misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Good idea kuliko lockdown/curfewKinachotakiwa kufanyika ni kusambaza vifaa vya kupimia kila kata ili watu wapimwe kwa wingi kila siku iendayo kwa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good idea kuliko lockdown/curfewKinachotakiwa kufanyika ni kusambaza vifaa vya kupimia kila kata ili watu wapimwe kwa wingi kila siku iendayo kwa Mungu
Serikali inafanya nini..wawape watu chakula..nchi ni watu au wanataka kuongoza "Ghost towns"Kama unataka lockdown si ukae kwako ujifungie wewe na familia yako kwani nani atakuzuia.
Yaani watanzania wafe kwa njaa kisa Corona hebu tutumie akili kidogo tu kuwa asilimia kubwa ya wananchi hawaijui kesho yao itakuwa vipi.
Sasa mnavyolazimisha lockdown wewe utawapelekea chakula au kisa baadhi yenu mnaotaka Hilo jambo mko vizuri kiuchumi na mmeajiriwa serikalini hali ya kuwa huko vijijini watu kula tu imekuwa shida halafu unataka wafungiwe wenzio ndani huu ni upumbavu uliopitiliza
NI KWELI CORONA INAUA NA LAZMA TUCHUKUE HATUA ILA LOCKDOWN NI JANGA KUBWA KULIKO CORONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Mike2k, hakuna mtu anajali afya yako. Jiongeze mwenyewe. Huu ndo ukweli.Mpaka sasa serikali imeshaonyesha ulinzi wa raia dhidi ya Corona awataki kujivika hayo majukumu.
Solution ni kwamba ‘abiria chunga mzigo wako’ hakuna namna.