Muda Mwingine Ni Bora kudeti na demu wa Kawaida sura ya Baba ili upate Muda mzuri wa kujenga Future Kama kijana

Muda Mwingine Ni Bora kudeti na demu wa Kawaida sura ya Baba ili upate Muda mzuri wa kujenga Future Kama kijana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kiufupi mapenzi hayana Fomula Ni Bora kudeti na demu wa kawaida sura ya Baba kipindi ukiwa katika hard moment ili kusoma upepo wa. Maisha na kuitafuta Kesho iliyo Bora .

Sura ya Baba hawana gharama
Wako deep . katika mapenzi
Hata akikupiga chini hakuna kuumia

Hi itakusaidia kufocus vizuri katika Maisha ili baadae uje ujinyakulie pisi ya kwenda bila tatizo .
 
Kifupi ni hivi tumia akili katika mahusiano. Mambo yawe straight kama huna hela ni ajue sio mambo ya baadae
 
Kiufupi mapenzi hayana Fomula Ni Bora kudeti na demu wa kawaida sura ya Baba kipindi ukiwa katika hard moment ili kusoma upepo wa. Maisha na kuitafuta Kesho iliyo Bora .

Sura ya Baba hawana gharama
Wako deep . katika mapenzi
Hata akikupiga chini hakuna kuumia

Hi itakusaidia kufocus vizuri katika Maisha ili baadae uje ujinyakulie pisi ya kwenda bila tatizo .
Utoto raha. Unafikiri thamani ya mwanamke iko kwenye sura tu. Unaweza kuachwa na binti modeli hiyo ukachanganyikiwa ukajikuta unaitoroka “pisi kali” kwenda kuipigia magoti hiyo sura ngumu isikuache! Bora usiguse kabisa kama sura kwako ni kila kitu.’
 
Kiufupi mapenzi hayana Fomula Ni Bora kudeti na demu wa kawaida sura ya Baba kipindi ukiwa katika hard moment ili kusoma upepo wa. Maisha na kuitafuta Kesho iliyo Bora .

Sura ya Baba hawana gharama
Wako deep . katika mapenzi
Hata akikupiga chini hakuna kuumia

Hi itakusaidia kufocus vizuri katika Maisha ili baadae uje ujinyakulie pisi ya kwenda bila tatizo .
Haya wale warembo wa jf wenye sura personal jamaa katoa fursa huku....
 
Mambo yasiwe mengi ata bucha ipabwe vipi kwa malumalu na milango ya aluminum bado nyama ni ileile
 
Katika mapenzi usikubali kuongozwa na hisia ongozwa na Akili.

Imagine; Umhudumie mtu kwa kujitoa bt ili mtu huyohuyo abaki na wewe ni lazima uwe umefanikiwa how come?
👇
Akili mkichwa
 
Tafuta demu mkali anaye kuvutia usije kusema mbona uume hausimami
 
Hivi unawajua walimwengu? Watataka kumtest mitambo mkeo hata kama ni mbaya, mzuri kiasi gani!
 
Kiufupi mapenzi hayana Fomula Ni Bora kudeti na demu wa kawaida sura ya Baba kipindi ukiwa katika hard moment ili kusoma upepo wa. Maisha na kuitafuta Kesho iliyo Bora .

Sura ya Baba hawana gharama
Wako deep . katika mapenzi
Hata akikupiga chini hakuna kuumia

Hi itakusaidia kufocus vizuri katika Maisha ili baadae uje ujinyakulie pisi ya kwenda bila tatizo .
Ulishanunua Kitanda na Godoro used kijana??tuanze na hilo kwanza
 
Utashangaa watu bado watampelekea moto mbususu yake lamoja na sura personal
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha kuna manzi alikua na sura ngumu balaa ilijilengesha yenyewe nikawa najipigia kisela. Wahuni baada ya kuona duh mpaka Mr Kactus anakula hii chuma basi itakua ni pisi ya kwenda, wakaanza kuisumbua sumbua na mwisho wa siku tukabwagana...

Nilichokuja kugundua kuna wana baadhi ya pisi hawazizingatii mpaka wasikie kuna washkaji wanazisalandia ndio na wao wanaunga. Kwahyo unaweza kuoa sura ya baba halafu wahuni wakahisi labda kuna vitu adimu unapata wakaishia kumfukuzia vile vile
 
Back
Top Bottom