Muda hautoshi na Maxence Melo

Muda hautoshi na Maxence Melo

Citizen...
Ungeweza kuandika naneno haya kwa adabu na heshima na maana ikabakia ulivyokusudia.

Namna hii unanitisha kuwa patakuwa na kunivunjia adabu.

Sijibu kitu kuepusha shari.
Screenshot_20211018-211318_Chrome.jpg

Mzee wangu,

Huyo kijana ndivyo alivyo. Ntakupa siri siku moja ni kwanini he is in my ignore list.

By the way, hongera sana Mzee wangu.
 
Dumas...
Siku moja nakata mitaa Paris nikakuta mtaa unaitwa Alexandre Dumas.
Huyu bwana kaandika vitabu kadhaa lakini ninachokipenda ni ''The Count of Monte Cristo.''

Ikiwa hujakisoma tafuta movie yake.
Asante Sana Mzee wangu Alexandre Dumas Peré
Nampata huyu nguli wa kifaransa hasa Ile Kazi yake
Three Musketeers
Umenikumbusha ngoja nitafute movie yake!
Barikiwa Sana Mzee wangu nikija Huko mjini mjukuu wako nitakuja kuitembelea maktaba Yako iliyojaa hazina kubwa!
🙏🙏🙏🙏
 
MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF

Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.

Ameifanyia Tanzania makubwa.

JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.

Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.

Sina cha kuwalipa.

MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.


View attachment 1977049
Hongera sana Baba, dah nilikuwa na taswira tofauti kichwani kwangu
 
Hongera sana Mohamed Said kwa tuzo hiyo ya JF. Unastahili. Vijjana (na hata wazee) tuna mengi na makubwa ya kujifunza kutoka kwako. Binafsi napenda uandishi wako/namna yako ya kusimulia mambo.

Hongera JF kwa kazi kubwa Maxence Melo . Nipo hapa JF kwa zaidi ya miaka 13. Huwa natamani sana wenye mamlaka waone thamani kubwa ya uwepo wa JF labda pengine wataacha "kuwasumbua"!

Asanteni sana
 
MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF

Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.

Ameifanyia Tanzania makubwa.

JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.

Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.

Sina cha kuwalipa.

MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.


View attachment 1977049
Hakika umri wako,unaendana na busara zako,maana haijalishi utajibiwa vipi na membe wa humu iwe ni kwa matusi au dhihaka hukuchoka kujibu kwa busara na kauli yenye kumnyongonyeza aliyekujibu kwa ubaya.
Allah akupe umri mrefu hakika tunajifunza mengi toka kwako
 
Hakika umri wako,unaendana na busara zako,maana haijalishi utajibiwa vipi na membe wa humu iwe ni kwa matusi au dhihaka hukuchoka kujibu kwa busara na kauli yenye kumnyongonyeza aliyekujibu kwa ubaya.
Allah akupe umri mrefu hakika tunajifunza mengi toka kwako
Jerry...
Amin.
 
Hongera sana Mzee Mohamed Said, Kumbe Jamii Forums tuna hazina nzuri ya wazee.Hongera nyingi pia kwako Maxence Melo, kazi nzuri, keep up!
Mzee analipendezesha sana jukwaa la historia. Huyu ni hazina kwa taifa letu maana anaifahamu vizuri na kwa undani historia ya nchi yetu tokea kipindi kabla ya harakati za uhuru, wakati wa harakati zenyewe na baada ya hapo.

Unfortunately kuna watoto humu huwa wanamjibu hovyo hovyo na kumkejeli sana. Uzuri ni kuwa mzee ana busara wala huwa ha panic na huwajibu vizuri tu kwa hoja na kistaarabu.

Pongezi nyingi sana mzee wangu Mohamed Said. Wewe ni hazina kubwa kwa taifa letu.
 
Mzee analipendezesha sana jukwaa la historia. Huyu ni hazina kwa taifa letu maana anaifahamu vizuri na kwa undani historia ya nchi yetu tokea kipindi kabla ya harakati za uhuru, wakati wa harakati zenyewe na baada ya hapo.

Unfortunately kuna watoto humu huwa wanamjibu hovyo hovyo na kumkejeli sana. Uzuri ni kuwa mzee ana busara wala huwa ha panic na huwajibu vizuri tu kwa hoja na kistaarabu.

Pongezi nyingi sana mzee wangu Mohamed Said. Wewe ni hazina kubwa kwa taifa letu.
Chalii...
Ahsante sana.
 
Hongera sana Mohamed Said kwa tuzo hiyo ya JF. Unastahili. Vijjana (na hata wazee) tuna mengi na makubwa ya kujifunza kutoka kwako. Binafsi napenda uandishi wako/namna yako ya kusimulia mambo.

Hongera JF kwa kazi kubwa Maxence Melo . Nipo hapa JF kwa zaidi ya miaka 13. Huwa natamani sana wenye mamlaka waone thamani kubwa ya uwepo wa JF labda pengine wataacha "kuwasumbua"!

Asanteni sana
SMU,
Ahsante sana.
 
Pongezi kwako mzee kwa machapisho yako, kwetu vijana umekua chachu ya kuijua historia yetu tulipotoka kama nchi na pengine tuendako pia.
Hata kama machapisho yako yanachukuliwa kuwa yana mrengo fulani wa kiimani na kwa namna moja au nyingine ndivyo yalivyo lakini nyuma yake yanaacha athari chanya kwa kiasi kikubwa sana kwa engo ya historia kama taifa, hivyo kwa dhati kabisa unastahili pongezi na heshima na kuthaminiwa.

Nashukuru pia jamii forums kwa kuliona hilo,pongezi kwa kwa mara nyingine tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika umri wako,unaendana na busara zako,maana haijalishi utajibiwa vipi na membe wa humu iwe ni kwa matusi au dhihaka hukuchoka kujibu kwa busara na kauli yenye kumnyongonyeza aliyekujibu kwa ubaya.
Allah akupe umri mrefu hakika tunajifunza mengi toka kwako
Aamin
 
Back
Top Bottom