Muda gani muafaka mama mjamzito anashauriwa kuacha kushiriki tendo la ndoa?

Muda gani muafaka mama mjamzito anashauriwa kuacha kushiriki tendo la ndoa?

Kufanya sex na mjamzito mwisho wake ni lini?????? tusaidiane
 
Sex cant hurt the baby unless the doctor tells you to
stop because he has certain concerns!!!!!!!!!

otherwise mnaweza change tu style
cos anaweza kuwa uncomfortable!!!!!
 
Inashauriwa kuendelea na sex ili kuiandaa njia kuweza kumpitisha mtoto. Kitabibu kama mwanamke hana matatizo unaweza kumtumia hadi siku ya mwisho ya ujauzito wake. kikubwa ni kuzingatia aina za kuburudishana kwa usalama wa mtoto na mjamzito.
 
Mkuu haina kipingamizi limitation ni positions tu! Hata hivyo zipo sababu za kitabibu zinazoweza kupelekea mama kupewa complete bed rest mfano cervical incompetence(kulegea kwa shingo ya kizazi), hapo mzaz ukila vitu unaweza temesha mzigo...
 
hata dk kumi kabla ya kujifungua i see!
mradi mwili na afya plus hisia zinaruhusu!
JUST DO IT!
 
Kufanya sex na mjamzito mwisho wake ni lini?????? tusaidiane

kama ni ujauzito wa katoto ka kike basi kuna uwezekano na kenyewe kushika ujauzito huko huko tumboni...halafu usisahau pia kama katoto ka kiume basi katazaliwa kashoga...

#JustKidding

Mtani snowhite hebu pita hapa utanue mbavu kidogo maana nimekuona mitaa hii.
 
Last edited by a moderator:
kama ni ujauzito wa katoto ka kike basi kuna uwezekano na kenyewe kushika ujauzito huko huko tumboni...halafu usisahau pia kama katoto ka kiume basi katazaliwa kashoga...

#JustKidding

Mtani snowhite hebu pita hapa utanue mbavu kidogo maana nimekuona mitaa hii.

mtani!
nenge la mke mjamzito usilifanyie utani bana!oh!we acha tu
 
Hata mi yanisaidia hii mada.

Hii mada tushawahi kuijadili sana JF Doctor nadhani hata hapa MMU...

Wataalamu wa masuala ya ngono huwa wanasema hakuna ubaya wowote kwa mama mjamzito kufanya mapenzi kipindi cha ujauzito...

Zaidi huwa wanaeleza, mwanamke aliye mjamzito huwa na nye.ge na mihemko zaidi ya mwanamke asiye na ujauzito...hiyo hutokana na mabadiliko ya hormones
 
WanaJF napata tafasiri nyingi kuhusu ni lini mama mjamzito anatakiwa asiwe karibu kimapenzi (kujamiiana) na mumewe kwa ajili ya kutunza kiumbe vizuri pia kuepuka matatizo eidha kwa mama au kwa mtoto.

Naweka uzi huu kuondoa utata kwenye matatizo na changamoto ambazo anaweza zipata mama au mtoto endapo wakiendelea kuduu hadi muda usiofaa kuduu. Naomba kujua ni mda gani haufaiii......
 
Back
Top Bottom