuna wakati tunapiga kelele nyingi tukijifanya sisi ni wazalendo zaidi, kumbe hamna kitu, hatuna nia nzuri, ni kwa sababu tu hatupati anachopata aliye na nafasi, nasi tungekuwa alipo tunayemlaumu tusingefanya tofauti.