Muda gani muafaka mama mjamzito anashauriwa kuacha kushiriki tendo la ndoa?

Muda gani muafaka mama mjamzito anashauriwa kuacha kushiriki tendo la ndoa?

pia kufanya mapenzi na mke wako mjamzito ni mhimu kwa sababu ni moja ya kumfanyia mazoezi . mama mjamzito anahitaji sana kufanya mazoezi
 
Kama huna tatizo lolote kiafya unaruhusiwa kufanya mpaka ile siku unayoenda labor.
 
Walau ule mwezi wa mwisho.eti zile mbegu zinaenda kugandana mtoto kichwani so unakuta manesi wanalalamika kuwa umemchafua mtoto.
 
Na je kitaalam inashauliwa nichukue muda gani kuanza sex baada yakujifungua kwanjia yakawaida.
 
Hakuna masharti mkuu! So long as yuko poa kufanya!! Unles kama atashauriwa na Dr kutokana na shida ya kiafya labda!
Vinginevyo hadi siku ya kujifungua, tena wanasema kitaalamu kwa wale ambao uchungu umegoma kuja kwa wakati hivyo kupitiliza siku, ile maneno inasababisha uchungu uje!
 
ok guy's thex @ all ngoja niendele kula mzigo.
 
Binafisi nashidwa kujua ni muda au miez mingapi mama mjamzito anashauliwa kuacha kushiliki tendo la ndoa na kama atashili ndani ya muda huo ni madhala gani yataweza kutoke kati ya mama au mtoto.

Mkuu kwanini kwenye R unaweka L? Na L unaweka R?
 
Sio kweli, ule ni uchafu as long as hauna tena kazi kwenye uterus huwa unatoka automatically na sio kwenda tena kwenye kizazi.sawa na during fertilization ni mbegu moja inafanya kazi the rest zinatoka kama uchafu.
God is so wonderfull in creation hajafanya hata kosa kukunyima furaha
Walau ule mwezi wa mwisho.eti zile mbegu zinaenda kugandana mtoto kichwani so unakuta manesi wanalalamika kuwa umemchafua mtoto.
 
mimi nilisema as ndo nilichokuwa naambiwa wakati uleeee nikiwa bado ninazaa.

Lakini as unafahamu vizuri zaidi
haina mbaya mwaya.

Sio kweli, ule ni uchafu as long as hauna tena kazi kwenye uterus huwa unatoka automatically na sio kwenda tena kwenye kizazi.sawa na during fertilization ni mbegu moja inafanya kazi the rest zinatoka kama uchafu.
God is so wonderfull in creation hajafanya hata kosa kukunyima furaha
 
Mbona huyu kasema day anapata ujauzito tuu unaacha yule mwingine anasema mpaka siku anaingia leba..mbona cwaelew ebu kuweni transparent basiiiii
 
kweli nimegundua mila nazo zina uzuri wake....mila zetu zinakataza kuanzia mwezi wa saba, kuna sababu nyingi kwanini kuacha kuanzia mwezi wa saba...next time nitazieleza hapa, leo nimebanwa na majukumu
 
Back
Top Bottom