Muda ndio umemchagua Benzema aonekane Straika Bora mbele ya Luis Suarez lakini takwimu zinamkataa

Muda ndio umemchagua Benzema aonekane Straika Bora mbele ya Luis Suarez lakini takwimu zinamkataa

Mimi ni mpenzi wa La Liga, sijaacha kuitazama Madrid ikicheza La Liga na UCL pamoja na Barca.

Wote wakiwa ktk timu zao walipoingia nimeanza kuwatazama. Sio Benzema wala Suarez.

Benzema huenda makali yake tungeyaona endapo Ronaldo asingekuwa mbinafsi, jukumu la kufunga lingekuwa kwake huenda tungeona makali kutoka kwake zaidi.

Ila kwa sasa jinsi hali ilivyo, Suarez ni moto mwingine. Suarez ni killer akiwa ndani ya Box, Suarez ni fighter haswa anapokuwa ktk mazingira ya timu yake kutafuta goli, hakuna beki anayerelax akijua anamkaba Suarez. Hizi sifa zote sio za kutisha kwa Benzema.
Yeye na Higuain walikua wanakosa sana Magoli, Ronaldo alikua anawatengenezea. wengi wana recency bias ila ujana wake Ronaldo alikua Mtengenezaji mzuri sana hadi 20 Assist kwa msimu.
 
Suarez ka prove Liverpool, Barca na Atletico Je Benzema?
ALichoonesha benzema madrid na lyon kinanitosha..
Mimi si mpenzi saana wa takwimu, napenda saana kile ninachokishuhudia kwa mcjezaji.

Wewe unataka ubishi.. wote nawaweka daraja moja, lakini kwangu kwa aina ya uchezaji wa benzema, namkubali zaidi yeye kuliko suarez..
 
Benzema mzuri ila Suarez habari nyingine.
Suarez anaweza kucheza namba 9,10 na hata 11 na still akakupa output ile ile. Yule jamaa nilimkubali kipindi yupo Liverpool, yule mwamba alikuwa anatisha,tena Liverpool yenyewe ile ya kuungaunga ya Branden Rogers,still jamaa akawa anaibeba timu mabegani.

Speeds,IQ,Skills mbele ya goli Suarez ni mtu hatari sana,halafu mpambanaji.
Spirit ya kupambana aliyonayo Suarez huwezi kuipata kwa Benzema.
 
Yeye na Higuain walikua wanakosa sana Magoli, Ronaldo alikua anawatengenezea. wengi wana recency bias ila ujana wake Ronaldo alikua Mtengenezaji mzuri sana hadi 20 Assist kwa msimu.
Hizo ambazo Ronaldo alikuwa akiassist ni pale ambapo hakuwa na namna ila timu ilikuwa inamtazama yeye kama mfungaji wakati yeye akiwa ni winger tu.

Suarez alikuwa ni hatari na alichukua kiatu sababu Messi hakuwa na uchoyo na alikubali jukumu la kufunga liende kwa striker. Benzema angekuwa Barca na akina Messi na Iniesta, angeacha legacy kubwa pale kuliko hapo Madrid.
 
Kitu ambacho Ibrahimovic, Henry, Villa, Benzema, Diego costa, Forlan n.k walishindwa.
Henry sio kizazi cha kina Ronaldo na Messi lakini, Henry Anazeeka tena ndio hao wanatoka. Pia hakua no 9 alikua akitokea Pembeni kama Ronaldo na Messi.
 
Benzema mzuri ila Suarez habari nyingine.
Suarez anaweza kucheza namba 9,10 na hata 11 na still akakupa output ile ile. Yule jamaa nilimkubali kipindi yupo Liverpool, yule mwamba alikuwa anatisha,tena Liverpool yenyewe ile ya kuungaunga ya Branden Rogers,still jamaa akawa anaibeba timu mabegani.

Speeds,IQ,Skills mbele ya goli Suarez ni mtu hatari sana,halafu mpambanaji.
Kipindi hicho alikuwa wa moto sana,kweli jamaa alibeba sifa zoote za kipambanaji
 
Suarez alikuwa moto sana
Nakumbuka alifungiwa mechi zaidi ya 3 kama sijakosea epl ila aliporudi alikiwasha na kiatu akachukua
 
Mimi ni mpenzi wa La Liga, sijaacha kuitazama Madrid ikicheza La Liga na UCL pamoja na Barca.

Wote wakiwa ktk timu zao walipoingia nimeanza kuwatazama. Sio Benzema wala Suarez.

Benzema huenda makali yake tungeyaona endapo Ronaldo asingekuwa mbinafsi, jukumu la kufunga lingekuwa kwake huenda tungeona makali kutoka kwake zaidi.

Ila kwa sasa jinsi hali ilivyo, Suarez ni moto mwingine. Suarez ni killer akiwa ndani ya Box, Suarez ni fighter haswa anapokuwa ktk mazingira ya timu yake kutafuta goli, hakuna beki anayerelax akijua anamkaba Suarez. Hizi sifa zote sio za kutisha kwa Benzema.
Jamaa alikua Mnyama sanaaaa
 
Back
Top Bottom