Muda mfupi uliopita, IOF iliamua kuwaita askari wa akiba kwa ajili ya mifumo ya ulinzi wa anga kutokana taarifa za Iran kushambulia

Muda mfupi uliopita, IOF iliamua kuwaita askari wa akiba kwa ajili ya mifumo ya ulinzi wa anga kutokana taarifa za Iran kushambulia

Hezbollah = Iran
Houth = Iran
Islamic resistance = Iran

Iran anampiga kila siku Israel kama hujui.
Achana na hayo makundi, aende moja kwa moja msitari wa mbele vitani kama alivyofanya Russia kwa Ukraine, hajategemea vikundi alivyovifadhili pekee kama Wegner.

Iran na yeye aende hadharani pale Israel aue mamia au makumi kadhaa hadharani kama Israel afanyavyo dhidi ya Iran ili tuone nini kitatokea.

Maneno matupu bila vitendo hayatoshi, hata USA na Israel kuna vikundi vya wapiganaji wanavifadhili, lakini linapokuja suala la vita hata wao wanaonekana mstari wa mbele kupambana sio vikundi vyao pekee vipiganavyo tena kwa kificho.
 
Sasa Hezbollah wanawatoa jasho wanaenda kuishambulia Iran kuna watu hawajipendi kwa kutegemea silaha za kupewa msaada
Nyie mtasema kila kitu, hata Russia, USA hawajawahi kumaliza vikundi vya kigaidi, Hezibolla wako nchi ya Lebonan mnataka Israel ishushe makombora mseme anaua watoto na wanawake, Israel ndio founder of stones, Israel ana mifumo ya ulinzi kuliko Iran, Israel ana air force bora sana duniani, Israel ana nyuklia, taifa kama hilo atawezaje kulipiga?
 
Achana na hayo makundi, aende moja kwa moja msitari wa mbele vitani kama alivyofanya Russia kwa Ukraine, hajategemea vikundi alivyovifadhili pekee kama Wegner.

Iran na yeye aende hadharani pale Israel aue mamia au makumi kadhaa hadharani kama Israel afanyavyo dhidi ya Iran ili tuone nini kitatokea.

Maneno matupu bila vitendo hayatoshi, hata USA na Israel kuna vikundi vya wapiganaji wanavifadhili, lakini linapokuja suala la vita hata wao wanaonekana mstari wa mbele kupambana sio vikundi vyao pekee vipiganavyo tena kwa kificho.
Wewe ndio hujui ila kawaulize mabwana zako wanajua kua muajemi anaichapa israel kutokea Lebanon, Iraq na Yemen?
 
Vita kuu ya tatu ya Dunia italeta heshima Duniani.
Hii vita imesubiriwa miaka mingi, muda umeshafika.
Nadhani ndio itakuwa chanzo cha mabalaa mengi, inaweza kuturudisha miaka 1000 nyuma. Ukimix na mafundisho ya dini unaona kuna balaa zito linakuja.
 
Achana na hayo makundi, aende moja kwa moja msitari wa mbele vitani kama alivyofanya Russia kwa Ukraine, hajategemea vikundi alivyovifadhili pekee kama Wegner.

Iran na yeye aende hadharani pale Israel aue mamia au makumi kadhaa hadharani kama Israel afanyavyo dhidi ya Iran ili tuone nini kitatokea.

Maneno matupu bila vitendo hayatoshi, hata USA na Israel kuna vikundi vya wapiganaji wanavifadhili, lakini linapokuja suala la vita hata wao wanaonekana mstari wa mbele kupambana sio vikundi vyao pekee vipiganavyo tena kwa kificho.
Waambie mabwana zako Israel waishambulie Iran wao si super power waone mziki wake.
 
Waambie mabwana zako Israel waishambulie Iran wao si super power waone mziki wake.
Wamefanya mashambulizi ya mauaji mara ngapi hapo Iran tena hadharani?.

Juzi kati tu kabla ya kuua Waajemi ubalozini, walilipua Iran wakaua watu kama 200.
 
Hamna shida si atakutana na Bikira Maria?
Hamtaki 72 Tena au mwambieni allah aongeze DAU la mabikira wawe 100 au unaonaje?. Maana mbingu aliyoenda YESU hakuna kuoa Wala kuolewa. Maria hatamkutia wapi na mawazo yenu ya uzinzi.
 
Nadhani ndio itakuwa chanzo cha mabalaa mengi, inaweza kuturudisha miaka 1000 nyuma. Ukimix na mafundisho ya dini unaona kuna balaa zito linakuja.
Kuna kitu kinatafutwa kwa Israel na dunia na dunia itakipata maana maovu yanakaribia kufikia kipimo ambacho Mungu ataamua ugomvi kati ya palestina (dunia) na Israel.
 
Kama ni hivyo basi Israel kiboko...maana wote hao wanakula kichapo chake pamoja na huyo sponsa wao!!!.
Wewe mlokole wenzako wanahangaika wakimbilie wapi unaleta porojo. North Israel walowezi zaidi ya elf 15 wamehamishiwa hotelini tel aviv .kule yamebaki magofu tu halafu wewe unaleta utani. Huo ni mziki wa Hezbollah
 
Iran imezidi mapambio, ngonjera na maigizo.
Miaka nenda rudi anaitishia Israel lakini haendi msitari wa mbele kwenye mapambano wakati mwenzie haongei ila kila wasaa anaojisikia anavuna vichwa vya Iran tena hadharani bila kificho.

Iran njoo mazima mazima uachie vitu vizito kama elfu 10000 hapo Telaviv na mwenzio ahamie Tehran ili kelele zifike mwisho na mbabe wa ukanda huo apatikane.
Bila nyuklia marekani asingeshinda WwII dhidi ya Japan, Urusi na Ukraine vilevile kama Ukraine angekuwa na nyuklia sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine, Vile vile Iran hawezi kuanzisha vita na Israel kwakuwa Israel anamilki silaha za kinyuklia na wanapambana sana Wamagharibi ili Israel apigane na Iran ili Iran asimiliki nyuklia, na mwaka ukiisha bila Iran kupigana vita atakuwa na silaha hizo, Kwaiyo Waisrael wa Tandahimba endeleeni kupiga porojo Iran hatolipiza kisasi, hata urusi anaipiga Ukraine kwa akili kuepusha WWIII, marekani kazi yake kugombanisha mataifa yawe dhoofu ili yeye aendelee kuwa Superpower now wamemshitukia, anatapata na atatapata tapa sana, walifikir wakiendesha mauwaji gaze waarabu wata react wametulia kimyaaa, hata Iran atakaa kimya hutoamini...N.Korea tayari keshawezeshwa Ana nyuklia bado mashariki ya kati Iran akimiliki tu nyuklia dunia itakuwa balance, wahamie Afrika...Putin akili kubwa sana taarifa zote za kijasusi anampatia Iran...
 
Back
Top Bottom