Duuu!!!!Mimi tulipomaliza kugegedana na wife hapohapo akapata uchungu nikachukua tax nikamkimbiza Hospitali kujifungua
Kuna mimba inakuja vibaya kwa mwanamke anapenda kufanya mapenzi hatari!! Akikuona tuu kalowana ila uzuri anakuwa wa motooo na kama hayuko stressed na mimba imemkubali anakuwa mzuriii.Muda wote unafaa hadi some hours kabla hujaenda kujifungua
nimekuja speed nilifikiri umeweka some points kumbe unauliza?
teh teh
Kama huna uvumilvu ndo muda wa kuchepuka sasa!!!Hicho kipindi huwa kinakuwa kigumu sana,kuvumilia 40 days
haya tumekusikiaKuna mimba inakuja vibaya kwa mwanamke anapenda kufanya mapenzi hatari!! Akikuona tuu kalowana ila uzuri anakuwa wa motooo na kama hayuko stressed na mimba imemkubali anakuwa mzuriii.
Inahamasika kutafuna tu pasina kuchoka
Shem uko vizurMuda wote unafaa hadi some hours kabla hujaenda kujifungua
nimekuja speed nilifikiri umeweka some points kumbe unauliza?
teh teh
dah bora aisee maana wengine hatuwezi kuchepukaMuda wote unafaa hadi some hours kabla hujaenda kujifungua
nimekuja speed nilifikiri umeweka some points kumbe unauliza?
teh teh
kuchepuka ni hatari kwa afya kama UKIMWIdah bora aisee maana wengine hatuwezi kuchepuka
shem bhana, naelewaga hii mambo na utamu ukutu biologia zenu zinapendana sasa ndo utafurahia maishaShem uko vizur
usitufundishe uoga mkuuNikosa kufanya mapenzi na mjamzito, Kimaumbile nikosa, Mfano mdogo hakuna kiumbe yeyote anaefanya tendo ktk muda wakulea mimba, ila Tendo hili limegundulika ktk maisha yasasa ya kibinaadam, zamani hapakuwepo matendo machafu kama hayo, Ndio maana enzi hizo watu waliowa hadi wake wa4. Lakini mzungu akaleta mpango wake wa kitaalam na umesha enea, Ngoja nikwambie kitu hapa!, Enzi hizo kwanza kulala na mwanamke mjamzito kitanda kimoja nikosa sana, na ukifanya hivyo unashtakiwa nyumbani na kutafanyika kikao cha mjadala juu ya kosa hilo. Lakini sikuhisi mambo yapo kitaalam zaidi, tukiamini tupo sahihi zaid kumbe kwishne
Mliwapa shida sana wazalishaji kuchezea utelezi wakati wa kumpima ,mmmh wauguzi wana kazi.Mimi tulipomaliza kugegedana na wife hapohapo akapata uchungu nikachukua tax nikamkimbiza Hospitali kujifungua
I have two children, not bilogical father (kwamba nimepiga mimba nikasepa)!! Totally responsible father, natungisha mimba nalea mpaka anajifungua na sasa nalea watoto!! Japo nipo mbali kwa majukumu ya maisha lakini nipo nao close sana!!haya tumekusikia
do you have any experience on that? au ni mastori tu ya vijiweni?
jst curious to know
Gu jikeMliwapa shida sana wazalishaji kuchezea utelezi wakati wa kumpima ,mmmh wauguzi wana kazi.
Miezi sita ndio safi atakuwa amepona ila ukiwa na haraka 3 monthsVipi baada ya kujifungua,ulisubiri kwa muda gani???
Duuu!!!!! Kwani ukifanya naye baada ya week 2,ataumia?Miezi sita ndio safi atakuwa amepona ila ukiwa na haraka 3 months
Aiseee, Maeneo ya pwani kuna msemo wanasema USIMBEMENDE mtoto,je inahusiana VP na sex ktk ujauzto?
Cc : anae faham
Duuu!!!!! Kwani ukifanya naye baada ya week 2,ataumia?