Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Benzema wa Lyon pia alikua moto, kama ulimuona, alikua anagombaniwa na Vilabu vingi,Suarez ka prove Liverpool, Barca na Atletico Je Benzema?
Suarez ni katili Period!Benzema wa Lyon pia alikua moto, kama ulimuona, alikua anagombaniwa na Vilabu vingi,
Kama Alivyokua Mbappe Monaco, Benzema pia alikichafua sana UCL na Lyon.
Yeye na Higuain walikua wanakosa sana Magoli, Ronaldo alikua anawatengenezea. wengi wana recency bias ila ujana wake Ronaldo alikua Mtengenezaji mzuri sana hadi 20 Assist kwa msimu.Mimi ni mpenzi wa La Liga, sijaacha kuitazama Madrid ikicheza La Liga na UCL pamoja na Barca.
Wote wakiwa ktk timu zao walipoingia nimeanza kuwatazama. Sio Benzema wala Suarez.
Benzema huenda makali yake tungeyaona endapo Ronaldo asingekuwa mbinafsi, jukumu la kufunga lingekuwa kwake huenda tungeona makali kutoka kwake zaidi.
Ila kwa sasa jinsi hali ilivyo, Suarez ni moto mwingine. Suarez ni killer akiwa ndani ya Box, Suarez ni fighter haswa anapokuwa ktk mazingira ya timu yake kutafuta goli, hakuna beki anayerelax akijua anamkaba Suarez. Hizi sifa zote sio za kutisha kwa Benzema.
ALichoonesha benzema madrid na lyon kinanitosha..Suarez ka prove Liverpool, Barca na Atletico Je Benzema?
Wasisahau pia kakaao yule Ronaldo mkuu yule wa BrazilHalafu pia Huwezi Ongelea 9 bora bila kumueka Lewandoski
Kama Tunaongelea Ubishi sawa, ila wapo level moja hao.Suarez ni katili Period!
Spirit ya kupambana aliyonayo Suarez huwezi kuipata kwa Benzema.Benzema mzuri ila Suarez habari nyingine.
Suarez anaweza kucheza namba 9,10 na hata 11 na still akakupa output ile ile. Yule jamaa nilimkubali kipindi yupo Liverpool, yule mwamba alikuwa anatisha,tena Liverpool yenyewe ile ya kuungaunga ya Branden Rogers,still jamaa akawa anaibeba timu mabegani.
Speeds,IQ,Skills mbele ya goli Suarez ni mtu hatari sana,halafu mpambanaji.
Ronaldo kizazi chengine mkuu, ila Peak Ronaldo ni bora kuliko Suarez na Benzema.Wasisahau pia kakaao yule Ronaldo mkuu yule wa Brazil
Kitu ambacho Ibrahimovic, Henry, Villa, Benzema, Diego costa, Forlan n.k walishindwa.Jamaa anauchungu sana na Team kila aliyokua anachezea jiulize mwamba kashinda kiatu cha ufungaji bora mbele ya Messi na Ronaldo wakiwa Prime kabisaaa.
Ukiwa na watu ambao wanaweza kutengeneza chances, hakuna finisher hatari duniani kama Lewandowski. Mpira wowote ule anakuweka, ni moto sana huyu mwamba. Ila kwa ile fighting spirit anazidiwa na Suarez na Kun Aguero.Halafu pia Huwezi Ongelea 9 bora bila kumueka Lewandoski
Period!Suarez ni katili Period!
Hizo ambazo Ronaldo alikuwa akiassist ni pale ambapo hakuwa na namna ila timu ilikuwa inamtazama yeye kama mfungaji wakati yeye akiwa ni winger tu.Yeye na Higuain walikua wanakosa sana Magoli, Ronaldo alikua anawatengenezea. wengi wana recency bias ila ujana wake Ronaldo alikua Mtengenezaji mzuri sana hadi 20 Assist kwa msimu.
Henry sio kizazi cha kina Ronaldo na Messi lakini, Henry Anazeeka tena ndio hao wanatoka. Pia hakua no 9 alikua akitokea Pembeni kama Ronaldo na Messi.Kitu ambacho Ibrahimovic, Henry, Villa, Benzema, Diego costa, Forlan n.k walishindwa.
Kipindi hicho alikuwa wa moto sana,kweli jamaa alibeba sifa zoote za kipambanajiBenzema mzuri ila Suarez habari nyingine.
Suarez anaweza kucheza namba 9,10 na hata 11 na still akakupa output ile ile. Yule jamaa nilimkubali kipindi yupo Liverpool, yule mwamba alikuwa anatisha,tena Liverpool yenyewe ile ya kuungaunga ya Branden Rogers,still jamaa akawa anaibeba timu mabegani.
Speeds,IQ,Skills mbele ya goli Suarez ni mtu hatari sana,halafu mpambanaji.
Olympique lyon mwaka 2008 benzema alikuwa moto...madrid kawasha moto na sasa hivi anaenda kuwasha moto kwa waarabuSuarez ka prove Liverpool, Barca na Atletico Je Benzema?
Tayari yamashaibuka huko juu.......kwamba kwa yeye takwimu sio kituHivi laweza kuibuka kenge likabishana na takwimu?
Jamaa alikua Mnyama sanaaaaMimi ni mpenzi wa La Liga, sijaacha kuitazama Madrid ikicheza La Liga na UCL pamoja na Barca.
Wote wakiwa ktk timu zao walipoingia nimeanza kuwatazama. Sio Benzema wala Suarez.
Benzema huenda makali yake tungeyaona endapo Ronaldo asingekuwa mbinafsi, jukumu la kufunga lingekuwa kwake huenda tungeona makali kutoka kwake zaidi.
Ila kwa sasa jinsi hali ilivyo, Suarez ni moto mwingine. Suarez ni killer akiwa ndani ya Box, Suarez ni fighter haswa anapokuwa ktk mazingira ya timu yake kutafuta goli, hakuna beki anayerelax akijua anamkaba Suarez. Hizi sifa zote sio za kutisha kwa Benzema.
2008 Lyon iliyofanya nini?L
Olympique lyon mwaka 2008 benzema alikuwa moto...madrid kawasha moto na sasa hivi anaenda kuwasha moto kwa waarabu